< Mwanzo 10 >

1 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
Las siguientes son las genealogías de los hijos de Noé: Sem, Cam, y Jafet. Ellos tuvieron hijos después del diluvio.
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
Los hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Jabán, Tubal, Mésec y Tirás.
3 Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
Los hijos de Gomer: Asquenaz, Rifat, y Togarmá.
4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
Los hijos de Jabán: Elisá, Tarsis, Quitín, y Rodanín.
5 Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
Los descendientes de estos ancestros se esparcieron por las áreas costeras, cada grupo con su propio idioma, con sus familias que se convirtieron en diferentes naciones.
6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
Los hijos de Cam: Cus, Misrayin, Fut, y Canaán.
7 Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Los hijos de Cus: Seba, Javilá, Sabtá, Ragama y Sabteca. Los hijos de Ragama: Sabá y Dedán.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
Cus también fue el padre de Nimrod, quien se destacó como el primer tirano en la tierra.
9 Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
Fue un guerrero que desafió al Señor, y es la razón por la que existe el dicho: “Como Nimrod, un poderoso guerrero que desafió al Señor”.
10 Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
Su reino comenzó en las ciudades de Babel, Erec, Acad, y Calné, todas ellas ubicadas en la tierra de Sinar.
11 Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
De allí se mudó a Asiria y construyó las ciudades de Nínive, Rejobot Ir, Cala,
12 na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
y Resén, la cual queda entre Nínive y la gran ciudad de Cala.
13 Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
Misrayin fue el padre de los ludeos, los anameos, los leabitas, los naftuitas
14 Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
los patruseos, los caslujitas y los caftoritas (ancestros de los filisteos).
15 Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Canaán fue el padre de Sidòn, su primogénito, y de los hititas,
16 pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
de los jebuseos, de los amorreos, de los gergeseos,
17 Mhivi, Mwarki, Msini,
de los heveos, los araceos, los sineos,
18 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
los arvadeos, los zemareos y los jamatitas. Luego las tribus de Canaán se esparcieron
19 Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
y el territorio de los caananitas se extendió desde Sidón hasta Guerar y hasta Gaza, luego hacia Sodoma, Gomorra Admá, y Zeboyín, hasta Lasa.
20 Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
Estos fueron los hijos de Cam según sus tribus, idiomas, territorios y nación.
21 Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
Sem, cuyo hermano mayor era Jafet, también tuvo hijos. Sem fue el padre de todos los hijos de Eber.
22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud, y Harán.
23 Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Los hijos de Harán: Uz, Hul, Guéter, y Mas.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
Arfaxad fue el padre de Selaj. Y Selaj fue el padre de Éber.
25 Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
Éber tuvo dos hijos. Uno se llamó Peleg, porque en su tiempo se dividió la tierra; y el nombre de su hermano era Joctán.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joctán fue el padre de Almodad, Sélef, Jazar Mávet, Yerah,
27 Hadoram, Uzali, Dikla,
Hadorán, Uzal, Diclá,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Sabá,
29 Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Javilá y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joctán.
30 Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
Ellos vivieron en la región entre Mesá hasta Sefar, en la región montañosa oriental.
31 Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
Estos fueron los hijos de Sem, sus tribus, idiomas, territorios y naciones.
32 Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.
Todas estas fueron las tribus descendientes de los hijos de Noé, según su descendencia y naciones. A partir de estos ancestros se formaron las distintas naciones de la tierra que se expandieron en todo el mundo después del diluvio.

< Mwanzo 10 >