< Mwanzo 18 >
1 Yahwe alimtokea Abraham katika Mialoni ya Mamre, alipokua ameketi mlangoni pa hema wakati wa jua.
Gospod se mu je prikazal na Mamrejevih ravninah, on pa je sedel pri šotorskih vratih, v vročini dneva
2 Akatazama juu na, tazama, akaona wanaume watatu wamesimama mbele yake. Alipo waona, alikimbia kupitia mlango wa hema kuwalaki na kuinama chini hadi ardhini.
in povzdignil svoje oči in pogledal in glej, pri njem so stali trije možje in ko jih je zagledal, je stekel od šotorskih vrat, da jih sreča in se priklonil proti tlom
3 Akasema, “Bwana, kama nimepata upendelea machoni pako, nakuomba usinipite na kuniacha mtumishi wako.
ter rekel: »Moj Gospod, če sem torej našel naklonjenost v tvojih očeh, te prosim, ne odidi proč od svojega služabnika.
4 Naomba maji kidogo yaletwe, mnawe miguu yenu, na mjipumzishe chini ya mti.
Naj bo prineseno, prosim te, malo vode in umijte svoja stopala in se spočijte pod drevesom.
5 Nami acha nilete chakula kidogo, ili kwamba mjiburudishe wenyewe. Ndipo baadae mwaweza kwenda zenu, kwa kuwa mmekuja kwa mtumishi wenu.” Nao wakasema, “Fanya kama ulivyo sema.”
Prinesel bom grižljaj kruha in potolažite svoja srca. Nató boste šli dalje, kajti zato ste prišli k svojemu služabniku.« In rekli so: »Stôri tako, kakor si rekel.«
6 Kisha Abraham akaenda upesi hemani kwa Sara, na akasema, “Harakisha, chukua vipimo vitatu vya unga safi, uukande, na fanya mkate.”
Abraham se je podvizal v šotor k Sari ter ji rekel: »Brž pripravi tri mere fino mlete moke, zamesi jo in na ognjišču pripravi kolače.«
7 Kisha Abraham akakimbia kundini, akachukua ndama wa ng'ombe aliye laini na mzuri, na akampatia mtumishi na kwa haraka akamwandaa.
Abraham je stekel k čredi, vzel nežno in dobro tele ter ga dal mladeniču in ta je pohitel, da ga pripravi.
8 Akatwaa siagi na maziwa na ndama aliye kwisha andaliwa, na akaweka chakula mbele yao, naye akasimama karibu nao chini ya mti wakati wanakula.
Vzel je maslo, mleko in tele, ki ga je pripravil in to postavil prednje, in stal je poleg njih, pod drevesom, oni pa so jedli.
9 Wakamwambia, “Mke wako Sara yuko wapi?” akajibu. “pale hemani.”
Rekli so mu: »Kje je tvoja žena Sara?« Rekel je: »Glejte, v šotoru.«
10 akasema, “Hakika nitarejea kwako majira ya machipuko, na tazama Sara mkeo atakuwa na mtoto wa kiume.” Sara alikuwa akisikiliza mlangoni pa hema iliyokuwa nyuma yake.
In on je rekel: »Zagotovo se bom vrnil k tebi glede na čas življenja in glej, tvoja žena Sara bo imela sina.« Sara pa je to slišala pri vratih šotora, ki je bil za njim.
11 Abraham na Sara walikuwa wazee, umri wao ulikuwa umeendelea sana, na Sara alikuwa amepita umri ambao mwanamke anaweza kuzaa watoto.
Torej Abraham in Sara sta bila stara in zelo zvrhana v letih in s Saro je prenehalo biti po običaju žensk.
12 Kwa hiyo Sara akajicheka mwenyewe, akijisemesha mwenyewe, “baada ya kuwa nimechakaa na bwana wangu ni mzee, je ni tapata furaha hii?”
Zato se je Sara v sebi zasmejala, rekoč: »Bom še imela užitek, potem ko sem se postarala [in] je tudi moj gospod postal star?«
13 Yahwe akamwambia Abraham, “Kwa nini Sara amecheka na kusema, Je ni kweli nitazaa mtoto, nikiwa mzee'?
Gospod je rekel Abrahamu: »Zakaj se je Sara zasmejala, rekoč: ›Bom zares rodila otroka jaz, ki sem stara?‹
14 Je kuna jambo lolote gumu sana kwa Yahwe? Itakuwa katika wakati nilioweka mimi majira ya machipuko, nitarejea kwako. Majira haya mwakani Sara atakuwa na mtoto wa kiume.”
Je za Gospoda katerakoli stvar pretežka? Ob določenem času se bom vrnil k tebi, glede na čas življenja in Sara bo imela sina.«
15 Kisha Sara akakataa na kusema, “sikucheka,” kwa kuwa aliogopa. Yahwe akasema, “hapana ulicheka.”
Potem je Sara zanikala, rekoč: »Nisem se zasmejala, « kajti bila je prestrašena. On pa je rekel: »Ne, toda zasmejala si se.«
16 Kisha wale wanaume walisimama kuondoka na wakatazama chini kuelekea Sodoma. Abraham akafuatana nao kuona njia yao.
Možje so vstali od tam in pogledali proti Sódomi in Abraham je odšel z njimi, da jih pospremi na pot.
17 Lakini Yahwe akasema, Je ni mfiche Abraham kile ninacho kusudia kufanya,
Gospod je rekel: »Mar naj pred Abrahamom prikrijem to stvar, ki jo počnem,
18 Ikiwa kwa hakika Abraham atakuwa mkuu na taifa lenye nguvu, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?
glede na to, da bo Abraham zagotovo postal velik in mogočen narod in bodo v njem blagoslovljeni vsi narodi zemlje?
19 Kwa kuwa nimemchagua ili awaelekeze wanawe na nyumba yake baada yake waishike njia ya Yahwe, watende utakatifu na haki, ili kwamba Yahwe ampatie Abraham yale aliyo yasema kwake.”
Kajti poznam ga, da bo ukazal svojim otrokom in svoji družini za njim in se bodo držali Gospodove poti, da izvajajo pravičnost in sodbo, da bo Gospod nad Abrahama lahko privedel to, kar je govoril o njem.«
20 Kisha Yahwe akasema, “Kwa sababu kilio cha Sodoma na Gomora ni kikuu, na kwa kuwa dhambi yao ni kubwa,
Gospod je rekel: »Ker je vpitje Sódome in Gomóre veliko in ker je njihov greh zelo boleč,
21 sasa nitashuka pale na kuona kilio kilicho nifikia dhidi yake, ikiwa kweli wamefanya au hawakufanya, nitajua.”
bom torej šel dol in pogledal, ali so storili povsem glede na njihovo vpitje, ki je prišlo do mene; in če ne, bom vedel.«
22 Kwa hiyo wale wanaume wakageuka toka pale, na kuelekea Sodoma, lakini Abraham akabaki amesimama mbele ya Yahwe.
Možje so svoje obraze obrnili od tam in odšli proti Sódomi, toda Abraham je kljub temu stopil pred Gospoda.
23 Kisha Abraham alikaribia na kusema, “Je utawafutilia mbali watakatifu pamoja na waovu?
Abraham se je približal in rekel: »Hočeš prav tako uničiti pravične z zlobnimi?
24 Huenda wakawepo wenye haki hamsini katika mji. Je utawakatilia mbali na usiuache mji kwa ajili ya hao watakatifu hamsini walioko hapo?
Morda je znotraj mesta petdeset pravičnih. Hočeš prav tako uničiti kraj in mu ne prizanesti zaradi petdesetih pravičnih, ki so v njem?
25 Hasha usifanye hivyo, kuwauwa watakatifu pamoja na waovu, ili kwamba watakatifu watendewe sawa na waovu. Hasha! Je muhukumu wa ulimwengu wote hatatenda haki?”
To bodi daleč od tebe, da storiš na ta način, da z zlobnimi pokončaš pravične in da bi bili pravični kakor zlobni, to bodi daleč od tebe. Mar ne bo Sodnik vse zemlje storil pravično?«
26 Yahwe akasema, “Katika Sodoma nikipata watakatifu hamsini kwenye mji, nita uacha mji wote kwa ajili ya hao.”
Gospod je rekel: »Če najdem v Sódomi, znotraj mesta, petdeset pravičnih, potem bom zaradi njih prizanesel celemu kraju.«
27 Abraham akajibu na kusema, “Tazama, Nimeshika kusema na Bwana wangu, hata kama mimi ni mavumbi na majivu!
Abraham pa je odgovoril in rekel: »Glej torej, nase, ki sem samo prah in pepel, sem vzel, da govorim Gospodu.
28 Itakuwaje ikiwa kuna watano pungufu katika idadi ya hao watakatifu hamsini? Je utaangamiza mji wote kwa upungufu wa hao watano?” Akasema, “Sitaangamiza, ikiwa nitapata watu arobaini na watano pale.”
Morda jih bo manjkalo pet do petdesetih pravičnih. Hočeš mesto uničiti zaradi pomanjkanja petih?« On pa je rekel: »Če jih najdem tam petinštirideset, ga ne bom uničil.«
29 Akaongea naye tena, na kusema, “Itakuwaje ikiwa arobaini watapatikana pale?” Akajibu, “Sitafanya kwa ajili ya hao arobaini.”
Ponovno mu je spregovoril in rekel: »Morda jih bo tam najdenih štirideset.« On pa je rekel: » Tega ne bom storil zaradi štiridesetih.«
30 Akasema, Tafadhali usikasirike, Bwana, nikiongea. Pengine thelathini watapatikana pale.” Akajibu, 'Sitafanya, ikiwa nitapata thelathini pale.”
Rekel mu je: »Oh naj moj Gospod ne bo jezen, jaz pa bom govoril: ›Morda jih bo tam najdenih trideset.‹« On pa je rekel: » Tega ne bom storil, če jih tam najdem trideset.«
31 Akasema, Tazama, Nimeshika kusema na Bwana wangu! Pengine ishirini watapatikana pale.” Akajibu, “Sitaharibu kwa ajili ya hao ishirini.”
Rekel je: »Glej torej, vzel sem nase, da govorim Gospodu: ›Morda jih bo tam najdenih dvajset.‹« On pa je rekel: »Ne bom ga uničil zaradi dvajsetih.«
32 Akasema, “Tafadhali usikasirike, Bwana, na nitasema jambo hili kwa mara ya mwisho. Huenda kumi wakaonekana kule.” Na akasema, sitaangamiza kwa ajili ya hao kumi.”
Rekel je: »Oh naj Gospod ne bo jezen, jaz pa bom govoril samo še tokrat: ›Morda jih bo tam najdenih deset.‹« On pa je rekel: »Ne bom ga uničil zaradi desetih.«
33 Yahwe akaendelea na njia yake mara tu baada ya kumaliza kuongea na Abraham, na Abraham akarudi nyumbani.
Gospod je odšel svojo pot takoj, ko je prenehal govoriti z Abrahamom. Abraham pa se je vrnil na svoj kraj.