< Mwanzo 30 >

1 Raheli alipoona kwamba hamzalii Yakobo watoto, Raheli akamwonea wivu dada yake. Akamwambia Yakobo, “Nipe watoto, sivyo nitakufa.”
А като видя Рахил, че не раждаше деца на Якова, Рахил завидя на сестра си и рече на Якова: Дай ми чада, иначе аз ще умра.
2 Hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli. Akasema, “Mimi ni badala ya Mungu, aliyekuzuilia usipate watoto?
А Яков се разгневи на Рахил и рече: Нима съм аз, а не Бог, Който е лишил утробата ти от плод?
3 Akasema, “Tazama, kuna mjakazi wangu Bilha. Lala naye, hivyo aweze kuzaa watoto magotini pangu, nami nitapata watoto kwake.
А тя рече: Ето слугинята ми Вала; влез при нея, и тя да роди на коленете ми, та да придобия и аз деца чрез нея.
4 Hivyo akampa Bilha mjakazi kama mke wake, na Yakobo akalala naye.
И тъй, тя му даде слугинята си Вала за жена; и Яков влезе при нея.
5 Bilha akashika mimba na kumzalia Yakobo mwana.
И Вала зачна и роди син на Якова.
6 Kisha Raheli akasema, “Mungu ameamua kwa faida yangu. Ameyasikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita jina lake Dani
Тогава рече Рахил: Бог отсъди за мене, послуша и гласа ми, та ми даде син; затова го наименува Дан.
7 Bilha, mjakazi wa Raheli, akashika mimba tena na kumzalia Yakobo mwana wa pili.
И Вала, слугинята на Рахил, пак зачна и роди втори син на Якова.
8 Raheli akasema, “Kwa mashindano yenye nguvu nimeshindana na dada yangu na kushinda.” Akamwita jina lake Naftali.
Тогава рече Рахил: Силна борба водих със сестра си и надвих; затова го наименува Нефталим
9 Lea alipoona kwamba ameacha kuzaa, akamchukua Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo kama mke wake.
Когато видя Лия, че престана да ражда, взе слугинята си Зелфа, та я даде на Якова за жена.
10 Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.
И Зелфа, слугинята на Лия, роди син на Якова.
11 Lea akasema, “Hii ni bahati njema!” Hivyo akamwita jina lake Gadi.
И рече Лия: Щастие дойде; затова го наименува Гад.
12 Kisha Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.
И Зелфа, слугинята на Лия, роди втори син на Якова.
13 Lea akasema, “Nina furaha! Kwa maana mabinti wataniita furaha.” Hivyo akamwita jina lake Asheri.
Тогава рече Лия: Честита съм; защото честита ще ме нарекат жените; затова го наименува Асир
14 Siku za mavuno ya ngano Rubeni akaenda shambani na kuona tunguja. Akazileta kwa mama yake. Kisha Raheli akamwambia Lea, “Nipe baadhi ya tunguja za mwanao.”
И през времето на пшеничената жетва, Рувим, като излезе, намери мандрагорови ябълки на полето и ги донесе на майка си Лия; и Рахил рече на Лия: Я ми дай от мандрагоровите ябълки на сина ти.
15 Lea akamwambia, “Je ni jambo dogo kwako, kumchukua mme wangu? Je na sasa unataka kuchukua tunguja za mwanangu pia? Raheli akasema, “Kisha atalala nawe leo usiku, kwa kubadilishana na tunguja za mwanao.
А тя й рече: Малко ли ти е дето си отнела мъжа ми, та искаш да отнемеш мандрагоровите ябълки на сина ми? Тогава Рахил й рече: Като е тъй, нека лежи с тебе тая нощ за мандрагоровите ябълки на сина ти.
16 Jioni Yakobo akaja kutoka uwandani. Lea akaenda kumlaki na kusema, “Leo usiku utalala nami, kwani nimekuajiri kwa tunguja za mwanangu.” Hivyo Yakobo akalala na Lea usiku huo.
И така, когато дойде Яков вечерта от полето, Лия излезе да го посрещне и рече: При мене да влезеш, защото наистина те откупих с мандрагоровите ябълки на сина си. И лежа с нея оная нощ.
17 Mungu akamsikia Lea, na akashika mimba na kumzalia Yakobo mwana wa tano.
И Бог послуша Лия; и тя зачна, и роди пети син на Якова.
18 Lea akasema, “Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nilimpa mme wangu mjakazi wangu.” Akamwita jina lake Isakari.
Тогава рече Лия: Бог ми даде награда за гдето дадох слугинята си на мъжа си, затова го наименува Исахар.
19 Lea akashika mimba tena na kuzaa mwana wa tano kwa Yakobo.
И Лия пак зачна, и роди шести син на Якова.
20 Lea akasema, “Mungu amenipa zawadi njema. Sasa mme wangu ataniheshimu, kwa sababu nimemzalia wana sita.” Akamwita jina lake Zabuloni.
И рече Лия: Бог ми даде добър дар, сега мъжът ми ще живее с мене, защото му родих шест сина; затова го наименува Завулон.
21 Baadaye akazaa binti na kumwita jina lake Dina.
И после роди дъщеря, която наименува Дина.
22 Mungu akamkumbuka Raheli na kumsikiliza. Akampa kushika mimba.
След това Бог си спомни за Рахил; Бог я послуша и отвори утробата й.
23 Akashika mimba na kuzaa mwana. Akasema, “Mungu ameiondoa aibu yangu.”
Тя зачна и роди син, и рече: Бог отне от мене позора.
24 Akamwita jina lake Yusufu, akisema, Yahwe ameniongeza mwana mwingine.”
И наименува го Иосиф
25 Baada ya Raheli kumzaa Yusufu, Yakobo akamwambia Labani, “Niache niande, ili kwamba niende nyumbani kwetu na katika nchi yangu.
А като роди Рахил Иосифа, Яков рече на Лавана: Пусни ме да си отида в моето място и в отечеството си.
26 Nipe wake zangu na watoto wangu niliokutumikia kwa ajili yao, na uniache niondoke, kwani unafahamu nilivyokutumikia.
Дай ми жените и децата ми, за които съм ти работил, за да си отида; защото ти знаеш работата, която ти свърших.
27 Labani akamwambia, “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, subiri, kwa sababu nimejifunza kwa kutumia uaguzi kwamba Yahwe amenibariki kwa ajili yako.”
А Лаван му рече: Ако съм придобил твоето благоволение, остани, защото разбрах, че Господ ме е благословил заради тебе.
28 Kisha akasema, “Taja ujira wako, nami nitalipa.”
Рече още: Кажи ми каква заплата искаш и ще ти я дам.
29 Yakobo akamwambia, “Unajua nilivyokutumikia, na jinsi ambavyo mifugo wako wamekuwa nami.
А Яков му каза: Ти знаеш как съм ти работил и как е бил добитъкът ти при мене.
30 Kwani walikuwa wachache kabla sijaja, na wameongezeka kwa wingi. Popote nilipokutumikia Mungu amekubariki. Je ni lini mimi nitaandaa kwa ajili ya nyumba yangu pia?”
Защото това, което имаше ти преди моето идване, беше малко; а сега нарасна и стана много. С моето идване Господ те благослови. Но сега, кога ще промисля и за своя си дом?
31 Hivyo Labani akasema, “Je nikulipe nini? Yakobo akasema, 'Usinipe chochote. Ikiwa utafanya jambo hili kwa ajili yangu, nitawalisha tena kondoo wako na kuwatunza.
А той рече: Какво да ти дам? И Яков каза: Не ми давай нищо; ако направиш каквото ти кажа, аз пак ще пазя и стадото ти;
32 Niache nipite kati ya kundi lako lote leo, kwa kuondoa kila kondoo mwenye milia na mabaka, na kila kondoo mweusi kati yao, na kati ya wenye mabaka na milia katika mbuzi. Hawa watakuwa ujira wangu.
ще премина днес през цялото ти стадо и ще отлъча от него всяка капчеста и пъстра, и всяка черникава между овците, и всяка пъстра и капчеста между козите; те ще ми бъдат заплатата.
33 Uadilifu wangu utashuhudia kwa ajili yangu hapo baadaye, utakapokuja kuangalia ujira wangu. Kila ambaye hana milia na hana madoa miongoni mwa mbuzi, na mweusi kati ya kondoo, ikiwa wataonekana kwangu, watahesabiwa kuwa wameibwa.”
И занапред, когато дойдеш да прегледаш заплатата ми, моята правота ще засвидетелствува за мене - всяка коза, която не е капчеста и пъстра, и всяка овца, която не е черна, тя, ако се намери у мене, ще се счита за крадена.
34 Labani akasema, “Nakubali. Na iwe kama yalivyo maneno yako.”
И рече Лаван: Нека да бъде според както си казал.
35 Siku hiyo Labani akaondoa mabeberu yaliyokuwa na milia na madoa, na majike ya mbuzi yaliyokuwa na milia na madoa, kila aliyekuwa mweupe, na weusi wote katika mbuzi, akawakabidhi katika mikono ya wanaye.
И тъй, в същия ден, Лаван отлъчи нашарените с линии и пъстрите козли, всичките капчести и пъстри кози, всичките, на които имаше бяло и всичките черни между овците, та ги предаде в ръцете на Якововите синове
36 Pia Labani akaweka safari ya siku tatu kati yake na Yakobo. Hivyo Yakobo akabaki kuchunga wale kondoo wa Labani waliosalia.
и постави тридневен път между себе си и Якова; а Яков пасеше останалите от Лавановите стада.
37 Yakobo akachukua matawi mabichi yaliyokatwa ya mipopla, mlozi na mwaramoni mbichi akatoa maganda ili michilizi myeupe ionekane, na akaifanya sehemu nyeupe ya ndani ya mti iliyokuwa ndani ya fito ionekane.
Тогава Яков взе зелени пръчки от топола, от леска и от явор, и изряза по тях бели ивици, така щото да се вижда бялото по пръчките.
38 Kisha akaziweka fito alizokuwa amezibambua mbele ya makundi ya kondoo, mbele ya mabirika yakunyweshea walipokuja kunywa maji. Wakashika mimba walipokuja kunywa maji.
Тия пръчки, по които беше изрязал белите ивици, тури пред стадата в коритата, в поилата, дето дохождаха стадата да пият; и, като зачеваха, когато дохождаха да пият,
39 Wanyama wakapandana mbele ya fito; nao wakazaa watoto wenye milia, mabaka na wenye madoa.
то стадата зачеваха пред пръчките; и стадата раждаха нашарени с линии, капчести и пъстри.
40 Yakobo akawatenga hawa wanakondoo, lakini akawafanya waliosalia kuelekea wanyama wenye milia na kondoo weusi wote katika kundi la Labani. Kisha akayatenga makundi yake mwenyewe pekee na hakuwaweka pamoja na wale wa Labani.
И Яков отлъчваше агнетата, и обръщаше лицата на овците към нашарените и към всичките черни от Лавановото стадо; а своите стада тури отделно и не ги тури с Лавановите овци.
41 Pindi kondoo wenye nguvu katika kundi walipopandana, Yakobo alilaza fito katika mabirika ya maji mbele ya macho ya kundi, ili kwamba washike mimba kati ya fito.
И когато по-силните овци зачеваха, Яков туряше пръчките в коритата пред очите на стадото, за да зачеват между пръчките.
42 Lakini wakati waliodhaifu walipokuja, hakuweka fito mbele yao. Hivyo wanyama dhaifu wakawa wa Labani, na wenye nguvu wakawa wa Yakobo.
А когато те бяха по-слаби, не ги туряше; така че се падаха по-слабите на Лавана, а по-силните на Якова.
43 Mtu huyo akastawi sana. Akawa na kundi kubwa la kondoo, wajakazi na wajoli, ngamia na punda.
Така човекът забогатя твърде много и придоби големи стада, слугини и слуги, камили и осли.

< Mwanzo 30 >