< Mwanzo 17 >

1 Wakati Abram alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Yahwe alimtokea Abram na akamwambia, “Mimi ni Mungu wa uwezo. Uende mbele yangu, na uwe mkamilifu.
Když pak Abram byl v devadesáti devíti letech, ukázal se mu Hospodin, a řekl jemu: Já jsem Bůh silný všemohoucí; chodiž ustavičně přede mnou a budiž dokonalým.
2 Kisha nitalithibitisha agano langu kati yangu mimi na wewe, na nitakuzidisha sana.
A učiním smlouvu svou mezi sebou a tebou a rozmnožím tě náramně velmi.
3 Abram akainama uso wake hadi chini ardhini na Mungu akazungumza naye, akisema,
Padl pak Abram na tvář svou; i mluvil Bůh s ním, řka:
4 “Mimi, tazama, agano langu liko nawe. Utakuwa baba wa mataifa mengi.
Jáť jsem, aj, smlouva má s tebou, a budeš otcem národů mnohých.
5 Wala jina lako halitakuwa tena Abram, bali jina lako litakuwa Abraham - kwa kuwa ninakuchagua kuwa baba wa mataifa mengi.
Aniž více slouti bude jméno tvé Abram, ale bude jméno tvé Abraham; nebo otcem mnohých národů učinil jsem tě.
6 Nitakufanya uwe na uzao mwingi zaidi, na nitakufanya mataifa, na wafalme watatoka kwako.
A učiním, abys se rozplodil náramně velmi, a rozšířím tě v národy; i králové z tebe vyjdou.
7 Nitaimarisha agao langu kati yangu mimi na wewe na uzao wako baada yako, katika vizazi vyao vyote kwa agano la milele, nitakuwa Mungu kwako na kwa wazao wako baada yako.
Utvrdím také smlouvu svou mezi sebou a tebou, i mezi semenem tvým po tobě, po rodech jejich, za smlouvu věčnou, totiž abych byl Bohem tvým i semene tvého po tobě.
8 Nitakupa wewe, na wazao wako baada yako, nchi ambayo ulikuwa unaishi, nchi yote ya Kanaani, kuwa miliki ya milele, na nitakuwa Mungu wao.”
Nadto dám tobě i semeni tvému po tobě zemi, v nížto obýváš pohostinu, všecku zemi Kananejskou k vládařství věčnému; a budu jejich Bohem.
9 Kisha Mungu akamwambia Abraham, “nawe lazima ulishike agano langu, wewe pamoja na uzao wako baada yako kwa vizazi vyao.
Řekl ještě Bůh Abrahamovi: Ty pak ostříhati budeš smlouvy mé, ty i símě tvé po tobě, po rodech svých.
10 Hili ndilo agano langu, ambalo utalishika, kati yangu na wewe na wazao wako baada yako: Kila mwanaume wa kwenu lazima atahiriwe.
Tatoť jest smlouva má mezi mnou a mezi vámi, i mezi semenem tvým po tobě, kteréž ostříhati budete: Aby obřezán byl mezi vámi každý pohlaví mužského.
11 Lazima mtatahiriwa katika nyama ya govi la ngozi ya mbele, na hii itakuwa ishara ya agano kati yangu mimi na ninyi.
Obřežete pak tělo hanby své; a to bude znamením smlouvy mezi mnou a mezi vámi.
12 Kila mwanaume wa kwenu aliye na umri wa siku nane lazima atahiriwe, katika vizazi ya watu wenu. Hii ni pamoja na yule azaliwaye katika nyumba yako na yeye ambaye amenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si mmoja wa wazao wako.
Každý tedy pohlaví mužského osmého dne obřezán bude mezi vámi po rodech vašich, doma narozený i koupený za stříbro, z kterých by koli cizozemců byl, jenž není z semene tvého.
13 Mtu ambaye amezaliwa katika nyumba yako na yule aliye nunuliwa kwa fedha yako lazima atahiriwe. Hivyo agano langu litakuwa katika mwili wenu kuwa agano la milele.
Konečně ať jest obřezán narozený v domě tvém, i koupený za peníze tvé; a budeť smlouva má na těle vašem za smlouvu věčnou.
14 Mwanaume yeyote asiye tahiriwa katika mwili govi la ngozi yake ya mbele atatengwa na watu wake. Amevunja agano langu.”
Neobřezaný pak pacholík, kterýž by neobřezal těla neobřízky své, vyhlazena zajisté bude duše ta z lidu svého; nebo smlouvu mou zrušil.
15 Mungu akamwambia Abraham, “kwa habari ya Sarai mkeo, usimuite tena Sarai. Badala yake jina lake litakuwa Sara.
Řekl také Bůh Abrahamovi: Sarai manželce své nebudeš říkati Sarai, ale Sára bude jméno její.
16 Nitambariki, na nitakupatia mtoto wa kiume kwake. Nitambariki, na atakuwa mama wa mataifa. Wafalme wa watu wa mataifa watapatikana kutokana na yeye.
Nebo požehnám jí a dámť z ní syna; požehnámť jí, a bude v národy; králové národů z ní vyjdou.
17 Kisha Abraham akainama uso wake hadi ardhini, na akacheka, akasema moyoni mwake, Je yawezekana mtoto azaliwe kwa mwanaume ambaye ana umri wa miaka miamoja? na Je Sara, ambaye ana umri wa miaka tisini anaweza kuzaa mwana?”
Tedy padl Abraham na tvář svou, a zasmáv se, řekl v srdci svém: Zdali stoletému narodí se syn? A zdali Sára v devadesáti letech porodí?
18 Abraham akamwambia Mungu, “Lau Ishmaeli angeweza kuishi kabla yako!”
I řekl Abraham Bohu: Ó byť jen Izmael živ byl před tebou!
19 Mungu akasema, Hapana, Sarai mkeo atakuzalia mtoto wa kiume na utamwita jina lake Isaka. Nita imarisha agano langu na yeye kama agano la milele pamoja na uzao wake baada yake.
Jemužto řekl Bůh: Nýbrž Sára manželka tvá porodí tobě syna, a nazůveš jméno jeho Izák; i utvrdím smlouvu svou s ním za smlouvu věčnou, i s semenem jeho po něm.
20 Na kwa habari ya Ishmaeli nimekusikia. Tazama, ninambariki, na nitamfanya kuwa na uzao na kumzidisha maradufu. Atakuwa baba wa viongozi kumi na mbili wa makabila, na nitamfanya kuwa taifa kuu.
Také o Izmaele uslyšel jsem tě; a aj, požehnám jemu, a učiním to, aby se rozplodil, a rozmnožím ho náramně velmi; dvanáctero knížat zplodí, a rozšířím jej v národ veliký.
21 Lakini agano langu nitalifanya imara na Isaka, ambaye Sarai atazaa kwako majira haya mwakani.”
Ale smlouvu svou utvrdím s Izákem, kteréhožť porodí Sára po roce, při tomto času.
22 Alipo kuwa amemaliza kuzungumza naye, Mungu akaondoka kwa Abraham.
A když dokonal Bůh řeč svou s ním, vstoupil od Abrahama.
23 Kisha Abraham akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote ambao walizaliwa katika nyumba yake, na wote ambao walinunuliwa kwa fedha yake, kila mwanaume miongoni mwa watu wa nyumba ya Abraham, walitahiriwa mwili wa magovi ya ngozi ya mbele katika siku iyo hiyo, kama Mungu alivyo kuwa amesema.
Vzal tedy Abraham Izmaele syna svého, i všecky zrozené v domě svém, i všecky koupené za stříbro své, každého, kdož byl pohlaví mužského, z domácích svých, a obřezal tělo neobřízky jejich hned v ten den, jakž s ním Bůh mluvil.
24 Abraham alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa katika mwili wa govi la ngozi yake ya mbele.
A byl Abraham v devadesáti devíti letech, když obřezáno bylo tělo neobřízky jeho.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka kumi na tatu alipotahiriwa katika mwili wa govi la ngozi yake ya mbele.
Izmael pak syn jeho byl v třinácti letech, když obřezáno bylo tělo neobřízky jeho.
26 Siku ile ile ambayo wote wawili Abraham na Ishmael mwanawe walipotahiriwa, ndipo
Jednoho a téhož dne obřezáni jsou, Abraham a Izmael syn jeho.
27 wanaume wote wa nyumba yake walitahiriwa pia, hawa ni pamoja na wale waliozaliwa katika nyumba ile na wale walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni.
I všickni domácí jeho, doma zrození i za stříbro od cizozemce koupení, obřezáni jsou s ním.

< Mwanzo 17 >