< Wagalatia 5 >

1 Ni kwa sababu Kristo alitupa uhuru ili tuwe huru. Hivyo, simameni imara wala msinaswe tena katika kongwa la utumwa.
Mantenha-se firme, portanto, na liberdade pela qual Cristo nos libertou, e não se enredar novamente com um jugo de escravidão.
2 Tazama, Mimi Paulo, ninawaambia kwamba ikiwa mtatahiriwa, Kristo hatawafaidia kwa njia yoyote ile.
Eis que eu, Paulo, lhe digo que, se você receber a circuncisão, Cristo nada lhe aproveitará.
3 Tena, namshuhudia kila mwanaume aliyetahiriwa kwamba anapaswa kuwajibika kwa sheria yote.
Sim, eu testemunho novamente a todo homem que recebe a circuncisão que ele é um devedor para fazer toda a lei.
4 Mmetengwa mbali na Kristo, wale wote “mnaohesabiwa haki” kwa sheria. Mmeanguka mbali na neema.
Você está alienado de Cristo, você que deseja ser justificado pela lei. Você se afastou da graça.
5 Maana kwa njia ya Roho, kwa imani tunasubiri ujasiri wa haki.
Pois nós, pelo Espírito, pela fé, esperamos a esperança da justiça.
6 Katika Kristo Yesu kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuna maana yoyote. Ni imani pekee inayofanya kazi kupitia upendo ndiyo humaanisha kitu.
Pois em Cristo Jesus nem a circuncisão nem a incircuncisão equivalem a nada, mas a fé trabalhando através do amor.
7 Mlikuwa mnapiga mbio vizuri. Nani aliwazuia kutokuitii kweli?
Você estava correndo bem! Quem interferiu com você para que não obedecesse à verdade?
8 Ushawishi wa kufanya hivyo hautoki kwake yeye anayewaita ninyi.
Esta persuasão não vem daquele que o chama.
9 Chachu kidogo huathiri donge zima.
A o pequeno fermento cresce através de todo o caroço.
10 Nina matumaini na ninyi katika Bwana kwamba hamtafikiri kwa njia nyingine yoyote. Yeyote yule atakayewapotosha atabeba hukumu yake yeye mwenyewe, yeyote yule.
Tenho confiança para convosco no Senhor que não pensareis de outra forma. Mas aquele que vos perturba suportará seu julgamento, seja ele quem for.
11 Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwanini bado ninateswa? Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa.
Mas eu, irmãos, se eu ainda prego a circuncisão, por que ainda sou perseguido? Então a pedra de tropeço da cruz foi removida.
12 Ni matakwa yangu kuwa wale wanaowaongoza vibaya watajihasi wenyewe.
Desejo que aqueles que os perturbam se cortem.
13 Mungu amewaiteni ninyi, ndugu, kwenye uhuru. Ila msiutumie uhuru wenu kama fursa kwa mwili. Badala yake kwa upendo mhudumiane ninyi kwa ninyi.
Para vocês, irmãos, foram chamados para a liberdade. Apenas não usem sua liberdade como uma oportunidade para a carne, mas através do amor sejam servos uns dos outros.
14 Kwa kuwa sheria yote imekamilika katika amri moja; nayo ni “Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”
Pois toda a lei é cumprida em uma só palavra, nisto: “Amarás o teu próximo como a ti mesmo”.
15 Lakini kama mkiumana na kulana, jiangalieni kwamba msijiharibu ninyi kwa ninyi.
Mas se vocês morderem e se devorarem uns aos outros, tenham cuidado para não se consumirem uns aos outros.
16 Nasema, tembeeni kwa roho, na wala hamtazitimiza tamaa za mwili.
Mas eu digo, caminhem pelo Espírito, e não cumprirão a luxúria da carne.
17 Kwa kuwa mwili una tamaa kubwa dhidi ya Roho, na Roho ina tamaa kubwa dhidi ya mwili. Hizi zinapingana kila moja na nyingine. Matokeo ni kwamba hamfanyi vitu mnavyotamani kuvifanya.
Pois a luxúria da carne é contra o Espírito, e o Espírito contra a carne; e estas são contrárias umas às outras, para que não façais as coisas que desejais.
18 Lakini kama Roho anawaongoza ninyi, hamko chini ya sheria.
Mas se você é guiado pelo Espírito, você não está sob a lei.
19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi,
Agora os atos da carne são óbvios, que são: adultério, imoralidade sexual, imundícia, luxúria,
20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko wa madhehebu,
idolatria, feitiçaria, ódio, contendas, ciúmes, explosões de raiva, rivalidades, divisões, heresias,
21 wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu.
inveja, assassinatos, embriaguez, orgias, e coisas assim; das quais eu vos previno, como também vos preveni, que aqueles que praticam tais coisas não herdarão o Reino de Deus.
22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, ukarimu, utu wema, imani,
Mas o fruto do Espírito é amor, alegria, paz, paciência, bondade, bondade, fé,
23 upole, na kiasi. Hakuna sheria dhidi ya mambo kama hayo.
gentileza e autocontrole. Contra tais coisas não há lei.
24 Wale walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na shauku na tamaa zao mbaya.
Aqueles que pertencem a Cristo crucificaram a carne com suas paixões e luxúrias.
25 Kama tukiishi kwa Roho, pia tutembee kwa Roho.
Se vivemos pelo Espírito, vamos também caminhar pelo Espírito.
26 Tusiwe wa kujivuna, tusichokozane kila mmoja na mwenzake, wala tusioneane wivu.
Let não se tornam convencidos, provocando-se uns aos outros e invejando-se mutuamente.

< Wagalatia 5 >