< Wagalatia 5 >
1 Ni kwa sababu Kristo alitupa uhuru ili tuwe huru. Hivyo, simameni imara wala msinaswe tena katika kongwa la utumwa.
Nakima sun tuma hi Almasihu a nota sun tu mbu kika lunde kri gbangba ndina lah k'ma hi tie gran na.
2 Tazama, Mimi Paulo, ninawaambia kwamba ikiwa mtatahiriwa, Kristo hatawafaidia kwa njia yoyote ile.
Toh mba, ime Bulus misi hla ni yiwu inde ba yo nji ni yiwu, Almasihu na he ni amfani ni yiwu na ko ni nkon ri.
3 Tena, namshuhudia kila mwanaume aliyetahiriwa kwamba anapaswa kuwajibika kwa sheria yote.
Nakima mi toh du indji wa ba you nji ni yu ahi dole ka hu tre tron wawu'u.
4 Mmetengwa mbali na Kristo, wale wote “mnaohesabiwa haki” kwa sheria. Mmeanguka mbali na neema.
Bi ka Almasihu don wawu mbi wa ba chu yi rju ni gran nitu tron, bi joku ni ndindi.
5 Maana kwa njia ya Roho, kwa imani tunasubiri ujasiri wa haki.
Nakima ni Ibrji Tsatsarka nimi njanji ki si gben ni suron mbu ni njanji.
6 Katika Kristo Yesu kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuna maana yoyote. Ni imani pekee inayofanya kazi kupitia upendo ndiyo humaanisha kitu.
Nimi Almasihu you gjin ko yo gji na he ana nitu koh. Njanji ni kangrji ma u ti ndu ni son, wawu i azan muhimmanci.
7 Mlikuwa mnapiga mbio vizuri. Nani aliwazuia kutokuitii kweli?
Ni sen bana kru yi zi, ahi nha zu yi bubu hu najnji?
8 Ushawishi wa kufanya hivyo hautoki kwake yeye anayewaita ninyi.
Rijayi wa adu niti nayi, ana wa ba you yi na.
9 Chachu kidogo huathiri donge zima.
Ai vi yisti fime ani du gbugbu mumu san.
10 Nina matumaini na ninyi katika Bwana kwamba hamtafikiri kwa njia nyingine yoyote. Yeyote yule atakayewapotosha atabeba hukumu yake yeye mwenyewe, yeyote yule.
Mi he ni wa i ni se kpa hle niyi ni mi Bachi bina ri mre inkon ri nkan na wa a du yi kma ani ti yah, ko ahi nha.
11 Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwanini bado ninateswa? Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa.
Mri ya inde hra zizan, bla tre you gji mi si bla, ingyen sa basi ti me yah? Inde naki ki kbu zah ni tita ngame ni giciye ka zie.
12 Ni matakwa yangu kuwa wale wanaowaongoza vibaya watajihasi wenyewe.
Mi yi fata biwa ba gyuru yi, ba kma tumbi ti na bana lilon na.
13 Mungu amewaiteni ninyi, ndugu, kwenye uhuru. Ila msiutumie uhuru wenu kama fursa kwa mwili. Badala yake kwa upendo mhudumiane ninyi kwa ninyi.
Mri ya don Irji you yi rju nimi gran. Bika na du rju nimi gran du kma hi ni kpa. Nakima ni mi son ki ka zo kpa mbu.
14 Kwa kuwa sheria yote imekamilika katika amri moja; nayo ni “Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”
Nakima itron wawu'u du shu ni mi doka riri. Wu ka son indji u kutra kahlan me na tu me.
15 Lakini kama mkiumana na kulana, jiangalieni kwamba msijiharibu ninyi kwa ninyi.
Inde bi tan kpambi ni mre kpambi, bi ka toh ndi na wuu kpambi na.
16 Nasema, tembeeni kwa roho, na wala hamtazitimiza tamaa za mwili.
Mi tre du yi zren nimi Ruhu ndindima bina shu kpambi ni son u kpa na.
17 Kwa kuwa mwili una tamaa kubwa dhidi ya Roho, na Roho ina tamaa kubwa dhidi ya mwili. Hizi zinapingana kila moja na nyingine. Matokeo ni kwamba hamfanyi vitu mnavyotamani kuvifanya.
Naki ikpa ani you shishi u gbengblen ni Ruhu ndindi, Ruhu ndindi me ani yo shishi ni kpa. Naki ma bina ya tie kpe wa bi son na.
18 Lakini kama Roho anawaongoza ninyi, hamko chini ya sheria.
Inde Ruhu ndindi si zren ni yi, bina he ni mi tron na.
19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi,
Zizan'a indu u kpa ahe ni rira me, baba i ba tie fah, tsatsar na he ni bana son kpa,
20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko wa madhehebu,
bi hu ibrji, bi tron, bi wa nyu, sen nyu, bi tie hwyu, bi tie nfu, bi rinra, biwa bana son si ni mri vayi mba na, bi ga kpamba,
21 wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu.
bi tie ngu, bi hwa, ba hwa nda tsi, ni mbru kpi bi yi. Mi tre ni yiwu na mina tre ni yiwu ni sen, bi wa basi tie kpi biyi bana ri ni koh Irji na.
22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, ukarimu, utu wema, imani,
Naki mri Ruhu ndindi ahi son, kinklan suron, son si, vu suron, tie ndindi, suron ndindi ni njanji,
23 upole, na kiasi. Hakuna sheria dhidi ya mambo kama hayo.
katu grji, vutu, itron na he ni mi kpi bi yi na.
24 Wale walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na shauku na tamaa zao mbaya.
Biwa ba u Almasihu Yesu ba klo halin kpa ni titan kpi bi meme yah.
25 Kama tukiishi kwa Roho, pia tutembee kwa Roho.
Inde ki sun nimi Ruhu ndindi ki ka zren nimi Ruhu ndindi.
26 Tusiwe wa kujivuna, tusichokozane kila mmoja na mwenzake, wala tusioneane wivu.
Kina he na biwa ba nzutu mba na, ko kina ta w nyu ni kpa mbu na, kina ta tie hwyu ni kpa mbu na.