< Mwanzo 23 >

1 Sara akaishi mika mia moja na ishirini na saba. Hii ndiyo ilikuwa ni miaka ya maisha ya Sara.
Un Sāra bija simts divdesmit un septiņus gadus veca, - šis bija Sāras mūžs, - un Sāra nomira Kiriat-Arbā, - tā ir Hebrone Kanaāna zemē.
2 Sara akafa katika Kiriathi Arba, ambayo ni Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abraham akaomboleza na kumlilia Sara.
Un Ābrahāms nāca Sāru nožēlot un viņu apraudāt.
3 Kisha Abraham akainuka na kutoka kwa mkewe aliye kufa, akanena na watoto wa kiume wa Hethi, akisema,
Tad Ābrahāms cēlās no sava miroņa un runāja ar Heta bērniem sacīdams:
4 “Mimi ni mgeni kati yenu. Tafadhari nipatieni mahali pa kuzikia miongoni mwenu, ili kwamba niweze kuzika wafu wangu.”
Es esmu svešinieks un piedzīvotājs pie jums, dodiet man dzimts kapa vietu, - tad es savu mironi aprakšu no manām acīm nost.
5 Wana wa Hethi wakamjibu Abraham, wakasema,
Un Heta bērni Ābrahāmam atbildēja un uz to sacīja:
6 “Tusikilize, bwana wangu. Wewe ni mwana wa Mungu miongoni mwetu. Zika wafu wako katika makaburi yetu utakayochagua. Hakuna miongoni mwetu atakaye kuzuilia kaburi lake, kwa ajili ya kuzikia wafu wako.”
Klausi mūs, kungs; tu esi viens Dieva celts virsnieks mūsu vidū, - aproc savu mironi mūsu visgodīgākos kapos; nevienam no mums tev nebūs liegt savu kapu, ka tu nevarētu aprakt savu mironi.
7 Abraham akainuka na kusujudu chini kwa watu wa nchi ile, kwa wana wa Hethi.
Tad Ābrahāms cēlās un klanījās priekš tiem zemes ļaudīm, priekš Heta bērniem,
8 Akawaambia, akisema, “ikiwa mmekubali mimi kuzika wafu wangu, ndipo nisikilizeni, msihini Efroni mwana wa Sohari kwa ajili yangu.
Un ar tiem runāja sacīdams: ja tas jums pa prātam, ka es savu mironi aproku no savām acīm nost, tad klausiet man un lūdziet par mani Efronu, Coāra dēlu,
9 Mwambieni aniuzie pango la Makpela, ambalo analimiliki, ambalo liko mwishoni mwa shamba lake. Kwa bei kamili aniuzie waziwazi mbele ya watu kama miliki ya kuzikia.”
Lai tas man dod Makpelas alu, kas tam ir sava tīruma galā; lai man to dod par pilnu naudu, par dzimts kapa vietu jūsu vidū.
10 Efroni alikuwa ameketi miongoni mwa wana wa Hethi, hivyo Efroni Mhiti akamjibu Abraham alipowasikia wana wa Hethi, wote ambao walikuwa wamekuja langoni mwa mji wake, akasema,
Un Efrons sēdēja starp Heta bērniem. Tad Efrons, tas Etietis, Ābrahāmam atbildēja priekš Heta bērnu ausīm un priekš visiem, kas pa viņa pilsētas vārtiem staigāja, sacīdams:
11 “Hapana, bwana wangu, nisikilize. Ninakupatia shamba na pango ambalo limo ndani yake. Ninakupatia mbele ya wana wa watu wangu. Ninakupatia uzike wafu wako.”
Nē, mans kungs, klausi man, - to tīrumu es tev dodu, un to alu, kas tanī ir, to es tev dodu, priekš savu ļaužu bērnu acīm es tev to dodu, aproc savu mironi.
12 Kisha Abraham akasujudu chini mbele ya watu wa nchi ile.
Tad Ābrahāms klanījās priekš tiem zemes ļaudīm
13 Akamwambia Efroni watu wa nchi ile wakisikiliza, akasema, ikiwa uko radhi, tafadhari nisikilize. Nitalipia shamba. Chukua fedha kwangu, na nitazika wafu wangu pale.”
Un runāja uz Efronu, tiem zemes ļaudīm dzirdot, sacīdams: kaut tu jel mani klausītu! Es tev došu to naudu par to tīrumu, ņem to no manis, tad es tur aprakšu savu mironi.
14 Efroni akamjibu Abraham, akisema,
Un Efrons atbildēja Ābrahāmam sacīdams:
15 “Tafadhari bwana wangu, nisikilize. Kipande cha ardhi kinathamani ya shekeli mia nne za fedha, na hiyo ni kitu gani kati yangu mimi na wewe? wazike wafu wako.”
Mans kungs, klausi mani, tā zeme maksā četrsimt sudraba sēķeļus, - kas tas ir starp mani un tevi? Aproc tikai savu mironi.
16 Abraham akamsikiliza Efroni na akampimia Efroni kiwango cha fedha alizosema mbele ya wana wa Helthi wakisikiliza, shekeli mia nne za fedha, kwa mujibu wa viwango vya vipimo vya kibiashara.
Un Ābrahāms paklausīja Efronam un nosvēra tam to naudu, kā tas bija runājis, Heta bērniem dzirdot, četrsimt sudraba sēķeļus, kas ģeld tirgotāju starpā.
17 Kwa hiyo shamba la Efroni, lililokuwa katika Makpela, mbele ya Mamre, shamba pamoja na pango lililokuwamo ndani yake na miti yote iliyokuwamo ndani ya shamba na iliyokuwa mpakani ikatolewa
Tad kļuva apstiprināts Efrona tīrums, iekš kā tā Makpelas ala, pret Mamri, tas tīrums un tā ala, kas tanī bija, un visi koki, kas uz tā tīruma stāvēja, kas visapkārt bija viņa ežās,
18 kwa Abraham kwa njia ya manunuzi mbele ya wana wa Hethi, na mbele ya wote waliokuja malangoni pa mji wake.
Ābrahāmam par īpašumu priekš Heta bērnu acīm, priekš visiem, kas pa viņa pilsētas vārtiem staigāja.
19 Baada ya haya, Abraham akamzika Sara mkewe katika pango la shamba la Makpela, lililo mbele ya Mamre, ambayo ni Hebroni, katika nchi ya Kanaani.
Un pēc tam Ābrahāms apraka savu sievu Sāru Makpelas alā tai tīrumā pret Mamri, - tā ir Hebrone Kanaāna zemē.
20 Kwa hiyo shamba pamoja na pango likatolewa na wana wa Hethi kwa Abraham kama milki na eneo la kuzikia.
Tā kļuva apstiprināts tas tīrums un tā ala, kas tanī bija, Ābrahāmam par dzimts kapa vietu no Heta bērniem.

< Mwanzo 23 >