< Mwanzo 20 >

1 Abraham akasafiri kutoka pale hadi nchi ya Negebu, na akakaa kati ya Kadeshi na Shuri. Akawa mgeni akiishi Gerari.
Un Ābrahāms no turienes aizgāja uz to zemi pret dienasvidus pusi un dzīvoja starp Kādeš un Šur un piemita Ģerarā.
2 Abraham akasema kususu mkewe Sara, “ni dada yangu.” Kwa hiyo Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma watu wake kumchukua Sara.
Un Ābrahāms sacīja no Sāras, savas sievas: tā ir mana māsa; tad Abimelehs, Ģeraras ķēniņš, sūtīja un paņēma Sāru.
3 Lakini Mungu akamtokea Abimeleki usiku katika ndoto, akamwambia, “Tazama, wewe ni mfu kutokana na mwanamke uliye mchukua, kwa kuwa ni mke wa mtu.”
Bet Dievs nāca pie Abimeleha sapnī nakts laikā un uz to sacīja: redzi, tev jāmirst tās sievas dēļ, ko tu esi ņēmis, jo tā ir laulāta sieva.
4 Basi Abimeleki alikuwa bado hajamkaribia hivyo akasema, “Bwana, Je utaua hata taifa lenye haki?
Bet Abimelehs viņu vēl nebija aizskāris; tad tas sacīja: Kungs, vai Tu arī taisnus ļaudis nonāvēsi?
5 Je si yeye mwenyewe aliye niambia, 'Sara ni dada yangu?' Hata Sara mwenyewe alisema, 'ni kaka yangu.' Nimefanya hili katika uadilifu wa moyo wangu na katika mikono isiyo na hatia.”
Vai viņš man nav sacījis: tā ir mana māsa? Un viņa pati arīdzan sacījusi: tas ir mans brālis. Es to esmu darījis vientiesīgu sirdi un šķīstām rokām.
6 Kisha Mungu akasema naye katika ndoto, “Kweli, ninajua pia kwamba umefanya hili katika uadilifu wa moyo wako, na pia nilikuzuia usitende dhambi dhidi yangu mimi. Ndiyo maana sikuruhusu umshike.
Tad Dievs sapnī uz to sacīja: Es arīdzan zinu, ka to esi darījis savā sirds vientiesībā, un Es tevi arī esmu atturējis, ka tu pret Mani negrēko; tādēļ Es tev neesmu ļāvis viņu aizskart.
7 Kwa hiyo, mrudishe huyo mke wa mtu, kwa kuwa ni nabii. Atakuombea, na utaishi. Lakini usipo mrudisha, ujuwe kwamba wewe pamoja na wote walio wa kwako mtakufa hakika.
Un nu, atdodi tam vīram to sievu, jo tas ir pravietis, un lai viņš priekš tevis lūdz, tad tu dzīvosi; bet ja tu to neatdosi, tad zini, ka tu mirdams mirsi, un viss, kas tev pieder.
8 Abimeleki akaamka asubuhi na mapema akawaita watumishi wake wote waje kwake. Akawasimulia mambo haya yote, na watu wale wakaogopa sana.
Un no rīta agri Abimelehs cēlās un aicināja visus savus kalpus un runāja visus šos vārdus priekš viņu ausīm, un tie vīri bijājās ļoti.
9 Kisha Abimeleki akamwita Abraham na kumwambia, “Umetufanyia jambo gani? Ni kwa jinsi gani nimekutenda dhambi kwamba umeniletea mimi na ufalme wangu dhambi hii kubwa? Umenifanyia mimi jambo ambalo halipaswi kufanywa.”
Un Abimelehs aicināja Ābrahāmu un uz to sacīja: kam tu mums to esi darījis, un ko es pret tevi esmu grēkojis, ka tu par mani un par manu valsti vedis tik lielus grēkus? Tu man tā esi darījis, kā nepieklājās darīt.
10 Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini kilikushawishi wewe kutenda jambo hili?”
Un Abimelehs sacīja uz Ābrahāmu: ko tu esi nodomājis to darīdams?
11 Abraham akasema, “Ni kwasababu nilifikiri hakika hakuna hofu ya Mungu katika sehemu hii, na kwamba wataniua kwa ajili ya mke wangu.'
Tad Ābrahāms sacīja: es domāju, tiešām Dieva bijāšanas nav šinī vietā, un tie mani nokaus manas sievas dēļ.
12 Licha ya kwamba kweli ni dada yangu, binti wa baba yangu, ingawa si binti wa mama yangu; na ndiye alifanyika kuwa mke wangu.
Un tā arī tiešām ir mana māsa, mana tēva meita, bet tik ne manas mātes meita; un tā ir tapusi mana sieva.
13 Wakati Mungu aliponiondoa katika nyumba ya baba yangu na kusafiri kutoka mahali kwenda mahali pengine, nilimwambia mke wangu, kwa kila sehemu tutakayo kwenda, unioneshe uaminifu wako kama mke wangu: Kila mahali tutakapo kwenda, useme juu yangu kuwa, “Ni kaka yangu.”'''
Un pēc tam, kad Dievs man licis iziet no mana tēva nama, tad es uz to sacīju: lai šī ir tā žēlastība, ko tu pie manis darīsi: visur, kurp nāksim saki no manis: tas ir mans brālis.
14 Ndipo Abimeleki akatwaa kondoo, maksai, watumwa wa kiume na wa kike akampatia Abraham. Basi Abimeleki akamrudisha Sara, mke wa Abraham.
Tad Abimelehs ņēma avis un vēršus un kalpus un kalpones un deva tos Ābrahāmam un atdeva tam arī Sāru, viņa sievu.
15 Abimeleki akasema, Tazama, Nchi yangu i mbele yako. Kaa mahali utakapopendezewa.”
Un Abimelehs sacīja: redzi, mana zeme ir tavā priekšā; dzīvo, kur tavām acīm patīk.
16 Na kwa Sara akasema, Tazama, nimempatia kaka yako vipande elfu vya fedha. Navyo ni kwa ajili ya kufunika kosa lolote dhidi yako machoni pa wote walio pamoja na wewe, na mbele ya kila mtu ambaye umemfanya kuwa na haki.”
Un uz Sāru viņš sacīja: redzi, es tavam brālim esmu devis tūkstoš sudraba gabalus, un, redzi, lai tas tev ir par acu apsegu priekš visiem, kas pie tevis un visur, un tu esi taisnota.
17 Kisha Abraham akaomba kwa Mungu, Na Mungu akamponya Abimeleki, mkewe, na watumwa wake wa kike kiasi kwamba wakaweza kupata watoto.
Un Ābrahāms pielūdza Dievu, tad Dievs dziedināja Abimeleku un viņa sievu un viņa kalpones, ka tās dzemdēja.
18 Kwa kuwa Yahwe alikuwa amewafanya wanawake wote wa nyumaba ya Abimeleki kuwa tasa kabisa, kwa sababu ya Sara, mke wa Abraham.
Jo Tas Kungs Abimeleha namā bija cieti aizslēdzis visas mātes, Sāras, Ābrahāma sievas, dēļ.

< Mwanzo 20 >