< Mwanzo 11 >
1 Sasa nchi yote ilikuwa inatumia lugha moja na ilikua na usemi mmoja.
E era toda a terra de uma mesma língua, e de uma mesma fala.
2 Ikawa waliposafiri upande wa mashariki, wakaona eneo tambarare katika nchi ya Shinari na wakakaa pale.
E aconteceu que, partindo eles do Oriente, acharam um vale na terra de Shinar; e habitaram ali.
3 Wakasemezana, “Haya njoni, tufanye matofari na tuyachome kikamilifu.” Walikuwa na matofari badala ya mawe na lami kama chokaa.
E disseram uns aos outros: Eia, façamos tijolos, e queimê-mo-los bem. E foi-lhes o tijolo por pedra, e o betume por cal.
4 Wakasema, “njoni, na tujenge mji sisi wenyewe na mnara ambao kilele chake kitafika angani, na tujifanyie jina. Kama hatutafanya, basi tutatawanyika katika uso wa nchi yote.”
E disseram: Eia, edifiquemos nós uma cidade e uma torre cujo cume toque nos céus, e façamo-nos um nome, para que não sejamos espalhados sobre a face de toda a terra.
5 Kwa hiyo Yahwe akashuka kuona mji na mnara ambao wazao wa Ibrahimu walikuwa wamejenga.
Então desceu o Senhor para ver a cidade e a torre que os filhos dos homens edificavam;
6 Yahwe akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na lugha moja, na wameanza kufanya hivi! Hivikaribuni halitashindikana jambo watakalo kusudia kulifanya.
E disse. Eis que o povo é um, e todos tem uma mesma língua; e isto é o que começam a fazer: e agora, não haverá restrição para tudo o que eles intentarem fazer?
7 Njoni, tushuke na tuvuruge lugha yao pale, ili kwamba wasielewane.”
Eia, desçamos, e confundamos ali a sua língua, para que não entenda um a língua do outro.
8 Kwa hiyo Yahwe akawatawanya kutoka pale kwenda pande zote za uso wa nchi na wakaacha kujenga mji.
Assim o Senhor os espalhou dali sobre a face de toda a terra: e cessaram de edificar a cidade.
9 Kwa hiyo, jina lake ukaitwa Babeli, kwa sababu hapo Yahwe alivuruga lugha ya nchi yote na tangu pale Yahwe akawatawanya ng'ambo juu ya uso wa nchi yote.
Por isso se chamou o seu nome Babel, porquanto ali confundiu o Senhor a língua de toda a terra, e dali os espalhou o Senhor sobre a face de toda a terra.
10 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu. Shemu alikuwa na umri wa miaka mia moja, na akamzaa Alfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
Estas são as gerações de Sem: Sem era da idade de cem anos, e gerou a Arpachshad, dois anos depois do dilúvio.
11 Shemu akaishi miaka miatano baada ya kumzaa Alfaksadi. Pia akazaa wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Sem, depois que gerou a Arpachshad, quinhentos anos; e gerou filhos e filhas.
12 Wakati Alfaksadi alipokuwa ameishi miaka thelathini na mitano akamzaa Shela.
E viveu Arpachshad trinta e cinco anos, e gerou a Selah.
13 Alfaksadi aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Shela. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Arpachshad depois que gerou a Selah, quatrocentos e três anos; e gerou filhos e filhas.
14 Wakati Shela alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
E viveu Selah, trinta anos, e gerou a Eber:
15 Shela aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Eberi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Selah, depois que gerou a Eber, quatrocentos e três anos, e gerou filhos e filhas.
16 Wakati Eberi alipokuwa ameishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
E viveu Eber trinta e quatro anos e gerou a Peleg:
17 Eberi aliishi miaka 430 baada ya kumzaa Pelegi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Eber, depois que gerou a Peleg, quatrocentos e trinta anos, e gerou filhos e filhas.
18 Wakati Pelegi alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
E viveu Peleg trinta anos, e gerou a Rehu:
19 Pelegi aliishi miaka 209 baada ya kumza a Reu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Peleg, depois que gerou a Rehu, duzentos e nove anos, e gerou filhos e filhas.
20 Wakati Reu alipokuwa ameishi miaka thelathini na miwili, alimzaa Serugi.
E viveu Rehu, trinta e dois anos, e gerou a Serug:
21 Reu aliishi miaka207 baada ya kumzaa Seregu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Rehu, depois que gerou a Serug, duzentos e sete anos e gerou filhos e filhas.
22 Wakati Seregu alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
E viveu Serug trinta anos, e gerou a Nahor:
23 Seregu aliishi miaka mia mbili baada ya kumzaa Nahori. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Serug, depois que gerou a Nahor, duzentos anos, e gerou filhos e filhas.
24 Wakati Nahori alipokuwa ameishi miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.
E viveu Nahor vinte e nove anos, e gerou a Terah:
25 Nahori aliishi mika 119 baada ya kumzaa Tera. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
E viveu Nahor, depois que gerou a Terah, cento e dezenove anos, e gerou filhos e filhas.
26 Baada ya Tera kuishi miaka sabini, akamzaa Abram, Nahori, na Haran.
E viveu Terah, setenta anos, e gerou a Abrão, a Nahor, e a Haran.
27 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Tera. Tera alimzaa Abram, Nahori, na Harani, na Harani akamzaa Lutu.
E estas são as gerações de Terah: Terah gerou a Abrão, a Nahor, e a Haran: e Haran gerou a Lot
28 Harani akafa machoni pa baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, katika Ur wa Wakaldayo.
E morreu Haran estando seu pai Terah, ainda vivo, na terra do seu nascimento, em Ur dos caldeus.
29 Abram na Nahori wakajitwalia wake. Mke wa Abram aliitwa Sarai na mke wa Nahori aliitwa Milka, binti wa Harani, aliyekuwa baba wa Milka na Iska.
E tomaram Abrão e Nahor mulheres para si: o nome da mulher de Abrão era Sarai, e o nome da mulher de Nahor era Milcah, filha de Haran, pai de Milcah, e pai de Iscah.
30 Sasa Sarai alikuwa Tasa; hakuwa na mtoto.
E Sarai foi estéril, e não tinha filhos.
31 Tera akamtwaa Abram mwanawe, Lutu mwana wa mwanawe Harani, na Sarai mkwewe, mke wa mwanawe Abram, na kwa pamoja wakatoka Ur wa Wakaldayo, kwenda katika nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani wakakaa pale.
E tomou Terah a Abrão seu filho, e a Lot filho de Haran, filho de seu filho, e a Sarai sua nora, mulher de seu filho Abrão, e saiu com eles de Ur dos caldeus, para ir à terra de Canaan; e vieram até Haran, e habitaram ali
32 Tera akaishi miaka 205 kisha akafa hapao Harani.
E foram os dias de Terah duzentos e cinco anos: e morreu Terah em Haran.