< Mwanzo 16 >

1 Kisha Sarai mke wa Abram, alikuwa hajamzalia mtoto, lakini alikuwa na mtumishi wa kike, Mmisri ambaye jina lake aliitwa Hajiri.
Ie amy zao, mbe tsy nahatoly anake ho aze t’i Sarae, vali’ i Avrame, f’ie aman’ ondevo nte-Mitsraime atao Khagare,
2 Kwa hiyo Sarai akamwambia Abram, “Tazama, Yahwe hajanifanya mimi kuwa na watoto. Nenda na ulale na mtumishi wangu. Ili kwamba niweze kupata watoto kupitia yeye.” Abram akasikiliza sauti ya Sarai.
aa le hoe t’i Sarae amy Avrame, Heheke henaneo te kinala’ Iehovà Iraho tsy hiterake. Ehe, mimoaha amy fetrek’ orokoy, kera hahasavereña’e. Niantofa’ i Avrame ty enta’ i Sarae.
3 Ilikuwa baada ya Abram kuishi miaka kumi katika nchi ya Kanaani ndipo Sarai, mke wa Abram, alimtoa Hajiri yule mmisri mtumishi wake kwa mume wake awe kama mke wake.
Aa naho fa nimoneñe e Kanàne folo taoñe t’i Avrame, le nala’ i Sarae vali’e t’i Khagare mpitoro’e vaho natolo’e amy vali’ey hialoza’e.
4 Kwa hiyo akawa na mahusiano na Hajiri, na akabeba mimba. Na alipoona kuwa amebeba mimba, akamdharau bibi yake.
Le nimoaha’e t’i Khagare, vaho niareñe. Aa ie nahafohiñe te nivesatse le nisirikae’ o maso’eo i tompo’ey.
5 Kisha Sarai akamwambia Abram, “Jambo hili baya kwangu ni kwa sababu yako. Nilimtoa mtumishi wangu wa kike katika kumbatio lako. Na alipoona kuwa amebeba mimba, nilidharaulika machoni pake. Na sasa acha Yahwe aamuwe kati yangu na wewe.”
Le hoe t’i Sarae amy Avrame, Boak’ ama’o ty fisotriako. Napoko am-pità’o i mpitorokoy, aa kanao apota’e te mivesatse, le sirikaeñe a-maso’eo iraho. Ee te hizaka añivon-tika t’Iehovà.
6 Lakini Abram akamwambia Sarai, “Tazama, hapa, mtumishi wako yuko katika uwezo wako, fanya unachofikiri ni kizuri sana kwake.” Kwa hiyo Sarai akakabiliana naye kwa ukatili, na akatoroka.
An-taña’o i mpitoro’oy, hoe t’i Avrame. Ano ama’e ze no’ ty tro’o. Aa le nampisoañe’ i Sarae t’i Khagare vaho nibotatsake amy fiatrefa’ey re.
7 Malaika wa Yahwe akamkuta karibu na chemichemi ya maji katika jangwa, chemichemi iliyo katika njia kuelekea Shuri.
Tendrek’amy Khagare t’i anjeli’ Iehovà marine ty rano migoangoañe an-dratraratra añe, ty figoangoan-drano an-dalañe mb’e Sore mb’eo.
8 Akasema, Hajiri, mtumishi wa Sarai, umetoka wapi na unakwenda wapi?” Na akasema, ninamtoroka bibi yangu Sarai.”
Le hoe re, O Khagare, mpitoro’ i Sarae, boak’ aia v’iheo vaho homb’aia? Hoe re, Milay an‑da­hara’ i tompoko Saraey iraho.
9 Malaika wa Yahwe akamwambia, “Rudi kwa bibi yako, na unyenyekee chini ya mamlaka yake.”
Aa hoe ty anjeli’ Iehovà ama’e, Mim­polia mb’amy tompo’oy vaho miam­banea am-pità’eo.
10 Kisha Malaika wa Yahwe akamwambia, “Nitazidisha uzao wako maradufu, kiasi kwamba watakuwa wengi wasioweza kuhesabika.”
Hoe ka ty anjeli’ Iehovà ama’e, Toe hampi­tom­­boako o tarira’oo kanao tsy ho hay iaheñe ami’ty fangitsikitsiha’e.
11 Malaika wa Yahwe pia akamwambia, “Tazama, wewe unamimba, na utazaa mtoto kiume, na utamwita jina lake Ishmaeli, kwasabab Yahwe amesikia mateso yako.
Le hoe ty anjeli’ Iehovà ama’e, Fa miareñe irehe vaho hisamak’ anadahy; hatao’o Iesmaèle ty añara’e, amy te nihaoñe’ Iehovà ty fisotria’o.
12 Atakuwa punda mwitu wa mtu. Atakuwa adui dhidi ya kila mtu, na kila mtu atakuwa adui yake, na ataishi kando na ndugu zake wote.”
Ho borìke hako indatiy hañonjoñe sirañe amy ze hene ondaty, le ondaty iabio ty hañonjon-tsirañe ama’e; vaho himoneñe añatrefa’ o longo’e iabio re.
13 Kisha akamwita jina hili Yahwe aliye zungumza naye, “Wewe ni Mungu unionaye mimi,” kwa kuwa alisema, “je ninaendelea kweli kuona, hata baada ya kuwa ameniona?”
Aa le kinanji’e ty hoe Elroy t’Iehovà nitsara ama’ey: fa hoe re, Ihe ro Andrianañahare mahavazoho ahy, le hoe re: Aa vaho toe nitreako hao i Mahavazoho ahy?
14 Kwa hiyo kisima kiliitwa Beerlahairori; Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
Le natao ty hoe Bire-lakhai-roy i vovoñe añivo’ i Kadese naho i Beredey.
15 Hajiri akamzalia Abram mwana wa kiume, na Abram akamwita mwanawe, ambaye Hajiri amemzaa jina, Ishmaeli.
Nisamak’ ana-dahy ho a i Avrame t’i Khagare vaho nimea’ i Avrame añarañe ty hoe Iesmaèle i ana-dahi’e nasama’ i Kagarey.
16 Abram alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hajiri alipomzaa Ishmaeli kwa Abram.
Valompolo taoñe eneñ’ amby t’i Avrame te nisamake Iesmaèle t’i Khagare.

< Mwanzo 16 >