< Wagalatia 1 >
1 Mimi ni Paulo mtume. Mimi sio mtume kutoka kwa wanadamu wala kupitia kwa mwanadamu, lakini kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu.
Bratři, přijměte ode mne i od všech, kteří jsou zde se mnou, přání Božího pokoje a milosti.
2 Pamoja na ndugu wote na mimi, ninayaandikia makanisa ya Galatia.
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo,
4 aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn )
Věčná chvála buď Bohu i Kristu Ježíši, (aiōn )
5 Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn )
který podle Boží vůle za nás obětoval svůj život a tak nás zachránil z moci zla, které ovládá tento svět. (aiōn )
6 Ninashangaa kwamba mnageukia haraka kwenye injili nyingine. Ninashangaa kwamba mnageukia mbali kutoka kwake yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo.
Jsem překvapen, bratři, jak rychle jste se nechali svést k následování falešného evangelia.
7 Hakuna injili nyingine, lakini kuna baadhi ya watu wanao wasababishieni nyinyi matatizo na kutaka kubadilisha injili ya Kristo.
Pamatujte si, že není jiná cesta k věčnému životu než ta, kterou nám otevřel Kristus. Nedejte se mýlit těmi, kdo se snaží jeho učení – jak jsme vám ho kázali – všelijak překrucovat. Kdo to činí, ať je na věky zavržen.
8 Lakini hata kama ni sisi au malaika kutoka mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
Znovu opakuji: I kdyby někdo z nás – nebo dokonce anděl z nebe – hlásal něco jiného, než jsme vás učili my, ať je na věky zavržen.
9 Kama tulivyo sema mwanzoni, na sasa nasema tena, “Kama kuna mtu atawatangazia kwenu injili tofauti na mliyoipokea, na alaaniwe.”
10 Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo.
Vidíte, že nezačínám žádnými lichotkami. Nechci se totiž za každou cenu líbit lidem. Jestliže se chci opravdu někomu líbit, pak jedině Bohu; jinak bych nebyl Kristův služebník.
11 Ndugu, ninataka ninyi mjue kwamba injili niliyoitangaza haitokani na wanadamu.
Ujišťuji vás, bratři, že to, co jsem vám hlásal, není lidský výmysl.
12 Sikuipokea kutoka kwa mtu, wala sikufundishwa. Badala yake, ilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu.
To poselství mi nesvěřil nikdo jiný než sám Ježíš Kristus. Jsou to jeho vlastní slova a nemám je z druhé ruky.
13 Mmekwisha sikia juu ya maisha yangu ya nyuma katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyokuwa nikilitesa kwa ukali kanisa la Mungu zaidi ya kipimo na kuliteketeza.
Vy přece víte, čeho jsem se dopouštěl ještě jako žid – jak jsem křesťany pronásledoval a snažil se je vyhubit.
14 Nilikuwa nimeendelea katika Dini ya Kiyahudi zaidi ya ndugu zangu wengi Wayahudi. Nilikuwa na bidii sana katika tamaduni za baba zangu.
V té době snad nebylo mezi mými vrstevníky horlivějšího a pravověrnějšího žida nade mne. Nikdo jiný nehořel pro tradice mého národa tak fanaticky jako já.
15 Lakini Mungu alipendezwa kunichagua mimi kutoka tumboni mwa mama. Aliniita mimi kupitia neema yake
Ale pak to přišlo! Bůh mi odhalil pravdu o svém Synu a uložil mi šířit jeho poselství po celém světě. K této službě mne ve své dobrotě vybral již dávno před mým narozením.
16 kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili kwamba nimtangaze yeye miongoni mwa watu wa mataifa. Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
17 na sikupanda kwenda Yerusalem kwa wale waliokuwa mitume kabla yangu. Badala yake nilienda Uarabuni na baadae kurudi Damesiki.
Když se to stalo, nevyptával jsem se na Krista jiných lidí, ani jsem se nešel radit s jeruzalémskými apoštoly. Odešel jsem do Arábie, vrátil se zase do Damašku
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kumtembelea Kefa, nikakaa naye kwa siku kumi na tano.
a teprve po třech letech jsem se vypravil do Jeruzaléma, abych se osobně seznámil s Petrem. Pobyl jsem u něho dva týdny,
19 Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndungu yake na Bwana.
ale kromě Jakuba, Ježíšova bratra, jsem se s dalšími apoštoly nesetkal.
20 Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu.
Tak to skutečně bylo, Bůh je mi svědek, že nelžu.
21 Kisha nilikwenda mikoa ya Shamu na Kilikia.
Pak jsem se vydal do Sýrie a Kilikie,
22 Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,
zatímco v Judsku mě křesťané stále ještě neznali.
23 lakini walikuwa wakisikia tu, “Yeye aliyekuwa akitutesa sasa anatangaza imani aliyokuwa akiiharibu.”
Věděli jen, že dřívější nepřítel hlásá nyní to, co sám předtím tak krutě potíral,
24 Walikuwa wakimtukuza Mungu kwa ajili yangu.
a chválili za to Boha.