< Mwanzo 28 >
1 Isaka akamwita Yakobo, akambariki, na kumwagiza, “Usichukuwe mwanamke katika wanawake wa Kikanaani.
and to call: call to Isaac to(wards) Jacob and to bless [obj] him and to command him and to say to/for him not to take: marry woman: wife from daughter Canaan
2 Inuka, nenda Padani Aramu, katika nyumba ya Bethueli baba wa mama yako, na uchukue mwanamke pale, mmojawapo wa binti za Labani, kaka wa mama yako.
to arise: rise to go: went Paddan [to] (Paddan)-aram house: household [to] Bethuel father mother your and to take: take to/for you from there woman: wife from daughter Laban brother: male-sibling mother your
3 Mungu Mwenyezi na akubariki, akupe uzao na akuzidishe, hata uwe wingi wa watu.
and God Almighty to bless [obj] you and be fruitful you and to multiply you and to be to/for assembly people
4 Na akupe baraka ya Ibrahimu, wewe, na uzao wako baada yako, kwamba uweze kumilki nchi ambapo umekuwa ukiishi, ambayo Mungu alimpa Ibrahimu.”
and to give: give to/for you [obj] blessing Abraham to/for you and to/for seed: children your with you to/for to possess: take you [obj] land: country/planet sojourning your which to give: give God to/for Abraham
5 Hivyo Isaka akamwondoa Yakobo. Yakobo akaenda Padani Aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, kaka wa Rebeka, mama yao Yakobo na Esau.
and to send: depart Isaac [obj] Jacob and to go: went Paddan [to] (Paddan)-aram to(wards) Laban son: child Bethuel [the] Aramean brother: male-sibling Rebekah mother Jacob and Esau
6 Basi Esau alipoona kwamba Isaka amembariki Yakobo na kumpeleka Padani Aramu, kuchukua mke kutoka pale. Lakini pia akaona kwamba Isaka alikuwa amembariki na kumwagiza, akisema, “Usichukue mke katika wanawake wa Kanaani.”
and to see: see Esau for to bless Isaac [obj] Jacob and to send: depart [obj] him Paddan [to] (Paddan)-aram to/for to take: marry to/for him from there woman: wife in/on/with to bless he [obj] him and to command upon him to/for to say not to take: marry woman: wife from daughter Canaan
7 Esau pia akaona kwamba Yakobo alikuwa amemtii baba yake na mama yake, na alikuwa amekwenda Padani Aramu.
and to hear: obey Jacob to(wards) father his and to(wards) mother his and to go: went Paddan [to] (Paddan)-aram
8 Esau akaona kwamba wanawake wa Kanaani hawakumpendeza Isaka baba yake.
and to see: see Esau for bad: evil daughter Canaan in/on/with eye: appearance Isaac father his
9 Hivyo akaenda kwa Ishmaeli, na kuchukua, mbali na wake aliokuwa nao, Mahalathi binti Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, dada wa Nebayothi, kuwa mke wake.
and to go: went Esau to(wards) Ishmael and to take: marry [obj] Mahalath daughter Ishmael son: child Abraham sister Nebaioth upon woman: wife his to/for him to/for woman: wife
10 Yakobo akatoka Beersheba na akaelekea Harani.
and to come out: extends Jacob from Beersheba Beersheba and to go: went Haran [to]
11 Akaja mahali fulani na akakaa pale usiku kucha, kwa kuwa jua lilikuwa limekuchwa. Akachukua mojawapo ya mawe katika eneo hilo, akaliweka chini ya kichwa chake, na akalala usingizi katika eneo hilo.
and to fall on in/on/with place and to lodge there for to come (in): (sun)set [the] sun and to take: take from stone [the] place and to set: put head his and to lie down: sleep in/on/with place [the] he/she/it
12 Akaota na kuona ngazi imewekwa juu ya nchi. Ncha yake ilifika hata mbinguni na malaika wa Mungu walikuwa wakishuka na kupanda juu yake.
and to dream and behold ladder to stand land: country/planet [to] and head: top his to touch [the] heaven [to] and behold messenger: angel God to ascend: rise and to go down in/on/with him
13 Tazama, Yahwe amesimama juu yake na kusema, “Mimi ni Yahwe, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka. Nchi uliyolala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.
and behold LORD to stand upon him and to say I LORD God Abraham father your and God Isaac [the] land: country/planet which you(m. s.) to lie down: lay down upon her to/for you to give: give her and to/for seed: children your
14 Uzao wako utakuwa kama mavumbi ya ardhi, na utaenea mbali kuelekea magharibi, mashariki, kaskazini, na kusini. Kupitia kwako na kupitia uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.
and to be seed: children your like/as dust [the] land: soil and to break through sea: west [to] and east [to] and north [to] and south [to] and to bless in/on/with you all family [the] land: soil and in/on/with seed: children your
15 Tazama, mimi nipo nawe, na nitakulinda kila uendako, Nitakurudisha katika nchi hii tena; kwani sitakuacha. Nitafanya kila nililokuahidi.”
and behold I with you and to keep: guard you in/on/with all which to go: went and to return: return you to(wards) [the] land: soil [the] this for not to leave: forsake you till which if: until to make: do [obj] which to speak: promise to/for you
16 Yakobo akaamka katika usingizi, na akasema, “Hakika Yahwe yupo mahali hapa, sikujua hili.”
and to awake Jacob from sleep his and to say surely there LORD in/on/with place [the] this and I not to know
17 Akaogopa na kusema, “Eneo hili linatisha kama nini! Hili sio kingine zaidi ya nyumba ya Mungu. Hili ni lango la mbinguni.”
and to fear: revere and to say what? to fear: revere [the] place [the] this nothing this that if: except if: except house: home God and this gate [the] heaven
18 Yakobo akaamka mapema asubuhi na akachukua jiwe alilokuwa ameliweka chini ya kichwa chake. Akaliweka kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.
and to rise Jacob in/on/with morning and to take: take [obj] [the] stone which to set: put head his and to set: make [obj] her pillar and to pour: pour oil upon head: top her
19 Akapaita pale Betheli, lakini jina la kawaida la mji lilikuwa Luzu.
and to call: call by [obj] name [the] place [the] he/she/it Bethel Bethel and but Luz name [the] city to/for first
20 Yakobo akatoa nadhiri, kusema, “Ikiwa Mungu atakuwa nami na atanilinda katika njia nipitayo, na atanipa mkate wa kula, na mavazi ya kuvaa,
and to vow Jacob vow to/for to say if to be God with me me and to keep: guard me in/on/with way: journey [the] this which I to go: went and to give: give to/for me food: bread to/for to eat and garment to/for to clothe
21 hata nikarudi salama katika nyumba ya baba yangu, ndipo Yahwe atakapokuwa Mungu wangu.
and to return: return in/on/with peace to(wards) house: home father my and to be LORD to/for me to/for God
22 Kisha jiwe hili nililoliweka kama nguzo litakuwa jiwe takatifu. Kutoka katika kila utakachonipa, kwa hakika nitakupa tena sehemu ya kumi.”
and [the] stone [the] this which to set: make pillar to be house: home God and all which to give: give to/for me to tithe to tithe him to/for you