< Mwanzo 10 >
1 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
Сия же (суть) бытия сынов Ноевых, Сима, Хама, Иафефа. И родишася им сынове по потопе.
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
Сынове Иафефовы: Гамер и Магог, и Мадай и Иован, и Елиса и Фовел, и Мосох и Фирас.
3 Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
Сынове же Гамеровы: Асханас и Рифаф и Форгама.
4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
Сынове же Иовани: Елиса и Фарсис, Китийстии и Родийстии.
5 Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
От сих разделишася острови языков (всех) в земли их: кийждо по языку в племенех своих и в народех своих.
6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
Сынове же Хамовы: Хус и Месраин, Фуд и Ханаан.
7 Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Сынове Хусовы: Сава и Евила, и Савафа и Регма, и Савафака. Сынове же Регмановы: Сава и Дадан.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
Хус же роди Неврода: сей начат быти исполин на земли:
9 Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
сей бе исполин ловец пред Господем Богом: сего ради рекут: яко Неврод исполин ловец пред Господем.
10 Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
И бысть начало царства его Вавилон и Орех, и Архад и Халанни на земли Сеннаар.
11 Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
От земли тоя изыде Ассур: и созда Ниневию, и Роовоф град, и Халах.
12 na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
И Дасем между Ниневиею и между Халахом: сей есть град великий.
13 Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
Месраин же роди Лудиима и Неффалима, и Енеметиима и Лавиима,
14 Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
и Патросониима и Хасмониима, отнюдуже изыде Филистиим, и Гаффориима.
15 Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Ханаан же роди Сидона первенца (своего) и Хеттеа,
16 pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
и Иевусеа и Аморреа, и Гергесеа
и Евеа, и Арукеа и Асеннеа,
18 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
и Арадиа и Самареа, и Амафию. И посем разсеяшася племена Хананейская:
19 Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
и быша пределы Хананейстии от Сидона даже приити до Герара и Газы, идуще даже до Содома и Гоморры, до Адамы и Севоима, даже до Даса.
20 Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
Сии сынове Хамовы в племенех своих, по языком своим, в странах своих и в народех своих.
21 Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
И Симу родися и тому, отцу всех сынов Еверовых, брату Иафефа старейшаго.
22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
Сынове Симовы: Елам и Ассур, и Арфаксад и Луд, и Арам и Каинан.
23 Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
И сынове Арамли: Ос и Ул, и Гатер и Мосох.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
И Арфаксад роди Каинана, Каинан же роди Салу, Сала же роди Евера.
25 Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
И родистася Еверу два сына: имя единому Фалек: во дни бо его разделися земля: и имя брату его Иектан.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Иектан же роди Елмодада и Салефа, и Сармофа и Иараха,
27 Hadoram, Uzali, Dikla,
и Одорра и Евила и Декла,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
и Евала и Авимаила и Совева,
29 Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
и Уфира и Евила и Иовава: вси сии сынове Иектановы.
30 Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
И бысть селение их от Маси даже приити до Сафира, горы восточныя.
31 Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
Сии сынове Симовы, в племенех своих, по языком их, в странах их и в народех их.
32 Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.
Сия племена сынов Ноевых по родом их, по языком их: от сих разсеяшася острови языков на земли по потопе.