< Mwanzo 13 >

1 Kwa hiyo Abram akaondoka akatoka Misri na akaenda Negebu, Yeye, mke wake, na vyote alivyokuwa navyo. Lutu pia akaenda pamoja naye.
Tak więc Abram wyszedł z Egiptu, on i jego żona, i wszystko, co miał, i Lot z nim, [i udali się] ku południu.
2 Na sasa Abram alikuwa tajiri wa mifugo, fedha na dhahabu.
A Abram był bardzo bogaty w bydło, srebro i złoto.
3 Aliendelea na safari yake kutoka Negebu hadi Betheli, mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo, kati ya Betheli na mji wa Ai.
I szedł, robiąc postoje, od południa aż do Betel, do tego miejsca, gdzie poprzednio był jego namiot, między Betel a Aj;
4 Akaenda mahali ambapo madhabahu ilikuwa imejengwa mwanzoni. Hapa akaliitia jina la Yahwe.
Do miejsca, gdzie poprzednio zbudował ołtarz. Tam wezwał Abram imienia PANA.
5 aliyekuwa anasafiri na Abram, alikuwa pia na ngo'mbe, makundi ya mifugo, na mahema.
Lot, który szedł z Abramem, również miał owce, woły i namioty.
6 Nchi haikuwatosha wote kukaa pamoja karibu kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana, kiasi kwamba hawakuweza kukaa pamoja.
A ziemia ta nie [mogła] ich pomieścić, żeby mieszkali razem, bo ich majątek był tak wielki, że nie mogli mieszkać razem.
7 Pia, kulikuwa na ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abram na wachunga wanyama wa Lutu. Wakanaani pamoja na Waperizi walikuwa wakiishi katika nchi ile wakati huo.
I wynikła sprzeczka między pasterzami stad Abrama a pasterzami stad Lota. Kananejczycy i Peryzzyci mieszkali wówczas na tej ziemi.
8 Kwa hiyo Abram akamwambia Lutu, “Pasiwe na ugomvi kati yako na mimi, na kati ya wachunga wanyama wako na wachunga wanyama wangu; licha ya hayo sisi ni familia.
Abram powiedział więc do Lota: Proszę, niech nie będzie sporu między mną a tobą, także między moimi pasterzami a twoimi pasterzami, bo jesteśmy braćmi.
9 Je nchi hii yote haiko mbele yako? Nenda na ujitenge na mi. Ikiwa utakwenda kushoto, mimi nitakwenda kulia. au ikiwa utakwenda kulia, mimi nitakwenda kushoto.”
Czyż cała ziemia nie stoi przed tobą? Odłącz się, proszę, ode mnie. Jeśli [pójdziesz] w lewo, ja pójdę w prawo, a jeśli [ty pójdziesz] w prawo, ja pójdę w lewo.
10 Kwa hiyo Lutu akatazama, na akaona kuwa nchi yote tambarare ya Yorodani ilikuwa na maji kila mahali hadi Zoari, kama vile bustani ya Yahwe, na kama nchi ya Misri. Hii ilikuwa ni kabla Yahwe hajaiangamiza Sodoma na Gomora.
Wtedy Lot podniósł swe oczy i zobaczył, że cała równina nad Jordanem [była] dobrze nawodniona – zanim PAN zniszczył Sodomę i Gomorę – jak ogród PANA, jak ziemia Egiptu, aż do Zoar.
11 Kwa hiyo Lutu akajichagulia yeye mwenyewe nchi tambarare ya Yorodani na akasafiri mashariki, na ndugu hawa wakatengana wao kwa wao.
Lot wybrał więc sobie całą tę równinę nad Jordanem i udał się na wschód. I rozłączyli się bracia jeden od drugiego.
12 Abram akaishi katika nchi ya Kanaani, na Lutu akaishi katika miji ya tambarare. Akatandaza hema zake hadi Sodoma.
Abram mieszkał w ziemi Kanaan, a Lot mieszkał w miastach tej równiny i rozbił swój namiot aż do Sodomy.
13 Na sasa watu wa Sodoma walikuwa waovu na wenye dhambi nyingi dhidi ya Yahwe.
Ale mężczyźni Sodomy [byli] źli i wielkimi grzesznikami przed PANEM.
14 Yahwe akamwambia Abram baada ya Lutu kuondoka kwake, “Angalia kuanzia mahali ulipo simama hadi kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.
I PAN powiedział do Abrama, gdy Lot już odłączył się od niego: Podnieś teraz swe oczy i spójrz z miejsca, na którym [teraz] jesteś, na północ i na południe, na wschód i na zachód.
15 Nchi yote hii uionayo, nitakupatia wewe pamoja na uzao wako milele.
Bo całą ziemię, którą widzisz, dam tobie i twemu potomstwu na wieki.
16 Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama mavumbi ya nchi, kiasi kwamba kama kuna mtu anaweza kuhesabu mavumbi ya nchi, ndipo na uzao wako pia utahesabika.
I rozmnożę twoje potomstwo jak proch ziemi, [tak że] jeśli ktoś będzie mógł zliczyć proch ziemi, to również twoje potomstwo będzie policzone.
17 Inuka, tembea katika urefu na upana wa nchi hii, kwa kuwa nitakupatia.”
Wstań i przejdź tę ziemię wzdłuż i wszerz, bo dam ci ją.
18 Kwa hiyo Abram akachukua hema yake, akaja na kukaa katika mwaloni wa Mamre, ambao uko Hebroni, na pale akajenga Madhabahu ya Yahwe.
Abram zwinął więc namiot, przyszedł i mieszkał na równinach Mamre, które [są] w Hebronie, i tam zbudował ołtarz dla PANA.

< Mwanzo 13 >