< Mwanzo 28 >

1 Isaka akamwita Yakobo, akambariki, na kumwagiza, “Usichukuwe mwanamke katika wanawake wa Kikanaani.
Hatdawkvah, Isak ni Jakop hah a kaw teh yawhawinae a poe, tawngtang lawk a thui e teh, Kanaan canunaw thung e yu na lat mahoeh.
2 Inuka, nenda Padani Aramu, katika nyumba ya Bethueli baba wa mama yako, na uchukue mwanamke pale, mmojawapo wa binti za Labani, kaka wa mama yako.
Thaw nateh Paddanaram ram dawk na manu e a na pa Bethuel im vah cet. Haw e na manu e a thangroi Laban canunaw thung dawk hoi na yu hah lat.
3 Mungu Mwenyezi na akubariki, akupe uzao na akuzidishe, hata uwe wingi wa watu.
Bangpueng ka sak thai e Cathut ni yawhawi na poe naseh, miphun moi kapap lah na pung thai nahanlah ca catoun moi na tawn sak teh na pungdaw sak naseh.
4 Na akupe baraka ya Ibrahimu, wewe, na uzao wako baada yako, kwamba uweze kumilki nchi ambapo umekuwa ukiishi, ambayo Mungu alimpa Ibrahimu.”
Imyin lah onae ram, Cathut ni Abraham koe a poe e heh na coe nahanlah Abraham yawhawinae teh na coe sak awh naseh, nang hoi na canaw hoi telah lawk a thui.
5 Hivyo Isaka akamwondoa Yakobo. Yakobo akaenda Padani Aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, kaka wa Rebeka, mama yao Yakobo na Esau.
Hatdawkvah, Isak ni Jakop teh yout a ceisak teh, Paddanaram ram e Jakop hoi Esaw e manu Rebekah e a thangroi Syria tami Bethuel capa Laban koevah a cei.
6 Basi Esau alipoona kwamba Isaka amembariki Yakobo na kumpeleka Padani Aramu, kuchukua mke kutoka pale. Lakini pia akaona kwamba Isaka alikuwa amembariki na kumwagiza, akisema, “Usichukue mke katika wanawake wa Kanaani.”
Isak ni Jakop hah yawhawi a poe teh a yu la hanlah Paddanaram ram lah a patoun. Yawhawi a poe nah Kanaan ram e tanglanaw yu lah na lat mahoeh telah lawk a thui.
7 Esau pia akaona kwamba Yakobo alikuwa amemtii baba yake na mama yake, na alikuwa amekwenda Padani Aramu.
Jakop ni a manu hoi a na pa e lawk hah a ngai teh, Paddanaram ram dawk a cei.
8 Esau akaona kwamba wanawake wa Kanaani hawakumpendeza Isaka baba yake.
Kanaan ram e tangla naw ni a na pa Isak lungyouk sak hoeh toe tie a hmu navah,
9 Hivyo akaenda kwa Ishmaeli, na kuchukua, mbali na wake aliokuwa nao, Mahalathi binti Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, dada wa Nebayothi, kuwa mke wake.
Esaw ni Ishmael koevah a cei teh a tawn tangcoung a yunaw hloilah, Abraham capa Ishmael e canu Mahalath Nebaioth tawncanu hah a yu lah a la.
10 Yakobo akatoka Beersheba na akaelekea Harani.
Jakop teh Beersheba hoi a kamthaw teh Haran lah a cei.
11 Akaja mahali fulani na akakaa pale usiku kucha, kwa kuwa jua lilikuwa limekuchwa. Akachukua mojawapo ya mawe katika eneo hilo, akaliweka chini ya kichwa chake, na akalala usingizi katika eneo hilo.
Hmuen buet touh koe a pha teh kanîloum toung dawkvah a roe. Talung buet touh hah a la teh lahoung lah a lahoung teh i hanlah a yan.
12 Akaota na kuona ngazi imewekwa juu ya nchi. Ncha yake ilifika hata mbinguni na malaika wa Mungu walikuwa wakishuka na kupanda juu yake.
Hahoi, mang a mang teh talai van khalai a kâdo teh a donghmo ni kalvan a pha. Hote khalai dawk Cathut e kalvantaminaw a kumluen awh.
13 Tazama, Yahwe amesimama juu yake na kusema, “Mimi ni Yahwe, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka. Nchi uliyolala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.
A lathueng vah, BAWIPA a kangdue teh, Kai teh BAWIPA, na min Abraham e Cathut hoi Isak e Cathut lah ka o, na inae ram hah nang hoi na ca catounnaw ka poe han;
14 Uzao wako utakuwa kama mavumbi ya ardhi, na utaenea mbali kuelekea magharibi, mashariki, kaskazini, na kusini. Kupitia kwako na kupitia uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.
Na ca catounnaw teh talai e vaiphu yit touh a pha awh han. Kanîtho, kanîloum, atunglah, akalah na pungdaw awh han. Nang pawlawk dawk hoi miphunnaw pueng ni yawhawinae a hmu awh han.
15 Tazama, mimi nipo nawe, na nitakulinda kila uendako, Nitakurudisha katika nchi hii tena; kwani sitakuacha. Nitafanya kila nililokuahidi.”
Khenhaw! nang koevah ka o. Na ceinae pueng koe na kountouk vaiteh, hete ram dawk bout na bankhai awh han. Nang koe ka dei e ka sak hoehnahlan pueng teh na cettakhai mahoeh telah ati.
16 Yakobo akaamka katika usingizi, na akasema, “Hakika Yahwe yupo mahali hapa, sikujua hili.”
Jakop ni a kâhlaw teh, hete hmuen koe BAWIPA teh ao roeroe ka panuek laipalah ka o, telah ati.
17 Akaogopa na kusema, “Eneo hili linatisha kama nini! Hili sio kingine zaidi ya nyumba ya Mungu. Hili ni lango la mbinguni.”
Hatdawkvah, a taki teh, het hmuen heh takikatho e lah ao! hete heh hmuen alouke nahoeh, Cathut e im, kalvan longkha lah ao, telah ati. Jakop ni amom a thaw teh a lahoung e talung hah a lah teh talung lah a ung teh a van vah satui hah a awi.
18 Yakobo akaamka mapema asubuhi na akachukua jiwe alilokuwa ameliweka chini ya kichwa chake. Akaliweka kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.
Jakop ni amom a thaw teh a lahoung e talung hah a lah teh lungkhoung a ung teh, avan vah satui hah a awi.
19 Akapaita pale Betheli, lakini jina la kawaida la mji lilikuwa Luzu.
Hote hmuen hah Bethel telah a phung. Hote kho teh hmaloe vah Luz lah ao.
20 Yakobo akatoa nadhiri, kusema, “Ikiwa Mungu atakuwa nami na atanilinda katika njia nipitayo, na atanipa mkate wa kula, na mavazi ya kuvaa,
Jakop ni, apa im dawk lungmawngcalah ka ban thai nahan, kai koe Cathut hah ao teh ka ceinae lam hah a ring teh,
21 hata nikarudi salama katika nyumba ya baba yangu, ndipo Yahwe atakapokuwa Mungu wangu.
ca han e vaiyei hoi kâkhu hane hni na poe boipawiteh, BAWIPA teh ka Cathut lah ao han.
22 Kisha jiwe hili nililoliweka kama nguzo litakuwa jiwe takatifu. Kutoka katika kila utakachonipa, kwa hakika nitakupa tena sehemu ya kumi.”
Hete talung ka ung e haiyah Cathut e im lah ao han, hahoi na poe hane naw pueng thung dawk hoi hra touh dawk buet touh teh na poe roeroe han, telah lawkkamnae hah a sak.

< Mwanzo 28 >