< Mwanzo 23 >

1 Sara akaishi mika mia moja na ishirini na saba. Hii ndiyo ilikuwa ni miaka ya maisha ya Sara.
Sarah chu kum jakhat le kum som ni le kum sagi jen ahing in,
2 Sara akafa katika Kiriathi Arba, ambayo ni Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abraham akaomboleza na kumlilia Sara.
Sarah chu Kiriath-arba kiti muna athi tan, hichu Hebron kiti Canaan gam sunga um ahi, hichun Abraham chu Sarah umlou jeh a lunghel le mitlhi long in achup in ahi.
3 Kisha Abraham akainuka na kutoka kwa mkewe aliye kufa, akanena na watoto wa kiume wa Hethi, akisema,
Hichun ajinu long adalhah ding jeh in Hit mite ho kom a aseiyin,
4 “Mimi ni mgeni kati yenu. Tafadhari nipatieni mahali pa kuzikia miongoni mwenu, ili kwamba niweze kuzika wafu wangu.”
“Keima gam chom mi kahin nangho lah a maljin bou kahi. Gambeh neo khat nei choh sah un, chuti le keiman ka jinu hi phaten kivui thei ing'e,” ati.
5 Wana wa Hethi wakamjibu Abraham, wakasema,
Hit mite ho chun Abraham adonbut un,
6 “Tusikilize, bwana wangu. Wewe ni mwana wa Mungu miongoni mwetu. Zika wafu wako katika makaburi yetu utakayochagua. Hakuna miongoni mwetu atakaye kuzuilia kaburi lake, kwa ajili ya kuzikia wafu wako.”
Ja umtah kapu thuseiyu ngaiyin, nangma Pathen a leng chapa banga kei ho lah a uma keiho lhan khuh aphapen khat'a khun na thilong chu vui jeng in, ka lah uva mihem khat cha jong hi alhan khuh na itpeh a na thilong na vuisah lou ding aum poi,” atiuve.
7 Abraham akainuka na kusujudu chini kwa watu wa nchi ile, kwa wana wa Hethi.
Hichun Abraham ading doh in agamsung mipite Hite miho chu salam bol din abohkhup tai.
8 Akawaambia, akisema, “ikiwa mmekubali mimi kuzika wafu wangu, ndipo nisikilizeni, msihini Efroni mwana wa Sohari kwa ajili yangu.
Abraham'in aseiyin, “Nangman nei kithopi nom kahen ahithei dingle Ephron Zohar chapa koma neisei peh uvin.”
9 Mwambieni aniuzie pango la Makpela, ambalo analimiliki, ambalo liko mwishoni mwa shamba lake. Kwa bei kamili aniuzie waziwazi mbele ya watu kama miliki ya kuzikia.”
“Ajeh chu agamgi chin a um ama Machpelah songlhan keo khu eipeh theiya ahile ken jong lhan muna kaman jing dingin nangho umpet tah hin aman alhingset in peng kate,” ati.
10 Efroni alikuwa ameketi miongoni mwa wana wa Hethi, hivyo Efroni Mhiti akamjibu Abraham alipowasikia wana wa Hethi, wote ambao walikuwa wamekuja langoni mwa mji wake, akasema,
Ephron chu mipi lah a atou pet ahin, Abraham chu adonbut in midang hon jong athusei chu aja cheh un, Hite mite ho khopi sunga umjouse jah ah hitin aseiye.
11 “Hapana, bwana wangu, nisikilize. Ninakupatia shamba na pango ambalo limo ndani yake. Ninakupatia mbele ya wana wa watu wangu. Ninakupatia uzike wafu wako.”
“Hithei ponte ka Pakai,” tin Abraham chu adonbut'e, “Lungset tah in ka thusei hi ngaiyin, keiman ka gam sunga adam lai, atong lai, kapeh ding nahi. Tuhin mipi ho masanga nangma kapeh ding nahi, chule nangman naji nu alongdamsa navui thei ahi.”
12 Kisha Abraham akasujudu chini mbele ya watu wa nchi ile.
Abraham chu agam mipiho masang a abohkhup kit in,
13 Akamwambia Efroni watu wa nchi ile wakisikiliza, akasema, ikiwa uko radhi, tafadhari nisikilize. Nitalipia shamba. Chukua fedha kwangu, na nitazika wafu wangu pale.”
Hichun Abraham'in Ephron le mipi atou cheng ho jah'a aseikit in, “Hithei ponte, lungset tah in ngaiyun, nangho koma ka choh nom lheh e, keiman gam man chu ka peh lhing nom e, ka loinu longdamsa kavui thei na ding in,” ati.
14 Efroni akamjibu Abraham, akisema,
Hichun Ephron in Abraham adonbut in,
15 “Tafadhari bwana wangu, nisikilize. Kipande cha ardhi kinathamani ya shekeli mia nne za fedha, na hiyo ni kitu gani kati yangu mimi na wewe? wazike wafu wako.”
Ka Pakai lungset tah in ngaiyin hiche gam man hi dangka jali ahiye, amavang eini golcha kingailut nahi mantam ahi? che inlang na loinu long damsa chu gavui tan ati.
16 Abraham akamsikiliza Efroni na akampimia Efroni kiwango cha fedha alizosema mbele ya wana wa Helthi wakisikiliza, shekeli mia nne za fedha, kwa mujibu wa viwango vya vipimo vya kibiashara.
Hichun Abraham chun Ephron in aseijat dangka jali chu apetan, hiche lai phat na kailhang thil man dung jui jin, thil kichoh dan ho chu Hit mite lah a tehse hon amu cheh uve.
17 Kwa hiyo shamba la Efroni, lililokuwa katika Makpela, mbele ya Mamre, shamba pamoja na pango lililokuwamo ndani yake na miti yote iliyokuwamo ndani ya shamba na iliyokuwa mpakani ikatolewa
Abraham'in Ephron koma gam Machpelah kiti Mamre koma um chu acho doh tai. Hiche mun in ahop chu ahile atong, adam sung, chule akoma thingphung um jouse jong ahi.
18 kwa Abraham kwa njia ya manunuzi mbele ya wana wa Hethi, na mbele ya wote waliokuja malangoni pa mji wake.
Abraham dinga chu anei agou ahitan, hichea chun Hit mite kelkot kom a chenghon jong ahe soh un ahi.
19 Baada ya haya, Abraham akamzika Sara mkewe katika pango la shamba la Makpela, lililo mbele ya Mamre, ambayo ni Hebroni, katika nchi ya Kanaani.
Phat chomkhat jouvin Abraham'in ajinu Sarah long Machpelah a Mamre koma Hebron kiti Canaan gamsunga avuitan ahi.
20 Kwa hiyo shamba pamoja na pango likatolewa na wana wa Hethi kwa Abraham kama milki na eneo la kuzikia.
Aleimun le aleilaiya songlhan keo chu Hite miten alhan mun dingin Abraham achansah tauve.

< Mwanzo 23 >