< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
Вот родословие Исава, он же Едом.
2 Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
Исав взял себе жен из дочерей Ханаанских: Аду, дочь Елона Хеттеянина, и Оливему, дочь Аны, сына Цивеона Евеянина,
3 Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
и Васемафу, дочь Измаила, сестру Наваиофа.
4 Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
Ада родила Исаву Елифаза, Васемафа родила Рагуила,
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
Оливема родила Иеуса, Иеглома и Корея. Это сыновья Исава, родившиеся ему в земле Ханаанской.
6 Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
И взял Исав жен своих и сыновей своих, и дочерей своих, и всех людей дома своего, и все стада свои, и весь скот свой, и все имение свое, которое он приобрел в земле Ханаанской, и пошел Исав в другую землю от лица Иакова, брата своего,
7 Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
ибо имение их было так велико, что они не могли жить вместе, и земля странствования их не вмещала их, по множеству стад их.
8 Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
И поселился Исав на горе Сеир, Исав, он же Едом.
9 Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
И вот родословие Исава, отца Идумеев, на горе Сеир.
10 Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
Вот имена сынов Исава: Елифаз, сын Ады, жены Исавовой, и Рагуил, сын Васемафы, жены Исавовой.
11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
У Елифаза были сыновья: Феман, Омар, Цефо, Гафам и Кеназ.
12 Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
Фамна же была наложница Елифаза, сына Исавова, и родила Елифазу Амалика. Вот сыновья Ады, жены Исавовой.
13 Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
И вот сыновья Рагуила: Нахаф и Зерах, Шамма и Миза. Это сыновья Васемафы, жены Исавовой.
14 Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
И сии были сыновья Оливемы, дочери Аны, сына Цивеонова, жены Исавовой: она родила Исаву Иеуса, Иеглома и Корея.
15 Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
Вот старейшины сынов Исавовых. Сыновья Елифаза, первенца Исавова: старейшина Феман, старейшина Омар, старейшина Цефо, старейшина Кеназ,
16 Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
старейшина Корей, старейшина Гафам, старейшина Амалик. Сии старейшины Елифазовы в земле Едома; сии сыновья Ады.
17 Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
Сии сыновья Рагуила, сына Исавова: старейшина Нахаф, старейшина Зерах, старейшина Шамма, старейшина Миза. Сии старейшины Рагуиловы в земле Едома; сии сыновья Васемафы, жены Исавовой.
18 Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
Сии сыновя Оливеммы, жены Исавовой: старейшина Иеус, старейшина Иеглом, старейшина Корей. Сии старейшины Оливемы, дочери Аны, жены Исавовой.
19 Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
Вот сыновья Исава, и вот старейшины их. Это Едом.
20 Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
Сии сыновья Сеира Хорреянина, жившие в земле той: Лотан, Шовал, Цивеон, Ана,
21 Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
Дишон, Эцер и Дишан. Сии старейшины Хорреев, сынов Сеира, в земле Едома.
22 Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
Сыновья Лотана были: Хори и Геман; а сестра у Лотана: Фамна.
23 Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
Сии сыновья Шовала: Алван, Манахаф, Эвал, Шефо и Онам.
24 Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
Сии сыновья Цивеона: Аиа и Ана. Это тот Ана, который нашел теплые воды в пустыне, когда пас ослов Цивеона, отца своего.
25 Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
Сии дети Аны: Дишон и Оливема, дочь Аны.
26 Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Сии сыновья Дишона: Хемдан, Эшбан, Ифран и Херан.
27 Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
Сии сыновья Эцера: Билган, Зааван, Укам и Акан.
28 Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
Сии сыновья Дишана: Уц и Аран.
29 Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
Сии старейшины Хорреев: старейшина Лотан, старейшина Шовал, старейшина Цивеон, старейшина Ана,
30 Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
старейшина Дишон, старейшина Эцер, старейшина Дишан. Вот старейшины Хорреев, по старшинствам их в земле Сеир.
31 Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
Вот цари, царствовавшие в земле Едома, прежде царствования царей у сынов Израилевых:
32 Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
царствовал в Едоме Бела, сын Веоров, а имя городу его Дингава.
33 Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
И умер Бела, и воцарился по нем Иовав, сын Зераха, из Восоры.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
Умер Иовав, и воцарился по нем Хушам, из земли Феманитян.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
И умер Хушам, и воцарился по нем Гадад, сын Бедадов, который поразил Мадианитян на поле Моава; имя городу его Авиф.
36 Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
И умер Гадад, и воцарился по нем Самла из Масреки.
37 Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
И умер Самла, и воцарился по нем Саул из Реховофа, что при реке.
38 Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
И умер Саул, и воцарился по нем Баал-Ханан, сын Ахбора.
39 Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
И умер Баал-Ханан, сын Ахбора, и воцарился по нем Гадар сын Варадов; имя городу его Пау; имя жене его Мегетавеель, дочь Матреды, сына Мезагава.
40 Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
Сии имена старейшин Исавовых, по племенам их, по местам их, по именам их, по народам их: старейшина Фимна, старейшина Алва, старейшина Иетеф,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
старейшина Оливема, старейшина Эла, старейшина Пинон,
42 Kenazi, Temani, Mbza,
старейшина Кеназ, старейшина Феман, старейшина Мивцар,
43 Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.
старейшина Магдиил, старейшина Ирам. Вот старейшины Идумейские, по их селениям, в земле обладания их. Вот Исав, отец Идумеев.

< Mwanzo 36 >