< Wagalatia 5 >
1 Ni kwa sababu Kristo alitupa uhuru ili tuwe huru. Hivyo, simameni imara wala msinaswe tena katika kongwa la utumwa.
Ni kwa ndabha Kristu alupelili uhuru ili tuyelai huru. Naaa, mmyemai ngangali msinasi kabhele mulikolongo la bhatumwa.
2 Tazama, Mimi Paulo, ninawaambia kwamba ikiwa mtatahiriwa, Kristo hatawafaidia kwa njia yoyote ile.
mlangaa, nene Paulo, nikabhajobhela yakuwa ikayela mlatailibhwa, Kristu ilafaidia lepi kwanjela yioayela.
3 Tena, namshuhudia kila mwanaume aliyetahiriwa kwamba anapaswa kuwajibika kwa sheria yote.
Kabhele, nikan'shuhudila kila n'gosi yaatahilibhu kuwa ipasibhwa kuwajibika kisheria iyoa.
4 Mmetengwa mbali na Kristo, wale wote “mnaohesabiwa haki” kwa sheria. Mmeanguka mbali na neema.
Mtengibhu patali ni Kristu, bhala bhoa.”Bhabhiye sabibhwa haki.” kwa sheria. mbinili patali ni neema.
5 Maana kwa njia ya Roho, kwa imani tunasubiri ujasiri wa haki.
Maana kwa njela ya kiroho, mu imani tilendela ukifu wa haki.
6 Katika Kristo Yesu kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuna maana yoyote. Ni imani pekee inayofanya kazi kupitia upendo ndiyo humaanisha kitu.
Kup'etela Kristu kutailibhwa au kubeekutailibhwa iyelepi Mana iyoayela. Ndo imani iyene yayifuanya mbhombho kup'etela upendo ndo yimaanisya khenu.
7 Mlikuwa mnapiga mbio vizuri. Nani aliwazuia kutokuitii kweli?
Mwayele kutobha mbio kinofu. nya yaabhazuili kubhutii bhukueli?
8 Ushawishi wa kufanya hivyo hautoki kwake yeye anayewaita ninyi.
Ushawishi wa kuketa naa wihomee kwa muene ya akabhakuta muenga.
9 Chachu kidogo huathiri donge zima.
Chachu idusu yihasili lidongi lisima.
10 Nina matumaini na ninyi katika Bwana kwamba hamtafikiri kwa njia nyingine yoyote. Yeyote yule atakayewapotosha atabeba hukumu yake yeye mwenyewe, yeyote yule.
Niyele ni matumaini ni muenga kup'etela Bwana yandabha mlafikili lepi tofauti ni njela yhenge yioayela. Yuoayola yaakabhaposhai alapaenda hukumu ya yumuene, yuoa yhola.
11 Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwanini bado ninateswa? Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa.
Ndongho, Katya mwiyendelela kutangasya tohara, kwanda yakiki bado nitesibhwa? kwa lilobhi ele kela kaki yele kizuizi Kya n'salaba kibhuesya kuhalibibhwa.
12 Ni matakwa yangu kuwa wale wanaowaongoza vibaya watajihasi wenyewe.
Ndo matakwa gha nene kwa bhala bhabhikabhalongosya kinofu lepi bhalaji hasi bhabhene.
13 Mungu amewaiteni ninyi, ndugu, kwenye uhuru. Ila msiutumie uhuru wenu kama fursa kwa mwili. Badala yake kwa upendo mhudumiane ninyi kwa ninyi.
14 Kwa kuwa sheria yote imekamilika katika amri moja; nayo ni “Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”
15 Lakini kama mkiumana na kulana, jiangalieni kwamba msijiharibu ninyi kwa ninyi.
16 Nasema, tembeeni kwa roho, na wala hamtazitimiza tamaa za mwili.
Nijobha, mgendai kiroho, mlasitisya lepi tamaa sa kimbhele.
17 Kwa kuwa mwili una tamaa kubwa dhidi ya Roho, na Roho ina tamaa kubwa dhidi ya mwili. Hizi zinapingana kila moja na nyingine. Matokeo ni kwamba hamfanyi vitu mnavyotamani kuvifanya.
Kwa ndabha mbhele uye ni tamaa kusidi kiroho. Ni Roho iyele ni tamaa ibhaa kuzidi mbhele, e'se sipenga na kila mmonga ni yhenge. Matokeo kuwa mwiketa lepi fhenu ya filondeka kuketa.
18 Lakini kama Roho anawaongoza ninyi, hamko chini ya sheria.
Katya Roho kabhalongosya muenga, muyeehe pasi pa sheria.
19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi,
Henu ndo matendo gha mumbhele ndo ghabhonekana. Naghu do uasherati, uchafu, ni ufisadi,
20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko wa madhehebu,
ibada ya lisanamu, uhabhi, uadui, ugomvi, husuda, kuya ni ligoga, kushindana, faraka, kugawanyika kimazehebu,
21 wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Bhuifu, ulefi, ulafii ndo mambo ghamana ndo kama agha. nikabhaonya muenga, katya kana malili kubhaonya kamuandi ya kuwa bhala bhabhiketai mambo katya agha bhalalisi lepi ufalume wa K'yara.
22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, ukarimu, utu wema, imani,
Ndabha litunda la Roho ndoupendo, furaha, amani, kuvumilila, ukalimu, utu bhuema, imani,
23 upole, na kiasi. Hakuna sheria dhidi ya mambo kama hayo.
Upole, na kiasi. Iyele sheria kup'etela mambo katya agha.
24 Wale walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na shauku na tamaa zao mbaya.
Bhala bhabhayele bha Kristu Yesu bha usulubishi mbhele pamonga Ni shauku ya tamaa sibaya.
25 Kama tukiishi kwa Roho, pia tutembee kwa Roho.
tya katulaishi kwa Roho, kabhele tugendai kiroho.
26 Tusiwe wa kujivuna, tusichokozane kila mmoja na mwenzake, wala tusioneane wivu.
Tukotokuya bhakujibhona, tusikolofishani kwa kila mmonga ni njinu, Wala tusibhoneniani Bhuifu.