< Mwanzo 13 >

1 Kwa hiyo Abram akaondoka akatoka Misri na akaenda Negebu, Yeye, mke wake, na vyote alivyokuwa navyo. Lutu pia akaenda pamoja naye.
Avram, karısı ve sahip olduğu her şeyle birlikte Mısır'dan ayrılıp Negev'e doğru gitti. Lut da onunla birlikteydi.
2 Na sasa Abram alikuwa tajiri wa mifugo, fedha na dhahabu.
Avram çok zengindi. Sürüleri, altınları, gümüşleri vardı.
3 Aliendelea na safari yake kutoka Negebu hadi Betheli, mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo, kati ya Betheli na mji wa Ai.
Negev'den başlayıp bir yerden öbürüne göçerek Beytel'e kadar gitti. Beytel'le Ay Kenti arasında daha önce çadırını kurmuş olduğu yere vardı.
4 Akaenda mahali ambapo madhabahu ilikuwa imejengwa mwanzoni. Hapa akaliitia jina la Yahwe.
Önceden yapmış olduğu sunağın bulunduğu yere gidip orada RAB'bi adıyla çağırdı.
5 aliyekuwa anasafiri na Abram, alikuwa pia na ngo'mbe, makundi ya mifugo, na mahema.
Avram'la birlikte göçen Lut'un da davarları, sığırları, çadırları vardı.
6 Nchi haikuwatosha wote kukaa pamoja karibu kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana, kiasi kwamba hawakuweza kukaa pamoja.
Malları öyle çoktu ki, toprak birlikte yaşamalarına elvermedi; yan yana yaşayamadılar.
7 Pia, kulikuwa na ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abram na wachunga wanyama wa Lutu. Wakanaani pamoja na Waperizi walikuwa wakiishi katika nchi ile wakati huo.
Avram'ın çobanlarıyla Lut'un çobanları arasında kavga çıktı. –O günlerde Kenanlılar'la Perizliler de orada yaşıyorlardı.–
8 Kwa hiyo Abram akamwambia Lutu, “Pasiwe na ugomvi kati yako na mimi, na kati ya wachunga wanyama wako na wachunga wanyama wangu; licha ya hayo sisi ni familia.
Avram Lut'a, “Biz akrabayız” dedi, “Bu yüzden aramızda da çobanlarımız arasında da kavga çıkmasın.
9 Je nchi hii yote haiko mbele yako? Nenda na ujitenge na mi. Ikiwa utakwenda kushoto, mimi nitakwenda kulia. au ikiwa utakwenda kulia, mimi nitakwenda kushoto.”
Bütün topraklar senin önünde. Gel, ayrılalım. Sen sola gidersen, ben sağa gideceğim. Sen sağa gidersen, ben sola gideceğim.”
10 Kwa hiyo Lutu akatazama, na akaona kuwa nchi yote tambarare ya Yorodani ilikuwa na maji kila mahali hadi Zoari, kama vile bustani ya Yahwe, na kama nchi ya Misri. Hii ilikuwa ni kabla Yahwe hajaiangamiza Sodoma na Gomora.
Lut çevresine baktı. Şeria Ovası'nın tümü RAB'bin bahçesi gibi, Soar'a doğru giderken Mısır toprakları gibiydi. Her yerde bol su vardı. RAB Sodom ve Gomora kentlerini yok etmeden önce ova böyleydi.
11 Kwa hiyo Lutu akajichagulia yeye mwenyewe nchi tambarare ya Yorodani na akasafiri mashariki, na ndugu hawa wakatengana wao kwa wao.
Lut kendine Şeria Ovası'nın tümünü seçerek doğuya doğru göçtü. Birbirlerinden ayrıldılar.
12 Abram akaishi katika nchi ya Kanaani, na Lutu akaishi katika miji ya tambarare. Akatandaza hema zake hadi Sodoma.
Avram Kenan topraklarında kaldı. Lut ovadaki kentlerin arasına yerleşti, Sodom'a yakın bir yere çadır kurdu.
13 Na sasa watu wa Sodoma walikuwa waovu na wenye dhambi nyingi dhidi ya Yahwe.
Sodom halkı çok kötüydü. RAB'be karşı büyük günah işliyordu.
14 Yahwe akamwambia Abram baada ya Lutu kuondoka kwake, “Angalia kuanzia mahali ulipo simama hadi kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.
Lut Avram'dan ayrıldıktan sonra, RAB Avram'a, “Bulunduğun yerden kuzeye, güneye, doğuya, batıya dikkatle bak” dedi,
15 Nchi yote hii uionayo, nitakupatia wewe pamoja na uzao wako milele.
“Gördüğün bütün toprakları sonsuza dek sana ve soyuna vereceğim.
16 Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama mavumbi ya nchi, kiasi kwamba kama kuna mtu anaweza kuhesabu mavumbi ya nchi, ndipo na uzao wako pia utahesabika.
Soyunu toprağın tozu kadar çoğaltacağım. Öyle ki, biri çıkıp da toprağın tozunu sayabilirse, senin soyunu da sayabilecek.
17 Inuka, tembea katika urefu na upana wa nchi hii, kwa kuwa nitakupatia.”
Kalk, sana vereceğim toprakları boydan boya dolaş.”
18 Kwa hiyo Abram akachukua hema yake, akaja na kukaa katika mwaloni wa Mamre, ambao uko Hebroni, na pale akajenga Madhabahu ya Yahwe.
Avram çadırını söktü, gidip Hevron'daki Mamre meşeliğine yerleşti. Orada RAB'be bir sunak yaptı.

< Mwanzo 13 >