< Mwanzo 31 >
1 Basi Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani, wakisema, “Yakobo amechukuwa yote yaliyokuwa ya baba yetu, na ni kutoka katika mali ya baba yetu amepata utajiri wake.”
Ya: igobe da La: iba: ne egefelali ilia sia: i amane, “Ya: igobe da ninia ada ea gagui huluane wamolai dagoi. Ea gagui huluane da ninia ada ea musa: gagui liligi,” amo sia: Ya: igobe da nabi.
2 Yakobo akaona mwonekano katika uso wa Labani. Akaona kwamba nia yake imebadilika.
Musa: La: iba: ne da ema asigisu be wali da hame asigi, amo amola e da ba: i galu.
3 Kisha Yahwe akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na ya ndugu zako, nami nitakuwa nawe.”
Amalalu, Hina Gode da ema amane sia: i, “Dia ada amola dia fi dunu ilia sogega buhagima. Na da di sigi masunu.”
4 Yakobo akatuma kuwaita Raheli na Lea uwandani katika kundi lake la kondoo
Amaiba: le, Ya: igobe da La: isele amola Lia amo ela da gisi odagiaba sogebi amo ganodini ea sibi gilisili dialebe ba: i, amoga e yosia: musa: misa: ne sia: i.
5 naye akawambia, “Naona nia ya baba yenu kwangu imebadilika, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa nami.
E da elama amane sia: i, “Alia ada da ea musa: hou fisili, wali nama hame asigisa, na da ba: i dagoi. Be na ada ea Gode da na fidimusa: lelu.
6 Nanyi mnajua kwamba ni kwa nguvu zangu zote nimemtumikia baba yenu.
Alia dawa: ! Na da na gasa huluane amoga dia ada ea hawa: hamosu.
7 Baba yenu amenidanganya na amebadilisha ujira wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu kunidhuru.
Be e da nama ogogoi. Amola e da na muni logo nabuane afadenei. Be Gode da fidibiba: le, e da na hame wadela: lesi.
8 Ikiwa alisema, 'Wanyama wenye mabaka watakuwa ujira wako,' ndipo kondoo wote walipozaa watoto wenye mabaka. Na aliposema, wenye milia watakuwa ujira wako,' ndipo kundi lote lilipozaa watoto wenye milia.
La: iba: ne da, ‘Daginisisi gadofo goudi da dia bidi lamu gala’ amo sia: noba, goudi huluane da daginisisi agoane lalelegei. Amola e da, ‘gadofo fifi hamoi goudi amola da dia bidi lamu gala’ amo sia: noba, goudi huluane da gadofo fifi agoane ba: i.
9 Kwa njia hii Mungu amemnyang'anya mifugo baba yenu na kunipa mimi.
Gode da dia ada gebo fi huluane fadegale, nama i dagoi.
10 Wakati fulani wa majira ya kupandana, niliona katika ndoto mabeberu yaliyowapanda kundi. Mabeberu yalikuwa ya milia, mabaka na madoa.
Eso afaega, eso amoga lai ohe fi da mano lasu hou hamosa, amo esoga na da simasia ba: i agoane, goudi gawali huluane da aseme ilima mano lama: ne hamomusa: doaga: loba, ilia huluane da fifi amola daginisisi amola hoholei agoane ba: i.
11 Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, 'Yakobo.' Nikasema, 'Mimi hapa.'
Simasia ganodini, Gode Ea a: igele dunu da nama amane sia: i, ‘Ya: igobe!’ Na bu adole i, ‘Na wea!’
12 Akasema, 'Inua macho yako uone mabeberu wanaolipanda kundi. Wana milia, madoa na na mabaka, kwani nimeona kila jambo Labani analokutendea.
Amalalu, E da amane sia: i, ‘Ba: le gadoma! Goudi gawali huluane da mano lasu hou hamosa, huluane da fifi amola daginisisi amola hoholei fawane. Na da La: iba: ne ea hou dima hamonana, amo Na ba: i dagoiba: le, amo hou hamoi dagoi.
13 Mimi ni Mungu wa Betheli, mahali ulipoitia nguzo mafuta, mahali uliponitolea nadhiri. Basi sasa inuka na uondoke katika nchi hii na kurudi katika nchi uliyozaliwa.
Na da Bedele (amoga di da igi busafugulu modale ligiagamusa: , olife susuligi sogadigili, gasa bagade Nama fa: no bobogema: ne sia: i) amo sogebi Gode esala. Wahadafa dia liligi momagele, amo soge yolesili dia sogedafa amoga buhagima.’”
14 Raheli na Lea wakajibu na kumwambia, “Je kuna sehemu yoyote au urithi wetu katika nyumba ya baba yetu?
La: isele amola Lia da Ya: igobema bu adole i, “Ania ada ema ani nana liligi lamu da hamedei.
15 Je hatutendei kama wageni? Kwa maana ametuuza na kwa ujumla ametapanya pesa zetu.
Ea da ani ga fi agoane ba: sa. E da ani bidi lai dagoi amola wali e da muni huluane ani bidi lama: ne lai, amo huluane e da ha: digi dagoi.
16 Mali zote ambazo sasa Mungu amemnyang'anya baba yetu ni zetu na watoto wetu. Sasa basi, lolote Mungu alilokuambia, fanya.
Muni amola liligi huluane amo Gode da La: iba: nema fadegai, amo huluane da ninia: amola ninia mano ilia: Di Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoma.”
17 Kisha Yakobo akainuka na kuwapandisha wanawe na wakeze kwenye ngamia.
Amalalu Ya: igobe da ea liligi huluane momagele, ea ada ea diasu Ga: ina: ne soge ganodini amoga buhagimusa: momagei. E da ea mano huluane amola ea uda ga: mele da: iya fila heda: ma: ne sia: i. Ea sibi amola ea goudi gilisisu, e bisima: ne sefasi. E da liligi huluane e da Mesoubouda: imia sogega lai, amo gaguli asi.
18 Akawaongoza mifugo wake wote mbele yake, pamoja na mali zake zote, wakiwemo wanyama aliowapata huko Padani Aramu. Kisha akaenda kuelekea kwa Isaka baba yake katika nchi ya Kanaani.
19 Labani alipokuwa amekwenda kuwakata manyoya kondoo wake, Raheli akaiba miungu ya nyumba ya baba yake.
La: iba: ne da ea sibi hinabo damumusa: asi dagoi ba: i. La: isele da ea ada ea loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi amo wamolai.
20 Yakobo pia akamdanganya Labani Mwarami, kwa kutomtaarifu kwamba anaondoka.
Ya: igobe amola da La: iba: nema ogogoi. E da hobea: i be La: iba: ne hame adoi.
21 Hivyo akaondoka na vyote alivyokuwa navyo na kwa haraka akavuka mto, na akaenda kuelekea nchi ya vilima ya Gileadi.
Amaiba: le, ea liligi huluane gaguli, e da hobea: i. E da Iufala: idisi Hano degele, Gilia: de goumi soge amoga doaga: musa: asi.
22 Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.
Eso udiana asili, La: iba: ne da Ya: igobe ea hobea: i nabi.
23 Hivyo akawachukua ndugu zake pamoja naye na kumfuatia kwa safari ya siku saba. Akampata katika nchi ya vilima ya Gileadi.
E da ea fi dunu sigi asili, eso fesuale fa: no bobogele, Gilia: de goumi sogega, Ya: igobema doaga: i.
24 Basi Mungu akaja kwa Labani Mwarami katika ndoto usiku na kumwambia, “Ujiadhari kumwambia Yakobo jambo lolote liwe jema au baya.”
Amalalu, La: iba: ne da simasia, Gode da ema amane sia: i, “Dawa: ma! Ya: igobema maedafa baduguma!”
25 Labani akampata Yakobo. Basi Yakobo alikuwa amepiga hema yake katika nchi ya vilima. Labani pia akapiga kambi pamoja na ndugu zake katika nchi ya kilima ya Gileadi.
La: iba: ne da Ya: igobema doaga: loba, Ya: igobe da ea abula diasu Gilia: de goumi soge amo ganodini gagui dialebe ba: i. La: iba: ne amola ea fi dunu da amoga ilia abula diasu gaguli esalu.
26 Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini, kwamba umewachukua binti zangu kama mateka wa vita?
Amalalu, La: iba: ne da Ya: igobema amane sia: i, “Di da abuliba: le nama ogogoi, amola na uda mano amo uda da gasawane gegei ganodini suguli lai defele, hiouginana asi dagoi.
27 Kwa nini umekimbia kwa siri na kunihadaa kwa kutokuniambia? Ningekuruhusu uondoke kwa sherehe na kwa nyimbo, kwa matari na vinubi.
Abuli nama ogogole, mae adole udigili hobea: i. Di da nama adole ba: loba, na da di hahawane asigi gesami hea: su amola sani baidama amola eno liligi dusa asili, di asunasila: loba.
28 Haukuniacha niwabusu wajukuu wangu na binti zangu kwa kuwaaga. Basi umefanya upumbavu.
Di udigili hobea: iba: le, na mano amola na aowa asigibio nonogomu da hamedei ba: i. Amo da gagaoui hou di da hamoi.
29 Iko katika uwezo wangu kukudhuru, lakini Mungu wa baba yako alisema nami usiku wa leo na kuniambia, 'Jiadhari usimwambie Yakobo neno la heri wala shari.'
Na da di wadela: musa: gasa gala. Be aya gasia Gode da nama sisasu. E da di mae badugama: ne, nama sia: i.
30 Na sasa, umeondoka kwa sababu umeitamani sana nyumba ya baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?
Di da dia sogedafa amoga buhagimu hanaiba: le fisili asi, amo na dawa: Be di da abuliba: le na fi loboga hamoi ‘gode’ liligi wamolabala?”
31 Yakobo akajibu na kumwambia Labani, “Ni kwa sababu niliogopa na kudhani kuwa ungeninyang'anya binti zako kwa nguvu ndiyo maana nikaondoka kwa siri.
Ya: igobe da bu adole i, “Di da dia uda mano amo bu samogesa: besa: le, na hobea: i.
32 Yeyote aliyeiiba miungu yako hataendelea kuishi. Mbele ya ndugu zetu, onesha chochote kilichochako nilichonacho na uchukue.” Kwa maana Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameviiba.
Be nowa da dia loboga hamoi ‘gode’ liligi wamolai, amo ninia da fane legemu. Wali ninia fi dunu da ba: su dunu esala. Di hogoi helema. Adi liligi da dia liligi ba: sea, defea, bu lama.” La: isele da La: iba: ne ea ‘gode’ liligi wamolai, amo Ya: igobe da hame dawa: i galu.
33 Labani akaingia katika hema ya Yakobo, katika hema ya Lea, na katika hema za wale wajakazi wawili, lakini hakuviona. Akatoka katika hema ya Lea na kuingia katika hema ya Raheli.
La: iba: ne da asili, Ya: igobe ea abula diasu ganodini hogoi. Amalalu, e da Lia abula diasuga asi, amola udigili hawa: hamosu uda aduna amo ela diasu. Be ea ‘gode’ liligi hame ba: i. Amalalu, e da La: isele ea diasuga asi.
34 Basi Raheli alikuwa ameichukua miungu ya nyumbani, na kuiweka katika ngozi ya ngamia, na kukaa juu yake. Labani akatafuta katika hema yote, lakini hakuiona.
La: isele da amo ‘gode’ liligi lale, ga: mele ea baligiga legesu esa amo ganodini salawane, amo da: iya fi galu. La: iba: ne da abula diasu huluane hogoi helele, hame ba: i.
35 Akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu, kwamba siwezi kusimama mbele yako, kwani nipo katika kipindi changu.” Hivyo akatafuta lakini hakuiona miungu ya nyumbani mwake.
La: isele da ea adama amane sia: i, “Ada! Nama mae ougima! Na da wa: legadomu gogolei galebe. Na da oubiga sioi fi galebe,” e ogogole amane sia: i. La: iba: ne da hogoi helele, be ea loboga hamoi ‘gode’ hame ba: i.
36 Yakobo akakasirika na kuojiana na Labani. Akamwambia, “Kosa langu ni nini? Dhambi yangu ni ipi, hata ukanifuatia kwa ukali?
Amalalu, Ya: igobe da mi hanai galu. E ougili amane sia: i, “Na da adi wadela: i hou hamobela: ? Na da adi sema fibiba: le, di da nama benea ahoasu dunu defele nama se bobogebela: ?
37 Kwa maana umechunguza mali zangu zote. Umeona nini kati ya kitu chochote cha nyumbani mwako? Viweke hapa mbele ya ndugu zetu, ili waamue kati yetu wawili.
Di da na liligi ganodini hogoi helebeba: le, dia liligi ba: bela: ? Amai galea, gadili ligisili, dia dunu amola na dunu da fofada: lalu, ninia da moloidafa dunu ba: mu.
38 Kwa miaka ishirini nimekuwa nawe. Kondoo wako na mbuzi wako hawakutoa mimba, wala sikula dume lolote la kondoo katika wanyama wako.
Na da wali ode 20 agoane, dia hawa: hamosu. Dia sibi amola dia goudi da mano bagohame lai dagoi. Sibi gawali dia sibi gilisisu amo ganodini esalebe, na da hamedafa mai.
39 Kilichoraruliwa na hayawani sikukuletea. Badala yake, nilichukua upotevu huo, kwamba wameibwa mchana au usiku.
Sibi da gasonasu ohe fi amoga medole legei ba: loba, na da nisu dabe i. Na da na hou dodofemusa: amo medole legei liligi dima hame gaguli misi. Esoga o gasi ganodini, liligi wamolai ba: loba, di da nama fawane dabe lai dagoi.
40 Nilikuwepo wakati wote; mchana joto lilinipata, na baridi wakati wa usiku; na sikupata usingizi.
Eso bagohame na da se nabi. Esoga eso gia: i bagade amola gasi ganodini anegagi. Na da golamu gogolei.
41 Miaka hii ishirini nimekuwa katika nyumba yako. Nilikufanyia kazi miaka kumi na nne kwa ajili ya binti zako wawili, na miaka sita kwa ajili ya wanyama wako. Umebadili ujira wangu mara kumi.
Amo hou da ode 20 agoane na da dia sogega esalu, agoaiwane ba: i. Ode 14 na da dia uda mano aduna bidi lama: ne udigili hawa: hamosu. Ode 6 amoga na da dia lai gebo gilisisu ouligisu. Na da na sibi amola goudi gilisisu lama: ne hawa: hamosu. Di amola da amo ganodini na bidi nabuane agoane afadenei.
42 Isipokuwa Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu, yule Isaka anayemwofu, amekuwa nami, bila shaka sasa ungenipeleka mikono mitupu. Mungu ameliona teso langu na jinsi nilivyofanya kazi kwa bidii, na hivyo akakukemea usiku wa leo.
Na ada A: ibalaha: me amola Aisage ela Gode da na hame fidi ganiaba, di da na udigili bidi mae lalewane asunasila: loba. Be Gode da na se nabasu amola na hawa: hamosu ba: i dagoi. Aya gasia E da dima gagabole sia: ne, Ea fofada: su hamoi dima olelei dagoi.”
43 Labani akajibu na kumwambia Yakobo, “Mabinti hawa ni mabinti zangu, wajukuu ni wajukuu wangu, na wanyama ni wanyama wangu. Yote uyaonayo ni yangu. Lakini nitafanya nini leo kwa hawa binti zangu, au kwa watoto wao waliowazaa?
La: iba: ne da Ya: igobema bu adole i, “Amo uda da na mano esala. Ilia manolali da na manolali. Lai gebo gilisisu huluane guiguda: goe da na: Liligi huluane di guiguda: ba: sa, amo da na liligi. Be na da na mano amola ilia mano gagumusa: hamedei ba: sa.
44 Hivyo sasa, na tufanye agano, wewe nami, na liwe shahidi kati yangu nawe.”
Amaiba: le, na da dima gousa: su hamomu gala. Ninia amo mae gogolema: ne, igi gilisili bi ilegele hamomu da defea.”
45 Hivyo Yakobo akachukua jiwe na kuliweka kama nguzo.
Amaiba: le, Ya: igobe da igi afae lale, wanonesisu hamoma: ne ligisi.
46 Yakobo akawambia ndugu zake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kufanya rundo. Kisha wakala pale kati ya lile rundo.
Ea sia: beba: le, ea dunu da igi eno gilisili, bi hamoi. Amalalu, amo igi gilisi bi dafulili, ilia da lolo mai.
47 Labani aliliita Yega Saha Dutha, lakini Yakobo akaiita Galeedi
La: iba: ne da amo igi bi dio asuli amo Yiga Sa: ihaduda. Ya: igobe da amo igi bi dio eno asuli amo Ga: liede. (Hibulu sia: - Mae Gogolema: ne Bi Gagui).
48 Labani akasema, “Rundo hili ni shahidi kati yangu nawe leo.” Kwa hiyo jina lake likaitwa Galedi.
La: iba: ne da Ya: igobema amane sia: i, “Amo igi bi da anima mae gogolema: ne ilegei dialumu.” Amaiba: le, amo sogebi ea dio da Ga: liede.
49 Inaitwa pia Mispa, kwa sababu Labani alisema, “Yahwe na atuangalie mimi nawe, tunapokuwa hatuonani.
La: iba: ne da eno amane sia: i, “Ania da afafamuba: le, Gode da ani noga: le ba: mu da defea.” Amaiba: le, amo sogebi dio eno da Misiba. (Ba: su Sogebi).
50 Ikiwa utawatesa binti zangu, au ikiwa utachukua wanawake wengine mbali na binti zangu, japokuwa hakuna mwingine yupo nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati yangu nawe.”
La: iba: ne e da amane sia: i, “Di da na uda mano wadela: lesisia o eno uda lasea, ania da afafamuba: le na da hame dawa: mu. Be mae gogolema. Gode da ani ba: lala.
51 Labani akamwambia Yakobo, Tazama rundo hili, na tazama nguzo, nililoliweka kati yako nami.
Igi bi na hamoi da goea. Amola amo da mae gogolema: ne igi diala.
52 Rundo hili ni shahidi, na nguzo ni shahidi, kwamba sitapita rundo hili kuja kwako, na kwamba wewe hautapita rundo hili kuja kwangu, kwa madhara.
Amo igi bi amola igi ilegei da agoane olelesa. Na da di doagala: musa: masea, amo igi bi baligimu da sema bagade. Amola di da nama doagala: musa: ahoasea, amo baligimu da sema bagade.
53 Mungu wa Ibrahimu, na mungu wa Nahori, miungu ya baba zao, waamue kati yetu.”Yakobo akaapa kwa Hofu ya Isaka baba yake.
A: ibalaha: me ea Gode amola Na: iho ea Gode da anima fofada: su dunu esala.” Amalalu Ya: igobe da Gode (Ema ea eda Aisage da nodone sia: ne gadosu) amo Ea Dioba: le, amo sema noga: le dawa: ma: ne, dafawane ilegele sia: i.
54 Yakobo akatoa sadaka juu ya mlima na akawaita ndugu zake kula chakula. Walikula na kukaa usiku kucha juu ya mlima.
E da ohe afae fane, gobele salasu hou amo goumia hamone, ea fi dunu amo lolo moma: ne sia: i. Ha: i nanu, ilia amo gasia goumi da: iya esalu.
55 Labani akaamka asubuhi na mapema, akawabusu wajuu zake na binti zake na kuwabariki. Kisha Labani akaondoka na kurudi kwake.
Hahabedafa, La: iba: ne da ea aowa huluane amola ea uda mano ilima asigibio nonogonanu, hi diasuga buhagimusa: fisili asi.