< Mwanzo 37 >

1 Yakobo akaishi katika nchi aliyokaa babaye, katika nchi ya Kanaani.
And he dwelt Jacob in [the] land of [the] sojournings of father his in [the] land of Canaan.
2 Haya ndiyo matukio yaliyomhusu Yakobo. Yusufu, aliyekuwa kijana wa miaka kumi na saba, alikuwa akilichunga kundi pamoja na ndugu zake. Alikuwa pamoja na wana wa Bilha na pamoja na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akaleta taarifa yao mbaya kwa baba yao.
These - [are] [the] accounts of Jacob Joseph [was] a son of seven-teen year[s] he was shepherding with brothers his the flock and he [was] a youth with [the] sons of Bilhah and with [the] sons of Zilpah [the] wives of father his and he brought Joseph report their bad to father their.
3 Basi Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote kwa sababu alikuwa mwana wa uzee wake. Akamshonea vazi zuri.
And Israel he loved Joseph more than all sons his for [was] a son of old age he for him and he made for him a long garment of palms and soles.
4 Ndugu zake wakaona kwamba baba yao alimpenda sana kuliko ndugu zake wote. Wakamchukia na hawakuongea naye vema.
And they saw brothers his that him he loved father their more than all brothers his and they hated him and not they were able to speak to him to welfare.
5 Yusufu akaota ndoto, na akawambia ndugu zake. Wakamchukia zaidi.
And he dreamed Joseph a dream and he told [it] to brothers his and they increased again to hate him.
6 Aliwambia, “Tafadhari sikilizeni ndoto hii niliyoiota.
And he said to them hear please the dream this which I have dreamed.
7 Tazama, tulikuwa tukifunga miganda ya nafaka shambani na tazama, mganda wangu ukainuka na kusimama wima, na tazama, miganda yenu ikasogea na kuuinamia mganda wangu”
And there! we [were] binding sheaves in [the] middle of the field and there! it arose sheaf my and also it stood upright and there! they gathered round sheaves your and they bowed down to sheaf my.
8 Ndugu zake wakamwambia, “Je ni kweli utatutawala? Je utatutawala juu yetu? Hata wakamchukia zaidi kwa ajili ya ndoto zake na maneno yake.
And they said to him brothers his ¿ really will you reign over us or? certainly will you rule over us and they increased again to hate him on dreams his and on words his.
9 Akaota ndoto nyingine na kuwasimulia ndugu zake. Alisema, “Tazama, nimeota ndoto nyingine: Jua na mwezi na nyota kumi na moja ziliniinamia.”
And he dreamed again a dream another and he recounted it to brothers his and he said here! I have dreamed a dream again and there! the sun and the moon and one [plus] ten stars [were] bowing down to me.
10 Akamwambia baba yake vile vile alivyowambia ndugu zake, na baba yake akamkemea. Akamwambia, Je umeota ndoto ya namna gani hii? Je mama yako na mimi na ndugu zako kweli tutakuja kukuinamia mpaka chini?”
And he recounted [it] to father his and to brothers his and he rebuked him father his and he said to him what? [is] the dream this which you have dreamed ¿ really will we come I and mother your and brothers your to bow down to you [the] ground towards.
11 Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliwema jambo hilo moyoni.
And they were jealous of him brothers his and father his he kept the matter.
12 Ndugu zake wakaenda kulichunga kundi la baba yao huko Shekemu.
And they went brothers his to pasture [the] flock of father their at Shechem.
13 Israeli akamwambia Yusufu, 'Je ndugu zako hawalichungi kundi huko Shekemu? Njoo, nami nitakutuma kwao.” Yusufu akamwambia, “nipo tayari.”
And he said Israel to Joseph ¿ not [are] brothers your pasturing at Shechem come! and I will send you to them and he said to him here [am] I.
14 Akamwambia, “Basi nenda, uwaone ndugu zako na kundi wanaendeleaje, na uniletee neno.” Hivyo Yakobo akamtuma kutoka katika bonde la Hebroni, na Yusufu akaenda Shekemu.
And he said to him go please see [the] welfare of brothers your and [the] welfare of the flock and bring to me word and he sent him from [the] valley of Hebron and he came Shechem towards.
15 Mtu mmoja akamwona Yusufu. Tazama, Yusufu alikuwa akizunguka kondeni. Yule mtu akamwuliza, “Unatafuta nini?”
And he found him a man and there! [he was] wandering in the open country and he asked him the man saying what? are you seeking.
16 Yusufu akamwambia, “Nawatafuta ndugu zangu. Tafadhari, niambie, wananalichunga wapi kundi.”
And he said brothers my I [am] seeking tell! please to me where? [are] they pasturing.
17 Yule mtu akasema, “Waliondoka mahali hapa, kwa maana niliwasikia wakisema, 'Haya twende Dothani.” Yusufu akawafuata ndugu zake na kuwaona huko Dothani.
And he said the man they have departed from here for I heard [them] saying let us go Dothan towards and he went Joseph after brothers his and he found them at Dothan.
18 Wakamwona kutokea mbali, na kabla hajawakaribia, wakapanga njama ya kumwua.
And they saw him from a distance and just before he drew near to them and they dealt deceptively with him to kill him.
19 Ndugu zake wakaambiana wao kwa wao, “Tazama, mwotaji anakaribia.
And they said each to brother his there! [the] master of dreams this [is] coming.
20 Njoni sasa, na tumwue na kumtupa katika mojawapo ya mashimo haya. Nasi tutasema, 'Mnyama mkali amemrarua.' Nasi tutaona ndoto zake zitakuwaje.”
And now - come and let us kill him and let us throw him in one of the pits and we will say an animal wild it has eaten him and we may see what? will be dreams his.
21 Rubeni alilisikia hilo na kumwokoa kutoka katika mikono yao. Alisema, “Tusiuondoe uhai wake.”
And he heard Reuben and he rescued him from hand their and he said not let us strike him life.
22 Rubeni aliwambia, “Msimwage damu. Mtupeni katika shimo hili lililopo nyikani, lakini msiweke mikono yenu juu yake” - ili kwamba aweze kumwokoa katika mikono yao na kumrudisha kwa baba yake.
And he said to them - Reuben may not you shed blood throw him into the pit this which [is] in the wilderness and a hand may not you stretch out on him so as to rescue him from hand their to restore him to father his.
23 Ikawa Yusufu alipowafikia ndugu zake, walimvua vazi lake zuri.
And it was just when he came Joseph to brothers his and they stripped Joseph long garment his [the] long garment of the palms and soles which [was] on him.
24 Wakamchukua na kumtupa shimoni. Shimo lilikuwa tupu bila maji.
And they took him and they threw him the pit towards and the pit [was] empty there not in it [was] water.
25 Wakakaa chini kula mkate. Walipoinua macho yao na kuangalia, na, tazama, msafara wa Waishmaeli ulikuwa ukija kutoka Gileadi, pamoja na ngamia wao waliochukua viungo, malhamu na manemane. Walikuwa wakisafiri kuvichukua kuelekea Misri.
And they sat down to eat bread and they lifted up eyes their and they saw and there! a caravan of Ishmaelites [was] coming from Gilead and camels their [were] carrying spice and balm and myrrh traveling to take [them] down Egypt towards.
26 Yuda akawambia ndugu zake, “Ni faida gani kama tutamwua ndugu yetu na kufunika damu yake?
And he said Judah to brothers his what? [is the] profit if we will kill brother our and we will conceal blood his.
27 Haya, na tumwuze kwa Waishmaeli na wala tusiweke mikono yetu juu yake. Kwani yeye ni ndugu yetu, nyama yetu.” Ndugu zake wakamsikiliza.
Come and let us sell him to the Ishmaelites and hand our may not it be on him for [is] brother our flesh our he and they listened brothers his.
28 Wafanyabiashara wa Kimidiani wakapita. Ndugu zake wakamwinua na kumtoa Yusufu shimoni. Wakamwuza Yusufu kwa Waishmaeli kwa vipande ishirini vya fedha. Waishmaeli wakamchukua Yusufu mpaka Misri.
And they passed by men Midianite[s] traders and they drew and they brought up Joseph from the pit and they sold Joseph to the Ishmaelites for twenty silver and they brought Joseph Egypt towards.
29 Rubeni akarudi kwenye shimo, na, tazama, Yusufu hakuwemo shimoni. Akararua mavazi yake.
And he returned Reuben to the pit and there! not Joseph [was] in the pit and he tore clothes his.
30 Akarudi kwa ndugu zake na kusema, “Kijana yuko wapi? Na mimi, je niende wapi?”
And he returned to brothers his and he said the boy not [is] he and I where? [am] I going.
31 Wakachinja mbuzi na kisha wakalichukua vazi la Yusufu na kulichovya katika damu.
And they took [the] long garment of Joseph and they slaughtered a male goat of goats and they dipped the long garment in the blood.
32 Kisha wakalipeleka kwa baba yao na kusema, “Tumeiona hii. Tafadhari angalia kwamba ni vazi la mwanao au hapana.”
And they sent [the] long garment of the palms and soles and they brought [it] to father their and they said this we have found investigate please ¿ [the] long garment of son your [is] it or? not.
33 “Yakobo akaitambua na kusema, “Ni nguo ya mwanangu. Mnyama wa mwitu amemrarua. Bila shaka Yusufu ameraruliwa katika vipande.
And he recognized it and he said [it is] [the] long garment of son my an animal wild it has eaten him certainly he has been torn to pieces Joseph.
34 Yakobo akararua mavazi yake na kuvaa mavazi ya magunia katika viuno vyake. Akaomboleza kwa ajili ya mwanawe siku nyingi.
And he tore Jacob clothes his and he put sackcloth on loins his and he mourned on son his days many.
35 Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol h7585)
And they arose all sons his and all daughters his to comfort him and he refused to be comforted and he said that I will go down to son my mourning Sheol towards and he wept for him father his. (Sheol h7585)
36 Wamidiani wakamwuza huko Misri kwa Potifa, afisa wa Farao, kepteni wa walinzi.
(And the Medanites *L(E)*) they sold him into Egypt to Potiphar an official of Pharaoh [the] commander of the bodyguards.

< Mwanzo 37 >