< Mwanzo 14 >

1 Ikiwa katika siku za Amrafeli, mfalme wa shinari, Arioko, mfalme wa Elasari, Kedorlaoma, mfalme wa Elam na Tidali, mfalme wa Goimu,
Stalo se pak ve dnech těch, že Amrafel král Sinearský, Arioch král Elasarský, Chedorlaomer král Elamitský, a Thádal král Goimský,
2 walifanya vita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birsha, mfalme wa Gomora, Shinabu, mfalme wa Adma, Shemeberi, mfalme wa Seboim, na mfalme wa Bela(pia ikiitwa Soari).
Vyzdvihli válku proti Bérovi králi Sodomskému, a proti Bersovi králi Gomorskému, a Senábovi králi Adamatskému, a Semeberovi králi Seboimskému, a králi Bélamskému, to jest Ségorskému.
3 Hawa wafalme watano wa mwisho waliungana pamoja katika bonde la Sidim (pia likiitwa bahari ya chumvi).
Všickni tito sjeli se do údolí Siddim, to jest již moře solné.
4 Kwa miaka kumi na mbili walimtumikia Kedorlaoma, lakini katika mwaka wa kumi na tatu waliasi.
Dvanácte let sloužili Chedorlaomerovi, třináctého pak léta zprotivili se.
5 Kisha katika mwaka wa kumi na nne, Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja nae walikuja na kuwashambulia Warefai katika Ashteroth Karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe Kiriathaimu,
Protož léta čtrnáctého přitáhl Chedorlaomer a králové, kteříž byli s ním, a pobili Refaimské v Astarotu Karnaimských, a Zuzimské v Cham, a Eminské na rovinách Kariataimských,
6 na Wahori katika mlima wao wa Seiri, mpaka El Parani iliyo karibu na jangwa.
A Horejské na hoře jich Seir, až k rovině Fáran, kteráž leží nad pouští.
7 Kisha wakarudi wakaja En Misifati (Pia ikiitwa Kadeshi), na kuishinda nchi yote ya Waamaleki, na pia Waamori ambao waliishi Hasasoni Tamari.
A vracejíce se, přitáhli k En Misfat, kteráž již jest Kádes, a pohubili všecku krajinu Amalechitského, také i Amorejského, bydlícího v Hasesontamar.
8 Kisha mfalme wa Sodoma, mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboim, na mfalme wa Bela (pia ikiitwa Soari) walikwenda na kuandaa vita
Protož vytáhl král Sodomský, a král Gomorský, a král Adamatský, a král Seboimský, a král Bélamský, to jest Ségorský, a sšikovali se proti nim k bitvě v údolí Siddim,
9 dhidi ya Kadorlaoma, mfalme wa Elam, Tidali mfalme wa Goim, Amrafeli, mfalme wa Shinari, Arioki, mfalme wa Elasari; wafme wanne dhidi ya wale watano.
Proti Chedorlaomerovi králi Elamitskému, a Thádalovi králi Goimskému, a Amrafelovi králi Sinearskému, i Ariochovi králi Elasarskému, čtyři králové proti pěti.
10 Na sasa bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, na wafalme wa Sodoma na Gomora walipokimbia, wakaanguka pale. Wale waliosalia wakakimbilia milimani.
(V údolí pak Siddim bylo mnoho studnic klejovatých.) I utíkajíce král Sodomský a Gomorský, padli tam; a kteří pozůstali, utekli na hory.
11 Kwa hiyo adui akachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, na wakaenda zao,
A pobravše všecko zboží Sodomských a Gomorských, a všecky potravy jich, odtáhli.
12 walipoondoka, wakamchukua pia Lutu, mtoto wa ndugu yake na Abram ambaye aliishi Sodoma, pamoja na mali zake zote.
Vzali také Lota, a zboží jeho, syna bratra Abramova, a odjeli; nebo on bydlil v Sodomě.
13 Mmoja ambaye alitoroka alikuja na kumwambia Abram mwebrania. Alikuwa anaishi katika mialoni ya Mamre, mwamori ambaye alikuwa ni ndugu wa Eshkoli na Aneri ambao walikuwa washirika wa Abram.
Přišel pak jeden, kterýž byl utekl, a zvěstoval Abramovi Hebrejskému, kterýž tehdáž bydlil v rovinách Mamre Amorejského, bratra Eškolova a bratra Anerova; nebo ti měli smlouvu s Abramem.
14 Abram aliposikia kuwa maadui wamemteka ndugu yake, akawaongoza wanaume waliofunzwa na kuzaliwa nyumbani mwake 318 na akawaongoza hadi Dani.
Uslyšev tedy Abram, že by zajat byl bratr jeho, vypravil způsobných k boji a v domě svém zrozených služebníků tři sta a osmnácte, a honil je až k Dan.
15 Akawagawanya watu wake dhidi yao usiku na kuwavamia, na kuwafukuza mpaka Hoba, ambayo iko kaskazini mwa Dameski.
A odděliv se, připadl na ně v noci, on i služebníci jeho, a porazil je; a stihal je až k Chobah, kteréž leží na levo Damašku.
16 Kisha akarudisha mali zote, pia akamrudisha ndugu yake Lutu na mali zake, pamoja na wanawake na watu wengine.
I odjal zase všecko zboží; také i Lota bratra svého s statkem jeho zase přivedl, ano i ženy a lid.
17 Baada ya Abram kurudi kutoka kumpiga Kadorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja nae, mfalme wa Sodoma akatoka kuonana nae katika bonde la Shawe (pia iliitwa bonde la mfalme).
Tedy vyšel král Sodomský proti němu, když se navracoval od pobití Chedorlaomera a králů, kteříž byli s ním, k údolí Sáveh, kteréž jest údolí královské.
18 Melkizedeki, mfalme wa Salem, akaleta mkate na divai. Alikuwa ni kuhani wa Mungu aliye juu sana.
Melchisedech také král Sálem, vynesl chléb a víno; a ten byl kněz Boha silného nejvyššího.
19 Alimbariki akisema, “Abarikiwea Abram na Mungu aliye juu sana, muumba wa mbingu na nchi.
I požehnal mu a řekl: Požehnaný Abram Bohu silnému nejvyššímu, kterýž vládne nebem a zemí;
20 Abarikiwe Mungu aliye juu sana, ambaye amekupatia adui zako katika mikono yako.” Kisha Abram akampatia sehemu ya kumi ya kila kitu.
A požehnaný Bůh silný nejvyšší, kterýž dal nepřátely tvé v ruce tvé. I dal mu Abram desátky ze všech věcí.
21 Mfalme wa Sodama akamwambia Abram, “Nipatie watu, na ujichukulie wewe mwenyewe mali.”
Král pak Sodomský řekl Abramovi: Dej mi lid, a zboží vezmi sobě.
22 Abram akamwambia mfalme wa Sodoma, “Nimeinua juu mkono wangu kwa Yahwe, Mungu aliye juu sana, muumbaji wa mbingu na nchi,
I řekl Abram králi Sodomskému: Pozdvihl jsem ruky své k Hospodinu, Bohu silnému nejvyššímu, kterýž vládne nebem i zemí,
23 kwamba sitachukua uzi wala gidamu ya kiatu, au kitu chochote ambacho ni chako, 'ili kwamba usiseme, nimemfanya Abram kuwa tajiri.'
Že nevezmu od niti až do řeménka obuvi ze všech věcí, kteréž jsou tvé, abys neřekl: Já jsem obohatil Abrama,
24 Sitachukua chochote isipokuwa kile ambacho vijana wamekula na sehemu za watu waliokwenda nami. Aneri, Eskoli, na Mamre na wachukue sehemu zao.”
Kromě toliko toho, což snědli bojovníci, a dílu mužů, kteříž se mnou šli, totiž Aner, Eškol a Mamre; oni nechať vezmou díl svůj.

< Mwanzo 14 >