< Mwanzo 10 >

1 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
Dies ist das Geschlecht der Kinder Noahs: Sem, Ham, Japheth. Und sie zeugeten Kinder nach der Sintflut.
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
Die Kinder Japheths sind diese: Gomer, Magog, Madai, Javan, Thubal, Mesech und Thiras.
3 Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
Aber die Kinder von Gomer sind diese: Askenas, Riphath und Thogarma.
4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
Die Kinder von Javan sind diese: Elisa, Tharsis, Kittim und Dodanim.
5 Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
Von diesen sind ausgebreitet die Inseln der Heiden in ihren Ländern, jegliche nach ihrer Sprache, Geschlecht und Leuten.
6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
Die Kinder von Ham sind diese: Chus, Mizraim, Put und Kanaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Aber die Kinder von Chus sind diese. Seba, Hevila, Sabtha, Raema und Sabtecha. Aber die Kinder von Raema sind diese: Scheba und Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
Chus aber zeugete den Nimrod. Der fing an ein gewaltiger HERR zu sein auf Erden,
9 Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
und war ein gewaltiger Jäger vor dem HERRN. Daher spricht man: Das ist ein gewaltiger Jäger vor dem HERRN, wie Nimrod.
10 Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
Und der Anfang seines Reichs war Babel, Erech, Ackad und Kalne im Lande Sinear.
11 Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
Von dem Land ist danach kommen der Assur und bauete Ninive und Rehoboth-Ir und Kalah,
12 na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
dazu Resen zwischen Ninive und Kalah. Dies ist eine große Stadt.
13 Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
Mizraim zeugete Ludim, Anamim, Leabim, Naphthuhim,
14 Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
Pathrusim und Kasluhim. Von dannen sind kommen die Philistim und Kaphthorim.
15 Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Kanaan aber zeugete Zidon, seinen ersten Sohn, und Heth,
16 pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
Jebusi, Emori, Girgasi,
17 Mhivi, Mwarki, Msini,
Hivi, Arki, Sini,
18 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
Arvadi, Zemari und Hamathi. Daher sind ausgebreitet die Geschlechter der Kanaaniter.
19 Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
Und ihre Grenzen waren von Zidon an durch Gerar bis gen Gasa, bis man kommt gen Sodoma, Gomorrha, Adama, Zeboim und bis gen Lasa.
20 Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
Das sind die Kinder Hams in ihren Geschlechtern, Sprachen, Ländern und Leuten.
21 Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
Sem aber, Japheths, des größern, Bruder, zeugete auch Kinder, der ein Vater ist aller Kinder von Eber.
22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
Und dies sind seine Kinder: Elam, Assur, Arphachsad, Lud und Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Die Kinder aber von Aram sind diese: Uz, Hut, Gether und Mas.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
Arphachsad aber zeugete Salah, Salah zeugete Eber.
25 Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
Eber zeugete zween Söhne. Einer hieß Peleg, darum daß zu seiner Zeit die Welt zerteilet ward; des Bruder hieß Jaketan.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Und Jaketan zeugete Almodad, Saleph, Hazarmaveth, Jarah,
27 Hadoram, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikela,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Seba,
29 Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Hevila und Jobab. Das sind alle Kinder von Jaketan.
30 Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
Und ihre Wohnung war von Mesa an, bis man kommt gen Sephar, an den Berg gegen den Morgen.
31 Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
Das sind die Kinder von Sem in ihren Geschlechtern, Sprachen, Ländern und Leuten.
32 Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.
Das sind nun die Nachkommen der Kinder Noahs in ihren Geschlechtern und Leuten. Von denen sind ausgebreitet die Leute auf Erden nach der Sintflut.

< Mwanzo 10 >