< Mwanzo 31 >

1 Basi Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani, wakisema, “Yakobo amechukuwa yote yaliyokuwa ya baba yetu, na ni kutoka katika mali ya baba yetu amepata utajiri wake.”
Слыша же Иаков словеса сынов Лавановых, глаголющих: взя Иаков вся яже отца нашего, и от сущих отца нашего сотвори всю славу сию.
2 Yakobo akaona mwonekano katika uso wa Labani. Akaona kwamba nia yake imebadilika.
И виде Иаков лице Лаване, и се не бяше к нему, яко вчера и третияго дне.
3 Kisha Yahwe akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na ya ndugu zako, nami nitakuwa nawe.”
Рече же Господь ко Иакову: возвратися в землю отца твоего и в род твой, и буду с тобою.
4 Yakobo akatuma kuwaita Raheli na Lea uwandani katika kundi lake la kondoo
Послав же Иаков, призва Лию и Рахиль на поле, идеже бяху стада,
5 naye akawambia, “Naona nia ya baba yenu kwangu imebadilika, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa nami.
и рече им: вижду аз лице отца вашего, яко несть ко мне, якоже вчера и третияго дне: Бог же отца моего бе со мною:
6 Nanyi mnajua kwamba ni kwa nguvu zangu zote nimemtumikia baba yenu.
и вы сами весте, яко всею силою моею работах отцу вашему:
7 Baba yenu amenidanganya na amebadilisha ujira wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu kunidhuru.
отец же ваш обиде мя и измени мзду мою десяти агнцев, но не даде ему Бог зла сотворити мне.
8 Ikiwa alisema, 'Wanyama wenye mabaka watakuwa ujira wako,' ndipo kondoo wote walipozaa watoto wenye mabaka. Na aliposema, wenye milia watakuwa ujira wako,' ndipo kundi lote lilipozaa watoto wenye milia.
Аще сице речет: пестрыя, будет твоя мзда: и родятся вся овцы пестрыя. Аще же речет: белыя, будет твоя мзда: и родятся вся овцы белыя.
9 Kwa njia hii Mungu amemnyang'anya mifugo baba yenu na kunipa mimi.
И отя Бог вся скоты отца вашего и даде я мне.
10 Wakati fulani wa majira ya kupandana, niliona katika ndoto mabeberu yaliyowapanda kundi. Mabeberu yalikuwa ya milia, mabaka na madoa.
И бысть егда зачинаху овцы во чреве приемлющя, и видех очима моима во сне: и се, козлы и овны восходяще бяху на овцы и козы, беловатыя и пестрыя и пепеловидныя пестрыя.
11 Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, 'Yakobo.' Nikasema, 'Mimi hapa.'
И рече ми Ангел Божий во сне: Иакове. Аз же рех: что есть?
12 Akasema, 'Inua macho yako uone mabeberu wanaolipanda kundi. Wana milia, madoa na na mabaka, kwani nimeona kila jambo Labani analokutendea.
И рече: воззри очима твоима и виждь козлы и овны восходящыя на овцы и козы, белыя и пестрыя и пепеловидныя пестрыя: видех бо, елика тебе Лаван творит:
13 Mimi ni Mungu wa Betheli, mahali ulipoitia nguzo mafuta, mahali uliponitolea nadhiri. Basi sasa inuka na uondoke katika nchi hii na kurudi katika nchi uliyozaliwa.
Аз есмь Бог явивыйся тебе на Месте Божии, идеже помазал Ми еси тамо столп, и обетовал Ми еси тамо обет: ныне убо востани и изыди от земли сея, и иди в землю рождения твоего, и буду с тобою.
14 Raheli na Lea wakajibu na kumwambia, “Je kuna sehemu yoyote au urithi wetu katika nyumba ya baba yetu?
И отвещавши Рахиль и Лиа, рекосте ему: еда есть нам еще часть или наследие в дому отца нашего?
15 Je hatutendei kama wageni? Kwa maana ametuuza na kwa ujumla ametapanya pesa zetu.
Не яко ли чужыя вменихомся ему? Продаде бо нас и снеде снедию сребро наше:
16 Mali zote ambazo sasa Mungu amemnyang'anya baba yetu ni zetu na watoto wetu. Sasa basi, lolote Mungu alilokuambia, fanya.
все богатство и слава, юже отя Бог от отца нашего, нам будет и чадом нашым: ныне убо, елика тебе рече Бог, твори.
17 Kisha Yakobo akainuka na kuwapandisha wanawe na wakeze kwenye ngamia.
Востав же Иаков, взя жены своя и дети своя на велблюды,
18 Akawaongoza mifugo wake wote mbele yake, pamoja na mali zake zote, wakiwemo wanyama aliowapata huko Padani Aramu. Kisha akaenda kuelekea kwa Isaka baba yake katika nchi ya Kanaani.
и забра вся имения своя и вся стяжания, яже притяжа в Месопотамии, и вся своя, еже отити ко Исааку отцу своему в землю Ханаанскую.
19 Labani alipokuwa amekwenda kuwakata manyoya kondoo wake, Raheli akaiba miungu ya nyumba ya baba yake.
Лаван же отиде острищи овцы своя: украде же Рахиль идолы отца своего.
20 Yakobo pia akamdanganya Labani Mwarami, kwa kutomtaarifu kwamba anaondoka.
Утаи же Иаков от Лавана Сирина, не поведати ему, яко уходит,
21 Hivyo akaondoka na vyote alivyokuwa navyo na kwa haraka akavuka mto, na akaenda kuelekea nchi ya vilima ya Gileadi.
и отбеже сам, и вся яже его, и прейде реку, и взыде на гору Галаад.
22 Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.
Поведася же Лавану Сирину в третий день, яко бежа Иаков:
23 Hivyo akawachukua ndugu zake pamoja naye na kumfuatia kwa safari ya siku saba. Akampata katika nchi ya vilima ya Gileadi.
и поим сыны и братию свою с собою, гна вслед его путем седмь дний: и достиже его на горе Галаад.
24 Basi Mungu akaja kwa Labani Mwarami katika ndoto usiku na kumwambia, “Ujiadhari kumwambia Yakobo jambo lolote liwe jema au baya.”
Прииде же Бог к Лавану Сирину нощию во сне и рече ему: блюди себе, да не когда возглаголеши ко Иакову зла.
25 Labani akampata Yakobo. Basi Yakobo alikuwa amepiga hema yake katika nchi ya vilima. Labani pia akapiga kambi pamoja na ndugu zake katika nchi ya kilima ya Gileadi.
И постиже Лаван Иакова: Иаков же постави кущу свою на горе: Лаван же разстави братию свою на горе Галаад.
26 Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini, kwamba umewachukua binti zangu kama mateka wa vita?
Рече же Лаван Иакову: что сотворил еси? Вскую тайно ушел еси и окрал еси мя, и отвел дщери моя, яко пленницы оружием?
27 Kwa nini umekimbia kwa siri na kunihadaa kwa kutokuniambia? Ningekuruhusu uondoke kwa sherehe na kwa nyimbo, kwa matari na vinubi.
И аще бы ми поведал еси, отпустил бых тя с веселием и с мусикиею, и тимпаны и гусльми:
28 Haukuniacha niwabusu wajukuu wangu na binti zangu kwa kuwaaga. Basi umefanya upumbavu.
и не сподобихся целовати детей моих и дщерей моих: ныне же несмысленно сотворил еси:
29 Iko katika uwezo wangu kukudhuru, lakini Mungu wa baba yako alisema nami usiku wa leo na kuniambia, 'Jiadhari usimwambie Yakobo neno la heri wala shari.'
и ныне рука моя может озлобити тя. Но Бог отца твоего вчера рече ко мне, глаголя: блюди себе, да не когда возглаголеши ко Иакову зла.
30 Na sasa, umeondoka kwa sababu umeitamani sana nyumba ya baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?
Ныне убо отшел еси: желанием бо возжелал еси отити в дом отца твоего: вскую украл еси боги моя?
31 Yakobo akajibu na kumwambia Labani, “Ni kwa sababu niliogopa na kudhani kuwa ungeninyang'anya binti zako kwa nguvu ndiyo maana nikaondoka kwa siri.
Отвещав же Иаков рече к Лавану: понеже убояхся: рех бо, да не како отимеши дщери твоя от мене, и вся моя.
32 Yeyote aliyeiiba miungu yako hataendelea kuishi. Mbele ya ndugu zetu, onesha chochote kilichochako nilichonacho na uchukue.” Kwa maana Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameviiba.
И рече Иаков: у негоже аще обрящеши боги твоя, да не будет жив пред братиею нашею: узнавай, что есть твоего у мене, и возми. И не позна у него ничтоже: не ведяше же Иаков, яко Рахиль жена его украде я.
33 Labani akaingia katika hema ya Yakobo, katika hema ya Lea, na katika hema za wale wajakazi wawili, lakini hakuviona. Akatoka katika hema ya Lea na kuingia katika hema ya Raheli.
Вшед же Лаван, оыска в кущи Лиине, и не обрете. И изыде из кущи Лиины, и оыска кущу Иаковлю и в кущи двоих рабынь, и не обрете. Вниде же и в кущу Рахилину.
34 Basi Raheli alikuwa ameichukua miungu ya nyumbani, na kuiweka katika ngozi ya ngamia, na kukaa juu yake. Labani akatafuta katika hema yote, lakini hakuiona.
Рахиль же взя идолы и положи оныя под седло велблюже и седе на них,
35 Akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu, kwamba siwezi kusimama mbele yako, kwani nipo katika kipindi changu.” Hivyo akatafuta lakini hakuiona miungu ya nyumbani mwake.
и рече отцу своему: не имей себе тяжко, господине: не могу востати пред тобою, яко обычная женская ми суть. Иска же Лаван по всей кущи, и не обрете идолов.
36 Yakobo akakasirika na kuojiana na Labani. Akamwambia, “Kosa langu ni nini? Dhambi yangu ni ipi, hata ukanifuatia kwa ukali?
Разгневася же Иаков и пряшеся с Лаваном. Отвещав же Иаков рече Лавану: кая неправда моя? И кий грех мой, яко погнал еси вслед мене,
37 Kwa maana umechunguza mali zangu zote. Umeona nini kati ya kitu chochote cha nyumbani mwako? Viweke hapa mbele ya ndugu zetu, ili waamue kati yetu wawili.
и яко оыскал еси вся сосуды дому моего? Что обрел еси от всех сосудов дому твоего? Положи зде пред братиею твоею и братиею моею, и да разсудят между обема нама:
38 Kwa miaka ishirini nimekuwa nawe. Kondoo wako na mbuzi wako hawakutoa mimba, wala sikula dume lolote la kondoo katika wanyama wako.
се, двадесять лет аз есмь с тобою: овцы твоя и козы твоя не быша без плода: овнов овец твоих не поядох:
39 Kilichoraruliwa na hayawani sikukuletea. Badala yake, nilichukua upotevu huo, kwamba wameibwa mchana au usiku.
звероядины не принесох к тебе: аз воздаях тебе от мене самаго татбины денныя и татбины нощныя:
40 Nilikuwepo wakati wote; mchana joto lilinipata, na baridi wakati wa usiku; na sikupata usingizi.
бых во дни жегомь зноем, и студению в нощи, и отхождаше сон от очию моею:
41 Miaka hii ishirini nimekuwa katika nyumba yako. Nilikufanyia kazi miaka kumi na nne kwa ajili ya binti zako wawili, na miaka sita kwa ajili ya wanyama wako. Umebadili ujira wangu mara kumi.
се, мне двадесять лет аз есмь в дому твоем, работах тебе четыренадесять лет двух ради дщерей твоих и шесть лет за овцы твоя, и преобидел еси мзду мою десятию агницами:
42 Isipokuwa Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu, yule Isaka anayemwofu, amekuwa nami, bila shaka sasa ungenipeleka mikono mitupu. Mungu ameliona teso langu na jinsi nilivyofanya kazi kwa bidii, na hivyo akakukemea usiku wa leo.
аще не бы Бог отца моего Авраама, и страх Исаака был мне, ныне тща отпустил бы мя еси: смирение мое и труд руку моею увиде Бог, и обличи тя вчера.
43 Labani akajibu na kumwambia Yakobo, “Mabinti hawa ni mabinti zangu, wajukuu ni wajukuu wangu, na wanyama ni wanyama wangu. Yote uyaonayo ni yangu. Lakini nitafanya nini leo kwa hawa binti zangu, au kwa watoto wao waliowazaa?
Отвещав же Лаван, рече ко Иакову: дщери дщери моя и сынове сынове мои, и скоти скоти мои, и вся елика ты видиши моя суть и дщерей моих: что сотворю им днесь, или чадом их, яже родиста?
44 Hivyo sasa, na tufanye agano, wewe nami, na liwe shahidi kati yangu nawe.”
Ныне убо гряди, завещаим завет аз и ты: и будет во свидетелство между мною и тобою. Рече же ему Иаков: се, никтоже с нами есть: виждь, Бог свидетель между мною и тобою.
45 Hivyo Yakobo akachukua jiwe na kuliweka kama nguzo.
И взем Иаков камень, постави его в столп.
46 Yakobo akawambia ndugu zake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kufanya rundo. Kisha wakala pale kati ya lile rundo.
Рече же Иаков братии своей: соберите камение. И собраша камение и сотвориша холм: и ядоша, и пиша тамо на холме. Рече же ему Лаван: холм сей свидетелствует между мною и тобою днесь.
47 Labani aliliita Yega Saha Dutha, lakini Yakobo akaiita Galeedi
И прозва его Лаван холм Свидетелства: Иаков же прозва холм Свидетель.
48 Labani akasema, “Rundo hili ni shahidi kati yangu nawe leo.” Kwa hiyo jina lake likaitwa Galedi.
Рече же Лаван ко Иакову: се, холм сей и столп, егоже поставих между мною и тобою, свидетелствует холм сей и свидетелствует столп сей: сего ради прозвася имя холм Свидетелствует,
49 Inaitwa pia Mispa, kwa sababu Labani alisema, “Yahwe na atuangalie mimi nawe, tunapokuwa hatuonani.
и Видение, еже рече: да видит Бог между мною и тобою, яко отидем друг от друга:
50 Ikiwa utawatesa binti zangu, au ikiwa utachukua wanawake wengine mbali na binti zangu, japokuwa hakuna mwingine yupo nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati yangu nawe.”
аще смириши дщери моя, аще поймеши жены над дщери моя виждь, никтоже с нами есть видяй: Бог свидетель между мною и между тобою.
51 Labani akamwambia Yakobo, Tazama rundo hili, na tazama nguzo, nililoliweka kati yako nami.
И рече Лаван Иакову: се, холм сей свидетель и столп сей:
52 Rundo hili ni shahidi, na nguzo ni shahidi, kwamba sitapita rundo hili kuja kwako, na kwamba wewe hautapita rundo hili kuja kwangu, kwa madhara.
аще бо аз не прейду к тебе, ниже ты да прейдеши ко мне холма сего и столпа сего со злобою:
53 Mungu wa Ibrahimu, na mungu wa Nahori, miungu ya baba zao, waamue kati yetu.”Yakobo akaapa kwa Hofu ya Isaka baba yake.
Бог Авраамль и Бог Нахоров да судит между нама. И кляся Иаков страхом отца своего Исаака,
54 Yakobo akatoa sadaka juu ya mlima na akawaita ndugu zake kula chakula. Walikula na kukaa usiku kucha juu ya mlima.
и пожре Иаков жертву на горе и воззва братию свою: ядоша же и пиша и спаша на горе.
55 Labani akaamka asubuhi na mapema, akawabusu wajuu zake na binti zake na kuwabariki. Kisha Labani akaondoka na kurudi kwake.
Востав же Лаван заутра, лобыза сыны и дщери своя и благослови я: и возвратився Лаван, отиде на место свое.

< Mwanzo 31 >