< Mwanzo 33 >

1 Yakobo akainua macho yake na, tazama, Esau alikuwa anakuja, na alikuwa na watu mia nne pamoja naye. Yakobo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli, na wale wajakazi wawili.
Mais Jacob, levant les yeux, vit Esaü venant, et avec lui quatre cents hommes; il sépara aussitôt les enfants de Lia, de Rachel et des deux servantes;
2 Kisha akawaweka wajakazi na wanao mbele, wakifuatiwa na Lea na watoto wake, Raheli na Yusufu wakafuata mwisho wa wote.
Il mit l’une et l’autre servante et leurs enfants en avant. Lia et ses enfants en second lieu, mais Rachel et Joseph les derniers.
3 Yeye mwenyewe akatangulia mbele yao. Akasujudu mara saba kuelekea ardhi, hata alipomkaribia ndugu yake.
Et lui-même s’avançant, se prosterna, incliné vers la terre par sept fois, jusqu’à ce que son frère approchât.
4 Esau akakimbia kumlaki, akamkumbatia, akakumbatia shingo yake na kumbusu. Kisha wakalia.
C’est pourquoi Esaü, courant au-devant de son frère, l’embrassa; et, serrant étroitement son cou et le baisant, il pleura.
5 Esau alipoinua macho, aliona wanawake na watoto. Akauliza, “Hawa watu pamoja nawe ni kinanani?” Yakobo akasema, Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako kwa neema.”
Puis, les yeux levés, il vit les femmes et leurs petits enfants, et dit: Que signifient ceux-ci? est-ce à toi qu’ils appartiennent? Il répondit: Ce sont les petits enfants que Dieu a donnés à votre serviteur.
6 Kisha wajakazi wakakaribia pamoja na watoto wao, nao wakasujudia.
Et s’approchant, les servantes et leurs fils se prosternèrent.
7 Akafuata Lea pia na watoto wake wakaja na kusujudia. Mwisho Yusufu na Raheli wakaja na kusujudia.
Lia aussi s’approcha avec ses enfants; et quand ils se furent pareillement prosternés, Joseph et Rachel se prosternèrent les derniers.
8 Esau akasema, Unamaanisha nini kwa makundi haya yote niliyokutana nayo?” Yakobo akasema, “Kutafuta kibali mbele za bwana wangu.
Alors Esaü dit: Quelles sont ces troupes que j’ai rencontrées? Jacob répondit: C’est pour trouver grâce devant mon seigneur.
9 Esau akasema, “Ninayo ya kutosha, ndugu yangu. Tunza uliyonayo kwa ajili yako mwenyewe.”
Mais Esaü reprit: J’ai beaucoup de biens, mon frère, que les tiens restent à toi.
10 Yakobo akasema, “Hapana, tafadhari, ikiwa nimeona kibali mbele zako, basi upokee zawadi yangu kutoka mkononi mwangu, na ni kama kuona uso wa Mungu, na umenipokea.
Jacob répondit: Non, je vous prie, qu’il n’en soit pas ainsi; mais si j’ai trouvé grâce à vos yeux, recevez ce petit présent de mes mains; car j’ai vu votre visage, comme si j’eusse vu la face de Dieu: soyez-moi propice.
11 Tafadhari pokea zawadi yangu uliyoletewa, kwa sababu Mungu amenitendea kwa neema, na kwa sababu ninavyo vya kutosha.” Hivyo Yakobo akamsihi, na Esau akamkubali.
Et recevez cette bénédiction que je vous ai apportée et que m’a donnée Dieu qui donne toutes choses. Esaü la recevant avec peine, son frère le pressant,
12 Kisha Esau akasema, “Haya na tuondoke. Nitakutangulia.”
Dit: Allons ensemble, et je t’accompagnerai dans ton chemin.
13 Yakobo akamwambia, “Bwana wangu anajua kwamba watoto ni wadogo, na kwamba kondoo na ng'ombe wananyonyesha ndama wao. Ikiwa watapelekwa kwa haraka hata siku moja, wanyama wote watakufa.
Mais Jacob répondit: Vous savez, mon seigneur, que j’ai avec moi de petits enfants bien faibles encore, des brebis et des vaches pleines; si je les fatigue trop par la marche, tous mes troupeaux mourront en un jour.
14 Tafadhari bwana wangu na amtangulie mtumishi wake. Nitasafiri polopole, kwa kadili ya mifugo iliyo mbele yangu, na kadili ya watoto, hata nitakapofika kwa bwana wangu huko Seiri.”
Que mon seigneur précède son serviteur, et moi je le suivrai peu à peu, selon que je verrai que mes petits enfants le pourront faire, jusqu’à ce que je parvienne vers mon seigneur à Séir.
15 Esau akasema, haya nikuachie baadhi ya watu wangu waliopamoja nami.” Yakobo akasema, “Kwa nini kufanya hivyo? Bwana wangu amekuwa mkalimu kwangu kiasi cha kutosha.”
Esaü repartit: Je te prie, que des gens qui sont avec moi, quelques-uns restent pour t’accompagner. Non, dit Jacob, cela n’est pas nécessaire: la seule chose dont j’ai besoin, c’est de trouver grâce devant vous, mon seigneur.
16 Hivyo Esau akaanza kurudi Seiri.
Esaü donc retourna ce jour-là à Séir, par le même chemin qu’il était venu.
17 Yakobo akasafiri kuelekea Sukothi, akajijengea nyumba, na akafanya mazizi kwa ajili ya mifugo wake. Hivyo jina la eneo linaitwa Sukothi.
Et Jacob vint à Sochoth, où une maison bâtie et des tentes plantées, il appela ce lieu du nom de Socoth, c’est-à-dire, tentes.
18 Yakobo alipokuja kutoka Padani Aramu, akafika salama katika mji wa Shekemu, uliyo katika nchi ya Kanaani. Akapiga kambi karibu na mji.
Ensuite il passa à Salem, ville des Sichémites, dans le pays de Chanaan, après qu’il fut revenu de la Mésopotamie de Syrie; et il habita auprès de la ville.
19 Kisha akanunu sehemu ya ardhi alipokuwa ameweka hema yake kutoka kwa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa vipande mia vya fedha.
Et il acheta pour cent agneaux, des enfants d’Hémor, père de Sichem, une portion du champ où il avait planté ses tentes.
20 Akajenga madhabahu pale na kuiita El Elohe Israeli.
Puis, un autel érigé en ce lieu, il invoqua le Dieu très fort d’Israël.

< Mwanzo 33 >