< Mwanzo 22 >

1 Ikawa kwamba baada ya mambo hayo Mungu akampima Abraham. Akamwambia, “Abraham!” Abraham akasema, “Mimi hapa.”
Eso enoga, Gode da A: ibalaha: me ea hou adoba: ma: ne, ema amane sia: i, “A: ibalaha: me!” A: ibalaha: me da bu adole i, “Na wea!”
2 Kisha Mungu akasema, “Mchukue mwanao, mwanao wa pekee, umpendaye, Isaka, na uende katika nchi ya Moria. Mtoe kama sadaka ya kuteketezwa mahali pale juu ya moja ya milima hiyo, ambayo nitakwambia.”
Gode da ema amane sia: i, “Defea! Di da mano afadafa fawane gala. Amo dia dogolegei mano Aisage lale, oule asili, Molaia sogega doaga: ma. Goe sogega Na da goumi dima olelemu. Amo heda: le, dia mano gobele salasu hou hamoma: ne, medole legele, laluga gobele salima.”
3 Kwa hiyo Abraham akaamka asubuhi na mapema, akatandika punda wake, akawachukuwa vijana wake wawili, pamoja na Isaka mwanawe. Akakata kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, kisha akapanga safari kwenda mahali ambapo Mungu alimwambia.
Golale hahabe, A:ibalaha: me da nedigili, liligi ea dougi da: iya ligisili, gobele salasu hou hamomusa: lalu ifa habele, ea mano amola hawa: hamosu ayeligi aduna, Molaia sogega doaga: musa: oule asi.
4 Siku ya tatu Abraham akatazama juu na akaona mahali pakiwa mbali.
Eso udiana ahoanu, A:ibalaha: me da amo sogebi sedagawane dialebe ba: i.
5 Abraham akawambia vijana wake, “kaeni hapa pamoja na punda, mimi pamoja na Isaka tutakwenda pale. Tutaabudu na kisha tutarudi hapa penu.”
Amalalu, A:ibalaha: me da ea hawa: hamosu dunu elama amane sia: i, “Ali gui esaloma! Dougi ouligima! Na amola nagofe da amo sogega Godema nodone sia: ne gadolalu, bu misunu.”
6 Ndipo Abraham akachukua kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa akaziweka juu ya Isaka mwanawe. Mkononi mwake akachukua moto na kisu; na wote wawili wakaondoka pamoja.
Amalalu, A:ibalaha: me da lalu ifa habei amo Aisagema gisa masa: ne i. A: ibalaha: me da lalu dasu amola gobihei gisa asili, ela da goumiba: le heda: i. Ela da gilisili ahoana,
7 Isaka akazungumza na Abraham baba yake akisema, “Baba yangu,” naye akasema, “Ndiyo mwanangu.” Akasema, “Tazama huu ni moto na kuni, lakini yuko wapi mwanakondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa?”
Aisage da edama amane sia: i, “Ada!” A: ibalaha: me da bu adole i, “Nagofe! Adi laha?” Aisage da amane sia: i, “Laludai amola lalu habei diala. Be sibi mano, gobele salasu hou hamoma: ne amo da habila: ?”
8 Abraham akasema, “Mungu mwenyewe atatupatia mwanakondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, mwanangu.” Kwa hiyo wakaendelea, wote wawili pamoja.
A: ibalaha: me da bu adole i, “Nagofe! Gode Hi da ani gobele salimusa: , sibi mano imunu!” Amalalu, ela da gilisili bu ahoanu.
9 Walipofika mahali ambapo Mungu alikuwa amemwambia, Abraham akajenga madhabahu pale na akaweka kuni juu yake. Kisha akamfunga Isaka mwanawe, na akamlaza juu ya madhabahu, juu ya zile kuni.
Elea da Gode Ea musa: adoi sogebiga doaga: loba, A:ibalaha: me da gelega oloda hamone, lalu habei oloda da: iya ligisili, ea mano ea emo amola lobo la: gili, amo da: iya ligisi.
10 Abraham akanyoosha mkono wake akachukua kisu ili kumuua mwanawe.
Amalalu, A:ibalaha: me da ea mano medole legemusa: , gobihei gaguia gadoi.
11 Ndipo malaika wa Yahwe akamwita kutoka mbinguni na kusema, “Abraham, Abraham!” naye akasema, “Mimi hapa.”
Be muagado, Hina Gode Ea a: igele dunu da gagabole ha: giwane wele sia: i, “A: ibalaha: me! A: ibalaha: me!” E bu adole i, “Na wea!”
12 Akasema, “usinyooshe mkono wako juu ya kijana, wala usifanye jambo lolote kumdhuru, kwa kuwa sasa najua unamcha Mungu, kwa kuona kuwa hukumzuilia mwanao, mwanao wa pekee, kwa ajili yangu.”
A: igele da amane sia: i, “Dia mano mae medoma! E se nabima: ne mae fama! Di da dia mano Nama imunu hame hihi galu. Amaiba: le, di da Godema beda: i amola nabasu hou dawa: , amo Na da ba: i dagoi.”
13 Abraham akatazama juu na tazama, nyuma yake kulikuwa na kondoo mume amenaswa pembe zake kichakani. Abraham akaenda akamchukua kondoo na akamtoa kama sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe.
Amalalu, A:ibalaha: me da ea si ba: le ga: le, sibi gawali amo ea hono da ifa amoga lala: gi lelebe ba: i. Amaiba: le, e da ea mano mae medole, amo sibi lale, medole legele, gobele salasu hamoi.
14 Kwa hiyo Abraham akapaita mahali pale, Yahwe atatoa,” na panaitwa hivyo hata leo. “Juu ya mlima wa Yahwe itatolewa.”
A: ibalaha: me da amo sogebi ‘Yehoufayaila’ dio asuli. Goe dio dawaloma: ne da, “Hina Gode Hi da hahawane imunu!” Wali eso amola, dunu da amane sia: sa, “Hina Gode da Hi goumi da: iya hahawane imunu.”
15 Malaika wa Yahwe akamwita Abraham kwa mara ya pili kutoka mbinguni
Amalalu, Gode Ea a: igele dunu da Hebeneganini A: ibalaha: mema bu sia: i,
16 na kusema - Hiki ni kiapo cha Yahwe, “Kwa ajili ya nafsi yangu nimeapa kwamba kwa kuwa umefanya jambo hili, na hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,
“Di da Na sia: nabawane hamobeba: le, amola dia dogolegei mano Nama imunusa: hame hihiba: le, Na da Na Dioba: le agoane ilegele sia: sa. Na da dima bagadewane hahawane dogolegele ilegemu.
17 hakika nitakubariki na nitakuzidishia uzao wako kama nyota za angani, na kama mchanga ulioko kwenye ufukwe wa bahari; na uzao wakowatamiliki lango la adui zao.
Na da digaga fi mano ilia da gasumuni ilia idi defele, amola sa: iboso idi defei defele hamomu. Dia fi da ilia ha lai dunu amo hasalasimu.
18 Kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia watabarikiwa, kwa sababu umetii sauti yangu.”
Di da Na hamoma: ne sia: nababeba: le, osobo bagade fifi asi gala huluane, da Nama Na da di hahawane dogolegele ilegei defele, ilima hahawane dogolegele ilegesu ima: ne adole ba: mu.”
19 Kwa hiyo Abraham akarejea kwa vijana wake, na wakaondoka wakaenda pamoja Beerisheba, hivyo akakaa Beerisheba.
Amalalu, A:ibalaha: me da ea hawa: hamosu dunu elama buhagili, ilia gilisili Biasiba moilaiga asi. Amola A: ibalaha: me da Biasiba amo ganodini esalu.
20 Ikawa kwamba baada ya mambo haya ambayo Abraham aliambiwa, “Milka amemzalia pia watoto, ndugu yako Nahori.”
Fa: no, dunu eno da A: ibalaha: mema amane sia: i, “Miliga da mano lai. E da dia eya Na: iho ema dunu mano godoane lai.
21 Hawa walikuwa ni Usi mzaliwa wa kwanza, Busi ndugu yake, Kemueli aliye mzaa Aramu,
Magobo dunu mano da Use. Ea eyalali da Buse, Gemuele (ea mano da Alame),
22 Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu, na Bethueli.
Gisede, Ha: iso, Bilada: se, Yidala: fe amola Bediuele.
23 Bethuel akamzaa Rebeka. Hawa walikuwa ni wale watoto wanane ambao Milka alizaa kwa Nahori, ndugu yake na Abraham.
Bediuele da uda mano lai, amo Lebega. Amo dunu mano godoane ilia ame da Miliga, amola ilia eda da A: ibalaha: me eya amo Na: iho.
24 Suria wake, ambaye aliitwa Reuma, pia akamzaa Teba, Gahamu, Tahashi, na Maaka.
Na: iho ea gidisedagi uda amo ea dio amo Liuma, da dunu manolali lai. Ilia dio da Diba, Ga: iha: me, Da: iha: se amola Ma: iaga.

< Mwanzo 22 >