< Mwanzo 17 >

1 Wakati Abram alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Yahwe alimtokea Abram na akamwambia, “Mimi ni Mungu wa uwezo. Uende mbele yangu, na uwe mkamilifu.
A kad Avramu bi devedeset i devet godina, javi mu se Gospod i reèe mu: ja sam Bog svemoguæi, po mojoj volji živi i budi pošten.
2 Kisha nitalithibitisha agano langu kati yangu mimi na wewe, na nitakuzidisha sana.
I uèiniæu zavjet izmeðu sebe i tebe, i vrlo æu te umnožiti.
3 Abram akainama uso wake hadi chini ardhini na Mungu akazungumza naye, akisema,
A Avram pade nièice. I Gospod mu još govori i reèe:
4 “Mimi, tazama, agano langu liko nawe. Utakuwa baba wa mataifa mengi.
Od mene evo zavjet moj s tobom da æeš biti otac mnogim narodima.
5 Wala jina lako halitakuwa tena Abram, bali jina lako litakuwa Abraham - kwa kuwa ninakuchagua kuwa baba wa mataifa mengi.
Zato se više neæeš zvati Avram, nego æe ti ime biti Avraam, jer sam te uèinio ocem mnogih naroda;
6 Nitakufanya uwe na uzao mwingi zaidi, na nitakufanya mataifa, na wafalme watatoka kwako.
Daæu ti porodicu vrlo veliku, i naèiniæu od tebe narode mnoge, i carevi æe izaæi od tebe.
7 Nitaimarisha agao langu kati yangu mimi na wewe na uzao wako baada yako, katika vizazi vyao vyote kwa agano la milele, nitakuwa Mungu kwako na kwa wazao wako baada yako.
A postavljam zavjet svoj izmeðu sebe i tebe i sjemena tvojega nakon tebe od koljena do koljena, da je zavjet vjeèan, da sam Bog tebi i sjemenu tvojemu nakon tebe;
8 Nitakupa wewe, na wazao wako baada yako, nchi ambayo ulikuwa unaishi, nchi yote ya Kanaani, kuwa miliki ya milele, na nitakuwa Mungu wao.”
I daæu tebi i sjemenu tvojemu nakon tebe zemlju u kojoj si došljak, svu zemlju Hanansku u državu vjeènu, i biæu im Bog.
9 Kisha Mungu akamwambia Abraham, “nawe lazima ulishike agano langu, wewe pamoja na uzao wako baada yako kwa vizazi vyao.
I reèe Bog Avramu: ti pak drži zavjet moj, ti i sjeme tvoje nakon tebe od koljena do koljena.
10 Hili ndilo agano langu, ambalo utalishika, kati yangu na wewe na wazao wako baada yako: Kila mwanaume wa kwenu lazima atahiriwe.
A ovo je zavjet moj izmeðu mene i vas i sjemena tvojega nakon tebe, koji æete držati: da se obrezuje izmeðu vas sve muškinje.
11 Lazima mtatahiriwa katika nyama ya govi la ngozi ya mbele, na hii itakuwa ishara ya agano kati yangu mimi na ninyi.
A obrezivaæete okrajak tijela svojega, da bude znak zavjeta izmeðu mene i vas.
12 Kila mwanaume wa kwenu aliye na umri wa siku nane lazima atahiriwe, katika vizazi ya watu wenu. Hii ni pamoja na yule azaliwaye katika nyumba yako na yeye ambaye amenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si mmoja wa wazao wako.
Svako muško dijete kad mu bude osam dana da se obrezuje od koljena do koljena, rodilo se u kuæi ili bilo kupljeno za novce od kojih god stranaca, koje ne bude od sjemena tvojega.
13 Mtu ambaye amezaliwa katika nyumba yako na yule aliye nunuliwa kwa fedha yako lazima atahiriwe. Hivyo agano langu litakuwa katika mwili wenu kuwa agano la milele.
Da se obrezuje koje se rodi u kuæi tvojoj i koje se kupi za novce tvoje; tako æe biti zavjet moj na tijelu vašem zavjet vjeèan.
14 Mwanaume yeyote asiye tahiriwa katika mwili govi la ngozi yake ya mbele atatengwa na watu wake. Amevunja agano langu.”
A neobrezano muško, kojemu se ne obreže okrajak tijela njegova, da se istrijebi iz naroda svojega, jer pokvari zavjet moj.
15 Mungu akamwambia Abraham, “kwa habari ya Sarai mkeo, usimuite tena Sarai. Badala yake jina lake litakuwa Sara.
I još reèe Bog Avramu: a Saru ženu svoju ne zovi je više Sara nego neka joj bude ime Sara.
16 Nitambariki, na nitakupatia mtoto wa kiume kwake. Nitambariki, na atakuwa mama wa mataifa. Wafalme wa watu wa mataifa watapatikana kutokana na yeye.
I ja æu je blagosloviti, i daæu ti sina od nje; blagosloviæu je, i biæe mati mnogim narodima, i carevi narodima izaæi æe od nje.
17 Kisha Abraham akainama uso wake hadi ardhini, na akacheka, akasema moyoni mwake, Je yawezekana mtoto azaliwe kwa mwanaume ambaye ana umri wa miaka miamoja? na Je Sara, ambaye ana umri wa miaka tisini anaweza kuzaa mwana?”
Tada pade Avram nièice, i nasmija se govoreæi u srcu svojem: eda æe se èovjeku od sto godina roditi sin? i Sari? eda æe žena od devedeset godina roditi?
18 Abraham akamwambia Mungu, “Lau Ishmaeli angeweza kuishi kabla yako!”
I Avram reèe Bogu: neka živ bude Ismailo pred tobom!
19 Mungu akasema, Hapana, Sarai mkeo atakuzalia mtoto wa kiume na utamwita jina lake Isaka. Nita imarisha agano langu na yeye kama agano la milele pamoja na uzao wake baada yake.
I reèe Bog: zaista Sara žena tvoja rodiæe ti sina, i nadjeæeš mu ime Isak; i postaviæu zavjet svoj s njim da bude zavjet vjeèan sjemenu njegovu nakon njega.
20 Na kwa habari ya Ishmaeli nimekusikia. Tazama, ninambariki, na nitamfanya kuwa na uzao na kumzidisha maradufu. Atakuwa baba wa viongozi kumi na mbili wa makabila, na nitamfanya kuwa taifa kuu.
A i za Ismaila uslišio sam te; evo blagoslovio sam ga, i daæu mu porodicu veliku, i umnožiæu ga veoma; i rodiæe dvanaest knezova, i uèiniæu od njega velik narod.
21 Lakini agano langu nitalifanya imara na Isaka, ambaye Sarai atazaa kwako majira haya mwakani.”
A zavjet svoj uèiniæu s Isakom kad ti ga rodi Sara, do godine u ovo doba.
22 Alipo kuwa amemaliza kuzungumza naye, Mungu akaondoka kwa Abraham.
I Bog izgovorivši otide od Avrama gore.
23 Kisha Abraham akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote ambao walizaliwa katika nyumba yake, na wote ambao walinunuliwa kwa fedha yake, kila mwanaume miongoni mwa watu wa nyumba ya Abraham, walitahiriwa mwili wa magovi ya ngozi ya mbele katika siku iyo hiyo, kama Mungu alivyo kuwa amesema.
I Avram uze Ismaila sina svojega i sve koji se rodiše u domu njegovu i koje god bješe kupio za svoje novce, sve muškinje od domaæih svojih; i obreza okrajak tijela njihova u isti dan, kao što mu kaza Bog.
24 Abraham alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa katika mwili wa govi la ngozi yake ya mbele.
A bješe Avramu devedeset i devet godina kad obreza okrajak tijela svojega.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka kumi na tatu alipotahiriwa katika mwili wa govi la ngozi yake ya mbele.
A Ismailu sinu njegovu bješe trinaest godina kad mu se obreza okrajak tijela njegova.
26 Siku ile ile ambayo wote wawili Abraham na Ishmael mwanawe walipotahiriwa, ndipo
U jedan dan obreza se Avram i sin mu Ismailo,
27 wanaume wote wa nyumba yake walitahiriwa pia, hawa ni pamoja na wale waliozaliwa katika nyumba ile na wale walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni.
I svi domašnji njegovi, roðeni u kuæi i kupljeni za novce od stranaca, biše obrezani s njim.

< Mwanzo 17 >