< Mwanzo 21 >

1 Yahwe akamsikiliza Sara kwa umakini kama alivyo kuwa amemwambia, Yahwe akamfanyia Sara kama alivyo kuwa amemwahidi.
BAWIPA ni a dei tangcoung e patetlah Sarah koe a pai teh a lawkkam pouh e patetlah Sarah hanelah a sak pouh.
2 Sara akachukua mimba na akamzalia Abraham mtoto wa kiume katika uzee wake, katika muda ule ule ambao Mungu alikuwa amemwambia.
Hahoi, ahni koe a dei pouh tangcoung e patetlah Cathut ni a khoe pouh e tueng navah Sarah ni camo a vawn teh, a matawng hnukkhu Abraham hanelah tongpa a khe pouh.
3 Abraham akamwita jina mwanawe, ambaye alizaliwa kwake, na Sara, Isaka.
Abraham ni hai a tawn e capa, Sarah ni a khe pouh e hah Isak telah min a phung.
4 Abraham akamtahiri mwanawe Isaka alipofikisha siku nane, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza.
Hottelah, Cathut ni kâ a poe tangcoung e patetlah Abraham ni a capa Isak hah ataroe hnin navah vuensom a a pouh.
5 Abraham alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwanawe Isaka anazaliwa kwake.
Abraham teh a capa Isak a khe navah kum 100 touh a pha toe.
6 Sara akasema, “Mungu amenifanya nicheke; kila mtu atakaye sikia atacheka pamoja na nami.”
Sarah ni hai kai ka panuithainae Cathut ni na poe toe. Hete kamthang ka thai e pueng ni hai kai hoi cungtalah a panui van awh han doeh telah ati.
7 Pia akasema, “Nani angesema kwa Abraham kwamba Sara atalea mtoto, na sasa kweli nimemzalia mtoto wakiume katika uzee wake!”
Sarah ni camo sanu a pânei han telah Abraham koe apinimaw ouk a dei pouh. A matawng torei kai ni ca tongpa ka khe pouh toe telah ati.
8 Mtoto akakua na akaachishwa kunyonya, na Abraham akafanya sherehe kubwa katika siku ambayo Isaka aliachishwa.
Hottelah, camo a roung takhang teh sanu a pâphei. Sanu a pâphei nah hnin dawk Abraham ni buven pawi kalenpounge a sak.
9 Sara akamwona mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abraham, akidhihaki.
Izip tami Hagar capa, Abraham hanelah a khe pouh e ni a panuikhai e hah Sarah ni a hmu.
10 Kwa hiyo akamwambia Abraham, “Mfukuze huyu mwanamke huyu mtumwa pamoja na mtoto wake: kwa kuwa mtoto huyu wa mwanamke mtumwa hawezi kuwa mrithi pamoja na mwanangu Isaka.”
Hatdawkvah, Abraham koevah, Hete sannu hoi a capa pâlei leih, bangkongtetpawiteh sannu e capa ni ka capa e râw coe thai mahoeh telah atipouh.
11 Jambo hili likamuhuzunisha sana Abraham kwa sababu ya mwanawe.
A capa lah ao kecu dawk Abraham hanelah hno ka ru poung lah ao.
12 Lakini Mungu akamwambia Abraham, “Usihuzunike kwa sababu ya kijana huyu, na kwa sababu ya mwanamke huyu mtumwa wako. Sikiliza maneno asemayo Sara juu ya jambo hili, kwa sababu itakuwa kupitia Isaka kwamba uzao wako utaitwa.
Hatei Cathut ni Abraham koe, camo hoi na sannu kong dawk hno ka ru lah pouk hanh. Sarah ni a dei e pueng tarawi loe. Bangkongtetpawiteh Isak dawk hoi na catoun telah kaw e lah ao han.
13 Nitamfanya pia mtoto wa mjakazi kuwa taifa, kwa sababu ni uzao wako.”
Na sannu e capa dawk hai miphun ka pungdaw sak han. Bangkongtetpawiteh ahni hai na ca doeh telah atipouh.
14 Abraham akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji, akampatia Hajiri, akiweka juu ya bega lake. Akamtoa kijana akampatia Hajiri na akawaondoa. Hajiri akaondoka akapotea katika jangwa la Beerisheba.
Hottelah amom vah Abraham a thaw teh vaiyei hoi tuium a la teh Hagar e aloung dawk a patue pouh hnukkhu, camo hoi a ceisak. A cei roi teh Beersheba kahrawngum vah yuengyoe a kâva roi.
15 Maji yalipokwisha kwenye kiriba akamtelekeza kijana katika moja ya vichaka.
Tuium dawk e tui a baw hnukkhu camo hah buruk rahim a hruek.
16 Kisha akaondoka, na akakaa umbali kidogo na yule kijana, umbali kama wa kutupa mshale, kwa vile alisema, “Na nisitazame kifo cha mtoto.” Alipokuwa amekaa kumkabili, akapaza sauti yake akalia.
Pala vai touh ka sittouh bang hane a cei teh, hnuklah a kangvawi laihoi a tahung hnukkhu, camo due e na hmawt sak hanh loe telah ati. Hottelah hnuklah a kangvawi laihoi a tahung teh puenghoi kacaipounglah a ka.
17 Mungu akasikia kilio cha kijana, na malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, “Nini kinakusumbua? Usiogope, kwa kuwa Mungu amesikia kilio cha kijana mahali alipo.
Camo lawk Cathut ni a thai teh Cathut kalvantami ni kalvan lahoi Hagar a kaw teh, Hagar bangmaw runae na kâhmo. Taket hanh, camo e lawk Cathut ni a thai toe atipouh.
18 Inuka msimamishe mtoto, na umtie moyo; kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.”
Thaw nateh camo hah na kut hoi pathaw leih, bangkongtetpawiteh miphun kalen poung lah kacoungsak han telah atipouh.
19 Kisha Mungu akayafunua macho ya Hajiri, natazama akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, na akampatia kijana akanywa.
Cathut ni a mit ang sak teh tuikhu buet touh a hmu. A cei teh tuium dawk yikkawi a do hnukkhu camo a pânei.
20 Mungu akawa pamoja na kijana, na akakua. Akaishi jangwani akawa mwindaji.
Cathut teh camo koe lah a o, ahni teh a roung takhang teh, kahrawngum vah kho a sak teh moikathaipounge lah ao.
21 Akaishi katka jangwa la Parani, na mama yake akampatia mke kutoka Misri.
Paran kahrawngum vah kho a sak teh a manu ni a yu lah Izip tami a la pouh.
22 Ikawa kwamba katika wakati ule Abimeleki na Fikoli kamanda wa jeshi lake akamwambia Abraham, akisema, “Mungu yuko pamoja na wewe katika yote uyatendayo.
Hatnae tueng dawk Abimelek hoi ransahu kaukkung Phikhol ni Abraham koevah, na sak e hno pueng dawk Cathut ni na okhai.
23 Sasa niapie kwa Mungu kwamba hutanifanyia baya, wala mwanangu, wala uzao wangu. Onesha kwangu na kwa nchi ambayo umekuwa ukikaa agano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonesha wewe.”
Hatdawkvah Cathut minhmai khet lahoi kai hoi ka capa catoun totouh dumyennae awm laipalah na pahren e patetlah kai hoi na onae ram heh a hawinae ka hmu nahanelah lawk na kam pouh leih telah atipouh.
24 Abraham akasema, “Nina apa.”
Abraham ni hai, lawkkam han atipouh.
25 Abraham pia akamlalamikia Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya.
Abimelek e a sannaw ni tuikhu a lawp dawkvah Abraham ni Abimelek a yue.
26 Abimeleki akasema, “Sijui ni nani amefanya jambo hili. Hukuniambia mapema; na sijalisikia ila leo hii.”
Abimelek ni, hot patet hno ka sak e teh apimaw. Ka panuek hoeh, nang ni hai na dei hoeh. Kai ni hai sahnin totouh ka panuek hoeh atipouh.
27 Kwa hiyo Abraham akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki, na wawili hawa wakafanya agano.
Hottelah, Abraham ni tu hoi maitotan a hrawi teh Abimelek a poe, hahoi kahni touh hoi lawkkamnae a sak roi.
28 Kisha Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba pekeyao.
Abraham ni tuhu dawk e tulaca sari touh alouklah a kapek.
29 Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga pekeyao?”
Abimelek ni Abraham koevah tulaca sari touh na ka pek e, bang hane maw atipouh.
30 Akajibu, “Hawa wanakondoo wa kike saba utawapokea kutoka mkonono mwangu, ili kwamba uwe ushahidi kwangu, kuwa nichimba kisima hiki.”
Ahni ni hete tuikhu ka tai e heh kapanuekkhaikung lah tulaca sari touh e ka kut dawk e na la roeroe han telah atipouh.
31 Kwa hiyo akaita mahali pale Beerisheba, kwa sababu mahali pale wote wawili wali apa kiapo.
Hote hmuen koe kahni touh hoi lawkkamnae a sak roi dawkvah Beersheba telah min a phung.
32 Walifanya agano hapo Bersheba, kisha Abimeleki na Fikoli, amiri wa jeshi, wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
Hottelah Beersheba vah lawkkamnae a sak roi hnukkhu Abimelek hoi ransabawi Phikhol tinaw a thaw awh teh Filistin ram lah a ban awh.
33 Abraham akapanda mti wa mkwaju katika Beerisheba. Na pale akamwabudu Yahwe, Mungu wa milele.
Abraham ni Beersheba vah hmaicakung a ung teh haw vah BAWIPA yungyoe Cathut e min a kaw.
34 Abraham akasalia kuwa mgeni katika nchi ya Wafilisti kwa siku nyingi.
Hahoi, Abimelek teh Filistin ram dawk hnin moi kasawlah a cam.

< Mwanzo 21 >