< Mwanzo 22 >
1 Ikawa kwamba baada ya mambo hayo Mungu akampima Abraham. Akamwambia, “Abraham!” Abraham akasema, “Mimi hapa.”
Po tych wydarzeniach Bóg wystawił Abrahama na próbę i powiedział do niego: Abrahamie! A on odpowiedział: Oto jestem.
2 Kisha Mungu akasema, “Mchukue mwanao, mwanao wa pekee, umpendaye, Isaka, na uende katika nchi ya Moria. Mtoe kama sadaka ya kuteketezwa mahali pale juu ya moja ya milima hiyo, ambayo nitakwambia.”
I [Bóg] powiedział: Weź teraz swego syna, twego jedynego, którego miłujesz, Izaaka, idź do ziemi Moria i tam złóż go na ofiarę całopalną na jednej górze, o której ci powiem.
3 Kwa hiyo Abraham akaamka asubuhi na mapema, akatandika punda wake, akawachukuwa vijana wake wawili, pamoja na Isaka mwanawe. Akakata kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, kisha akapanga safari kwenda mahali ambapo Mungu alimwambia.
Abraham wstał więc wcześnie rano, osiodłał swego osła i wziął ze sobą dwóch służących i swego syna Izaaka, narąbał drew na ofiarę całopalną, wstał i poszedł na miejsce, o którym mu Bóg powiedział.
4 Siku ya tatu Abraham akatazama juu na akaona mahali pakiwa mbali.
A trzeciego dnia Abraham podniósł swe oczy i zobaczył z daleka to miejsce.
5 Abraham akawambia vijana wake, “kaeni hapa pamoja na punda, mimi pamoja na Isaka tutakwenda pale. Tutaabudu na kisha tutarudi hapa penu.”
Wtedy Abraham powiedział do swoich służących: Zostańcie tu z osłem, a ja i chłopiec pójdziemy tam, oddamy cześć [Bogu] i wrócimy do was.
6 Ndipo Abraham akachukua kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa akaziweka juu ya Isaka mwanawe. Mkononi mwake akachukua moto na kisu; na wote wawili wakaondoka pamoja.
Wziął więc Abraham drwa na ofiarę całopalną i włożył je na swego syna Izaaka, [a sam] wziął do ręki ogień i nóż i poszli obaj razem.
7 Isaka akazungumza na Abraham baba yake akisema, “Baba yangu,” naye akasema, “Ndiyo mwanangu.” Akasema, “Tazama huu ni moto na kuni, lakini yuko wapi mwanakondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa?”
I Izaak powiedział do swego ojca Abrahama: Mój ojcze! A [on] odpowiedział: Oto jestem, mój synu. I [Izaak] zapytał: Oto ogień i drwa, a gdzie jest baranek na ofiarę całopalną?
8 Abraham akasema, “Mungu mwenyewe atatupatia mwanakondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, mwanangu.” Kwa hiyo wakaendelea, wote wawili pamoja.
Abraham odpowiedział: Bóg sobie upatrzy baranka na ofiarę całopalną, mój synu. I szli obaj razem.
9 Walipofika mahali ambapo Mungu alikuwa amemwambia, Abraham akajenga madhabahu pale na akaweka kuni juu yake. Kisha akamfunga Isaka mwanawe, na akamlaza juu ya madhabahu, juu ya zile kuni.
A gdy przyszli na miejsce, o którym mu Bóg powiedział, Abraham zbudował tam ołtarz, ułożył na nim drwa, związał swego syna Izaaka i położył go na ołtarzu na drwach.
10 Abraham akanyoosha mkono wake akachukua kisu ili kumuua mwanawe.
Potem Abraham wyciągnął rękę i wziął nóż, aby zabić swego syna.
11 Ndipo malaika wa Yahwe akamwita kutoka mbinguni na kusema, “Abraham, Abraham!” naye akasema, “Mimi hapa.”
Lecz Anioł PANA zawołał do niego z nieba: Abrahamie, Abrahamie! A [on] odpowiedział: Oto jestem.
12 Akasema, “usinyooshe mkono wako juu ya kijana, wala usifanye jambo lolote kumdhuru, kwa kuwa sasa najua unamcha Mungu, kwa kuona kuwa hukumzuilia mwanao, mwanao wa pekee, kwa ajili yangu.”
[Anioł] powiedział: Nie podnoś ręki na chłopca i nic mu nie czyń, bo teraz wiem, że boisz się Boga i nie odmówiłeś mi swego jedynego syna.
13 Abraham akatazama juu na tazama, nyuma yake kulikuwa na kondoo mume amenaswa pembe zake kichakani. Abraham akaenda akamchukua kondoo na akamtoa kama sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe.
A Abraham podniósł swe oczy i spojrzał, a oto za nim baran zaplątał się rogami w zaroślach. Abraham poszedł więc i wziął barana, i złożył go na ofiarę całopalną zamiast swego syna.
14 Kwa hiyo Abraham akapaita mahali pale, Yahwe atatoa,” na panaitwa hivyo hata leo. “Juu ya mlima wa Yahwe itatolewa.”
I Abraham nadał temu miejscu nazwę: PAN upatrzy. Dlatego po dziś dzień mówią: Na górze PANA będzie upatrzony.
15 Malaika wa Yahwe akamwita Abraham kwa mara ya pili kutoka mbinguni
Wtedy Anioł PANA ponownie zawołał z nieba na Abrahama:
16 na kusema - Hiki ni kiapo cha Yahwe, “Kwa ajili ya nafsi yangu nimeapa kwamba kwa kuwa umefanya jambo hili, na hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,
Przysiągłem na siebie samego, mówi PAN: Ponieważ to uczyniłeś i nie odmówiłeś mi swego syna, twego jedynego;
17 hakika nitakubariki na nitakuzidishia uzao wako kama nyota za angani, na kama mchanga ulioko kwenye ufukwe wa bahari; na uzao wakowatamiliki lango la adui zao.
Błogosławiąc, będę ci błogosławić, a rozmnażając, rozmnożę twoje potomstwo jak gwiazdy na niebie i jak piasek na brzegu morza; a twoje potomstwo odziedziczy bramy swoich nieprzyjaciół.
18 Kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia watabarikiwa, kwa sababu umetii sauti yangu.”
I w twoim potomstwie będą błogosławione wszystkie narody ziemi, dlatego że posłuchałeś mojego głosu.
19 Kwa hiyo Abraham akarejea kwa vijana wake, na wakaondoka wakaenda pamoja Beerisheba, hivyo akakaa Beerisheba.
Abraham wrócił więc do swoich służących i wstali, i wspólnie udali się do Beer-Szeby. Abraham bowiem mieszkał w Beer-Szebie.
20 Ikawa kwamba baada ya mambo haya ambayo Abraham aliambiwa, “Milka amemzalia pia watoto, ndugu yako Nahori.”
Po tych wydarzeniach doniesiono Abrahamowi: Oto Milka również urodziła dzieci twemu bratu Nachorowi;
21 Hawa walikuwa ni Usi mzaliwa wa kwanza, Busi ndugu yake, Kemueli aliye mzaa Aramu,
Usa, jego pierworodnego, Buza, jego brata, i Kemuela, ojca Arama;
22 Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu, na Bethueli.
I Keseda, Chazo, Pildasza, Jidlafa i Betuela.
23 Bethuel akamzaa Rebeka. Hawa walikuwa ni wale watoto wanane ambao Milka alizaa kwa Nahori, ndugu yake na Abraham.
Betuel zaś spłodził Rebekę. Tych ośmiu urodziła Milka Nachorowi, bratu Abrahama.
24 Suria wake, ambaye aliitwa Reuma, pia akamzaa Teba, Gahamu, Tahashi, na Maaka.
A jego nałożnica, której imię było Reuma, urodziła też Tebacha, Gachama, Tachasza i Maakę.