< Mwanzo 21 >

1 Yahwe akamsikiliza Sara kwa umakini kama alivyo kuwa amemwambia, Yahwe akamfanyia Sara kama alivyo kuwa amemwahidi.
Yahweh was very kind to Sarah, just as he said he would be. He did for Sarah exactly what he promised to do.
2 Sara akachukua mimba na akamzalia Abraham mtoto wa kiume katika uzee wake, katika muda ule ule ambao Mungu alikuwa amemwambia.
She became pregnant and gave birth to a son for Abraham when he was very old, at the time God promised it would happen.
3 Abraham akamwita jina mwanawe, ambaye alizaliwa kwake, na Sara, Isaka.
Abraham gave the name ‘Isaac’ (which means ‘he laughs’) to the son Sarah gave birth to.
4 Abraham akamtahiri mwanawe Isaka alipofikisha siku nane, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza.
Abraham circumcised his son Isaac when his son was eight days old, just as God commanded him to do.
5 Abraham alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwanawe Isaka anazaliwa kwake.
Abraham was 100 years old when his son Isaac was born.
6 Sara akasema, “Mungu amenifanya nicheke; kila mtu atakaye sikia atacheka pamoja na nami.”
And Sarah said, “[Although I was sad before because I did not have any children], God has now enabled me to laugh, and everyone who hears about what God has done for me will laugh with me.”
7 Pia akasema, “Nani angesema kwa Abraham kwamba Sara atalea mtoto, na sasa kweli nimemzalia mtoto wakiume katika uzee wake!”
Then she also said, “No one would have said to Abraham that some day Sarah would nurse a child, but I have given birth to a son when Abraham is very old.”
8 Mtoto akakua na akaachishwa kunyonya, na Abraham akafanya sherehe kubwa katika siku ambayo Isaka aliachishwa.
The baby grew and was weaned [when he was about three years old]. On that day, Abraham prepared a large feast to celebrate.
9 Sara akamwona mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abraham, akidhihaki.
([One day/During the feast)] Sarah noticed that Hagar’s son Ishmael was (making fun of/playing with) Isaac.
10 Kwa hiyo akamwambia Abraham, “Mfukuze huyu mwanamke huyu mtumwa pamoja na mtoto wake: kwa kuwa mtoto huyu wa mwanamke mtumwa hawezi kuwa mrithi pamoja na mwanangu Isaka.”
So she said to Abraham, “Get rid of that slave woman from Egypt and her son! I do not want the son of that slave woman to be alone (OR, to be an heir along with) my son, Isaac!”
11 Jambo hili likamuhuzunisha sana Abraham kwa sababu ya mwanawe.
Abraham was very distressed about the matter, because he was concerned about his son [Ishmael].
12 Lakini Mungu akamwambia Abraham, “Usihuzunike kwa sababu ya kijana huyu, na kwa sababu ya mwanamke huyu mtumwa wako. Sikiliza maneno asemayo Sara juu ya jambo hili, kwa sababu itakuwa kupitia Isaka kwamba uzao wako utaitwa.
But God said to Abraham, “Do not be distressed about your son, Ishmael, and about your maidservant, Hagar. Do everything that Sarah tells you to do. Listen to her, because Isaac is the one who will be considered the ancestor of the descendants I promised to give you.
13 Nitamfanya pia mtoto wa mjakazi kuwa taifa, kwa sababu ni uzao wako.”
But I will also cause the son of your maidservant to be the ancestor of the people of a great nation [MTY], because he is also your son.”
14 Abraham akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji, akampatia Hajiri, akiweka juu ya bega lake. Akamtoa kijana akampatia Hajiri na akawaondoa. Hajiri akaondoka akapotea katika jangwa la Beerisheba.
So Abraham got up early the next morning. He got some food ready, put water in a container, and gave them to Hagar. He put them [in a bag] on her shoulder and sent them away. They wandered in the desert near Beersheba [town].
15 Maji yalipokwisha kwenye kiriba akamtelekeza kijana katika moja ya vichaka.
After they had drunk all the water in the container, she put her son under one of the bushes there.
16 Kisha akaondoka, na akakaa umbali kidogo na yule kijana, umbali kama wa kutupa mshale, kwa vile alisema, “Na nisitazame kifo cha mtoto.” Alipokuwa amekaa kumkabili, akapaza sauti yake akalia.
Then she went and sat nearby, about (as far as someone can shoot an arrow/100 meters away), because she thought, “I cannot endure seeing my son die!” As she sat there, she began to cry [loudly] [MTY].
17 Mungu akasikia kilio cha kijana, na malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, “Nini kinakusumbua? Usiogope, kwa kuwa Mungu amesikia kilio cha kijana mahali alipo.
[The boy was crying too.] And God heard the boy crying. So he caused one of his angels to call out from heaven to Hagar, saying, “Hagar, are you worried about something? Do not be afraid, because God has heard the boy crying there.
18 Inuka msimamishe mtoto, na umtie moyo; kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.”
Help your son up, and hold his hand as you leave, because I will cause his descendants to become a great nation.”
19 Kisha Mungu akayafunua macho ya Hajiri, natazama akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, na akampatia kijana akanywa.
Then God showed her a well of water. So she went to the well and filled the container with water, and gave the boy a drink.
20 Mungu akawa pamoja na kijana, na akakua. Akaishi jangwani akawa mwindaji.
God helped the boy as he grew up. He lived in the desert and became a good (archer/man who hunts with bow and arrows).
21 Akaishi katka jangwa la Parani, na mama yake akampatia mke kutoka Misri.
He lived in Paran Desert. While e was there, Hagar got a wife for him from Egypt.
22 Ikawa kwamba katika wakati ule Abimeleki na Fikoli kamanda wa jeshi lake akamwambia Abraham, akisema, “Mungu yuko pamoja na wewe katika yote uyatendayo.
At that time, [King] Abimelech and Phicol, the commander of his army, said to Abraham, “It is clear that God helps you with everything that you do.
23 Sasa niapie kwa Mungu kwamba hutanifanyia baya, wala mwanangu, wala uzao wangu. Onesha kwangu na kwa nchi ambayo umekuwa ukikaa agano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonesha wewe.”
So now (solemnly promise/swear) to me here, as God is listening, that you will (not deceive/act fairly to) me and my children and my descendants, in return for my being kind to you. Be kind to me and to all the people here in the country where you are now living.”
24 Abraham akasema, “Nina apa.”
So Abraham promised to do that.
25 Abraham pia akamlalamikia Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya.
[Then] Abraham complained to Abimelech about one of Abraham’s wells that Abimelech’s servants had seized.
26 Abimeleki akasema, “Sijui ni nani amefanya jambo hili. Hukuniambia mapema; na sijalisikia ila leo hii.”
But Abimelech said, “I do not know who has done that. You did not tell me previously, and I did not hear about it until today.”
27 Kwa hiyo Abraham akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki, na wawili hawa wakafanya agano.
So Abraham brought some sheep and gave them to Abimelech, and the two of them made a (treaty/peace agreement).
28 Kisha Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba pekeyao.
Abraham separated seven female lambs from his flock.
29 Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga pekeyao?”
Abimelech asked Abraham, “What are these seven female lambs that you have separated from the rest of your flock?”
30 Akajibu, “Hawa wanakondoo wa kike saba utawapokea kutoka mkonono mwangu, ili kwamba uwe ushahidi kwangu, kuwa nichimba kisima hiki.”
Abraham replied, “I want you truly to accept these female lambs from me [SYN], so that it may be a (public witness/proof) that this well belongs to me because I dug it.”
31 Kwa hiyo akaita mahali pale Beerisheba, kwa sababu mahali pale wote wawili wali apa kiapo.
So Abimelech accepted the animals, and as a result they called that place Beersheba, [which means ‘Friendship Agreement Well’, ] because there the two of them made that agreement.
32 Walifanya agano hapo Bersheba, kisha Abimeleki na Fikoli, amiri wa jeshi, wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
After they made the agreement at Beersheba, Abimelech and his army commander, Phicol, left, and returned to the land of the Philistine people-group.
33 Abraham akapanda mti wa mkwaju katika Beerisheba. Na pale akamwabudu Yahwe, Mungu wa milele.
Abraham planted a (tamarisk tree/kind of tree called esel) there, and he worshiped the eternal God there.
34 Abraham akasalia kuwa mgeni katika nchi ya Wafilisti kwa siku nyingi.
Abraham lived in the land of the Philistine people-group for a long time.

< Mwanzo 21 >