< Mwanzo 19 >

1 Malaika wawili wakaja Sodoma jioni, wakati ambao Lutu alikuwa amekaa langoni mwa Sodoma. Lutu akawaona, akainuka kuwalaki, na akainama uso wake chini ardhini.
Zvečer sta k Sódomi prišla dva angela in Lot je sedel pri sódomskih velikih vratih, in ko ju je Lot zagledal, je vstal, da ju sreča in se je s svojim obrazom upognil k tlom
2 Akasema, Tafadhari Bwana zangu, nawasihi mgeuke mwende kwenye nyumba ya mtumishi wenu, mlale pale usiku na muoshe miguu yenu. Kisha muamke asubuhi na mapema muondoke.” Nao wakasema, “Hapana, usiku tutalala mjini.”
ter rekel: »Glejta torej, moja gospoda, vstopita, prosim vaju, v hišo svojega služabnika in ostanita vso noč in umijta svoja stopala in bosta zgodaj vstala ter nadaljevala po svojih poteh.« Onadva pa sta rekla: »Ne, temveč bova vso noč ostala na ulici.«
3 Lakini akawasihi sana, mwishowe wakaondoka pamoja nae, na wakaingia katika nyumba yake. Akaandaa chakula na kuoka mkate usiotiwa chachu, wakala.
Zelo ju je silil in obrnila sta se k njemu in vstopila v njegovo hišo in naredil jima je gostijo, spekel nekvašeni kruh in so jedli.
4 Lakini kabla hawaja lala, wanaume wa mji, wa Sodoma, vijana kwa wazee wakaizunguka nyumba, wanaume wote kutoka kila kona ya mji.
Toda preden so se ulegli, so možje mesta, torej sódomski možje, obdali hišo, tako mladi kakor stari, vse ljudstvo iz vsake četrti.
5 Wakamwita Lutu, na kumwambia, “Wale wanaume walioingia kwako usiku wakowapi? watoe hapa nje waje kwetu, ili tuweze kulala nao.”
Klicali so k Lotu ter mu rekli: »Kje sta moža, ki sta to noč prišla k tebi? Privedi ju ven k nam, da ju bomo lahko spoznali.«
6 Lutu akatoka nje na akafunga mlango.
Lot je od vrat odšel k njim in vrata zaprl za seboj
7 Akasema, “Nawasihi, ndugu zangu, msitende uovu.
ter rekel: »Prosim vas, bratje, ne storite tako zlobno.
8 Tazama, nina mabinti wawili ambao hawajawahi kulala na mwanaume yeyote. Nawaomba tafadhari niwalete kwenu, na muwafanyie lolote muonalo kuwa jema machoni penu. Msitende lolote kwa wanaume hawa, kwa kuwa wamekuja chini ya kivuli cha dari yangu.”
Glejte torej, imam dve hčeri, ki nista spoznali moža. Naj vam, prosim vas, njiju pripeljem k vam in storite jima, kakor je dobro v vaših očeh. Samo tema možema ne storite ničesar, kajti zato sta prišla pod senco moje strehe.«
9 Wakasema, “Ondoka hapa!” Wakasema pia, huyu alikuja kukaa hapa kama mgeni, na sasa amekuwa mwamuzi! Sasa tutakushugulilia vibaya wewe kuliko wao.” Wakamsonga sana huyo mtu, huyo Lutu, na wakakaribia kuvunja mlango.
Rekli so: »Umakni se.« In ponovno so rekli: »Ta pajdaš je prišel, da začasno prebiva in hoče biti sodnik. Torej bomo s teboj postopali slabše kakor z njima.« In zelo so pritiskali na človeka, torej Lota in se približali, da zlomijo vrata.
10 Lakini wale wanaume wakamkamata Lutu na kumweka ndani na wakafunga mlango.
Toda moža sta iztegnila svojo roko in potegnila Lota k njim v hišo ter zaprla vrata.
11 Kisha wale wageni wa Lutu wakawapiga kwa upofu wale wanaume waliokuwa nje ya nyumba, vijana na wazee kwa pamoja, kiasi kwamba wakachoka wakati wakiutafuta mlango.
Može, ki so bili pri hišnih vratih, pa sta udarila s slepoto, tako male kakor velike, tako da so se utrudili, da bi našli vrata.
12 Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je una mtu mwingine yeyote hapa? wakwe zako, wanao na mabinti zako, na yeyote mwingine katika huu mji, ukawatoe hapa.
Moža sta Lotu rekla: »Imaš, razen teh tukaj, še koga? Zeta, svoje sinove, svoje hčere in karkoli imaš v mestu, jih odvedi iz tega kraja,
13 Kwa kuwa tunakaribia kuiangamiza sehemu hii, kwa sababu mashitaka dhidi yake mbele ya Yahwe yamezidi kiasi kwamba ametutuma kuuangamiza.”
kajti uničila bova ta kraj, ker je njihovo vpitje naraslo pred Gospodovim obličjem in Gospod naju je poslal, da ga uničiva.«
14 Lutu akatoka na akazungumza na wakwe zake, wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake, akawambia, “Ondokeni upesi mahali hapa, kwa kuwa Yahwe anakaribia kuuangamiza mji.” Lakini kwa wakwe zake alionekana kuwa anawatania.
Lot je odšel ven in svojima zetoma, ki sta poročila njegovi hčeri, spregovoril ter rekel: »Vstanita, pojdita ven iz tega kraja, kajti Gospod bo to mesto uničil.« Toda videti je bil kakor nekdo, ki je zasmehoval svoja zeta.
15 Alfajiri, malaika wakamsihi Lutu, wakisema, ondoka, mtwae mkeo na binti zako wawili ambao wako hapa, ili kwamba usipotelee katika adhabu ya mji huu.”
Ko je vstalo jutro, sta angela podvizala Lota, rekoč: »Vstani, vzemi svojo ženo in svoji dve hčeri, ki sta tukaj, da ne bi bil použit v krivičnosti tega mesta.«
16 Lakini akakawia-kawia. Kwa hiyo watu wale wakamshika mkono wake, na mkono wa mkewe, na mikono ya binti zake wawili, kwa sababu Yahwe alimhurumia. Wakawatoa nje, na kuwaweka nje ya mji.
Medtem ko se je obotavljal, sta moža prijela njegovo roko, roko njegove žene in roki njegovih dveh hčera – Gospod mu je bil usmiljen – in odvedla sta ga naprej in ga postavila zunaj mesta.
17 Wakisha kuwatoa nje mmoja wa wale watu akasema, “jiponye nafsi yako! usitazame nyuma, au usikae mahali popote kwenye hili bonde. Toroka uende milimani ili kwamba usije ukatoweshwa mbali.”
In pripetilo se je, ko sta jih privedla daleč naprej, da je rekel: »Pobegnite zaradi svojega življenja. Ne glejte za seboj niti ne ostanite na vsej ravnini. Zbežite h gori, da ne bi bili použiti.«
18 Lutu akawambia, “Hapana, tafadhali bwana zangu!
Lot pa jima je rekel: »Oh ne tako, moj Gospod.
19 Mtumishi wenu amepata kibali machoni pako, na umenionesha wema ulio mkuu kwa kuokoa maisha yangu, lakini sitaweza kutorokea milimani, kwa sababu mabaya yataniwahi na nitakufa.
Glej torej, tvoj služabnik je našel milost v tvojem pogledu in ti si poveličal svoje usmiljenje, ki si mi ga izkazal z rešitvijo mojega življenja, jaz pa ne morem pobegniti h gori, da me ne bi zajelo neko zlo in umrem.
20 Tazama, ule mji pale uko karibu nijisalimishe pale, na ni mdogo. Tafadhari niacheni nikimbilie pale ( Je Siyo mdogo ule?), na maisha yangu yataokolewa.”
Glej torej, to mesto je blizu, da pobegnem vanj in to je majhno. Oh, dovoli mi pobegniti tja ( mar ni to majhno?) in moja duša bo živela.«
21 Akamwambia, “Sawa, nimekubali ombi hili pia, kwamba sitaangamiza mji ambaoumeutaja.
Rekel mu je: »Glej, sprejel sem te tudi glede te stvari, da ne bom uničil tega mesta, za katero si govoril.
22 Harakisha! toroka uende pale, kwa kuwa sitafanya chochote mpaka ufike pale.” kwa hiyo mji ule ukaitwa Soari.
Pohiti, zbeži tja, kajti ničesar ne morem storiti, dokler ne prideš tja.« Zato je bilo ime tega mesta imenovano Coar.
23 Jua lilikuwa limekwisha chomoza juu ya nchi wakati Lutu alipofika Soari.
Sonce je vstalo nad zemljo, ko je Lot vstopil v Coar.
24 Kisha Yahwe akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka kwa Yahwe mbinguni.
Potem je Gospod na Sódomo in na Gomóro deževal žveplo in ogenj od Gospoda z neba
25 Akaharibu miji ile, na bonde lote, na vyote vilivyomo katika miji, na mimea iliyo chipua juu ya ardhi.
in razdejal je ti mesti, vso ravnino, vse prebivalce mest in to, kar je raslo na tleh.
26 Lakini mke wa Lutu aliye kuwa nyuma yake, akatazama nyuma, na akawa nguzo ya chumvi.
Toda njegova žena je za njim pogledala nazaj in postala solnat steber.
27 Abraham akaamuka asubuhi na mapema akaenda mahali alipokuwa amesimama mbele ya Yahwe.
Abraham je vstal zgodaj zjutraj h kraju, kjer je stal pred Gospodom
28 Akatazama chini kuelekea Sodoma na Gomora na kuelekea katika nchi yote bondeni. Akaona na tazama, moshi ulikuwauki ukienda juu kutoka chini kama moshi wa tanuru.
in pogledal proti Sódomi in Gomóri in proti vsej deželi ravnine in zagledal in glej, dim dežele se je dvigal kakor dim iz talilne peči.
29 Wakati Mungu alipoharibu miji ya bondeni, Mungu akamkumbuka Abraham. Akamtoa Lutu kutoka katika maangamizi alipoangamiza miji ambayo katika hiyo Lutu aliishi.
In pripetilo se je, ko je Bog uničil mesta ravnine, da se je Bog spomnil Abrahama in Lota poslal iz srede razdejanja, ko je razdejal mesti, v katerih je prebival Lot.
30 Lakini Lutu akapanda juu kutoka Soari na kwenda kuishi katika milima akiwa pamoja na binti zake wawili, kwa sababu aliogopa kuishi Soari. Kwa hiyo akaishi pangoni, yeye na binti zake wawili.
Lot je iz Coarja odšel navzgor, prebival na gori in njegovi hčeri z njim, kajti bal se je prebivati v Coarju in prebival je v votlini, on in njegovi dve hčeri.
31 Yule wa kwanza akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanaume mahali popote wa kulala na sisi kulingana na desturi ya dunia yote.
Prvorojena je rekla mlajši: »Najin oče je star in tukaj ni moškega na zemlji, da pride noter v naju po navadi vse zemlje.
32 Njoo na tumnyweshe baba yetu mvinyo na tulale naye ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
Pridi, najinega očeta pripraviva piti vino in bova ležali z njim, da lahko ohraniva seme najinega očeta.«
33 Kwa hiyo wakamnywesha baba yako mvinyo usiku ule. Kisha yule wa kwanza akaingia na akalala na baba yake; Baba yake hakujua ni wakati gani alikuja kulala, wala wakati alipo amka.
To noč sta svojega očeta pripravili piti vino in vstopila je prvorojena in ležala s svojim očetom in ni zaznal, ne ko se je ulegla, ne ko je vstala.
34 Siku iliyo fuata yule wa kwanza akamwambia mdogowake, “Sikiliza, usiku wa jana nililala na baba yangu. Na tumnyweshe mvinyo usiku wa leo pia, na uingie ukalale naye. Ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
Naslednji dan se je pripetilo, da je prvorojena rekla mlajši: »Glej, sinoči sem bila s svojim očetom. Pripraviva ga tudi to noč piti vino in pojdi ti in lezi z njim, da bova lahko ohranili seme najinega očeta.«
35 Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule pia, na yule mdogo akaenda na akalala naye. Baba yake hakujua ni wakati gani alilala, wala wakati alipoamka.
Tudi to noč sta svojega očeta pripravili piti vino in mlajša je vstala in ležala z njim in ni zaznal, ne ko se je ulegla, ne ko je vstala.
36 Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Tako sta bili obe Lotovi hčeri z otrokom s svojim očetom.
37 Wa kwanza akazaa mwana wa kiume, na akamwita jina lake Moabu. Akawa ndiye baba wa wamoabu hata leo.
Prvorojena je rodila sina in njegovo ime imenovala Moáb. Isti je oče Moábcev do današnjega dne.
38 Nayule mdogo naye akazaa mwana wa kiume, na akamwita Benami. Huyu ndiye baba wa watu wa Waamoni hata leo.
Mlajša, tudi ona je rodila sina in njegovo ime imenovala Ben Amí. Isti je oče Amónovih otrok do današnjega dne.

< Mwanzo 19 >