< Wagalatia 3 >
1 Wagalatia wajinga, ni jicho gani ovu lililowaharibu? Je Yesu Kristo hakuoneshwa kama msulubiwa mbele ya macho yenu?
Nyenye Vagalatia vayimu! Ndi yani mweavahavili? Malovi ga kuvambiwa Yesu Kilisitu gajoviwi hotohoto palongolo yinu.
2 Mimi nataka tu kufahamu hili kutoka kwenu. Je mlimpokea Roho kwa matendo ya sheria au kwa kuamini kile mlichosikia?
Nigana kumanya chindu chimonga kuhuma kwa nyenye, wu, mwapokili Mpungu wa Chapanga ndava ya kuyidakila malagizu amala ndava ya kuyuwana kusadika Lilovi la Bwina?
3 Je, ninyi ni wajinga kiasi hiki? Je mlianza katika Roho ili mmalize katika mwili?
Uyimu winu uvi wuli? Nyenye mwatumbwili goha kwa utangatila wa Mpungu wa Chapanga, wuli hinu mwigana kumalakisa kwa makakala ginu mwavene?
4 Je mliteseka kwa mambo mengi bure, kama kweli yalikuwa ya bure?
Wu, mambu goha gegavakolili nyenye gawaka? Nakuhotoleka!
5 Je yeye atoaye Roho kwenu na kutenda matendo ya nguvu kati yenu hufanya kwa matendo ya sheria au kwa kusikia pamoja na imani?
Wu, Chapanga avapelili Mpungu waki na kukita chinamtiti pagati yinu ndava mwilanda malagizu, amala ndava mwiyuwana Lilovi la Bwina na kusadika?
6 Abraham “Alimwamini Mungu akahesabiwa kuwa mwenye haki”.
Mlola luhumu lwa Ibulahimu ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, mwene amsadiki Chapanga, ndi mwene awonikini mbwina palongolo ya Chapanga.
7 Kwa namna ile ile eleweni kwamba, wale ambao wanaamini ni watoto wa Abrahamu.
Hinu mumanya kuvya vala vevakumsadika Chapanga ndi chakaka vana va Ibulahimu.
8 Andiko lilitabiri kwamba Mungu angewahesabia haki watu wa mataifa kwa njia ya imani. Injili ilihubiriwa kwanza kwa Abrahamu: “katika wewe mataifa yote yatabarikiwa”.
Mayandiku Gamsopi gijova kuhuma kadeni kuvya Chapanga yati akuvavalangila vandu vangali Vayawudi kuvya vabwina palongolo yaki mu njila ya sadika. Ndava Chapanga amkokosili hoti Lilovi la Bwina Ibulahimu, “Vandu va milima yoha yati vimotisiwa ndava ya veve.”
9 Ili baadaye wale ambao wana imani wabarikiwe pamoja na Abrahamu, ambaye alikuwa na imani.
Hinu, vala vevisadika yati vimotisiwa pamonga na Ibulahimu mweisadika.
10 Wale ambao wanategemea matendo ya sheria wako chini ya laana. Kwa kuwa imeandikwa, “Amelaaniwa kila mtu ambaye hashikamani na mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sheria, kuyatenda yote.”
Ndava muni vandu voha vevihuvalila kuyidakila gegiganikiwa na malagizu, vavi mulikoto muni Mayandiku Gamsopi gijova, “Yoyoha mwangakamula goha gegayandikwi muchitabu cha malagizu ndi avili mulikoto.”
11 Sasa ni wazi kwamba Mungu hamhesabii haki hata mmoja kwa sheria, kwa kuwa “Mwenye haki ataishi kwa imani”.
Ndi hotohoto kuvya kawaka mundu mweivalangiwa kulolekana mbwina palongolo kwa malagizu, ndava muni mweilolekana mbwina palongolo ya Chapanga yati itama kwa sadika.
12 Sheria haitokani na imani, lakini badala yake “Ambaye hufanya mambo haya katika sheria, ataishi kwa sheria.”
Nambu malagizu yihumila lepi kusadika, nambu Mayandiku Gamsopi gijova, “Mweiyidakila gegiganikiwa mu Malagizu yati itama.”
13 Kristo alitukomboa sisi kutoka katika laana ya sheria wakati alipofanyika laana kwa ajili yetu. Kwa kuwa imeandikwa, “Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti.”
Kilisitu atigombwili tete kuhuma mulikoto la malagizu, mukujitolela likoto ndava yitu, muni Mayandiku Gamsopi gijova, “Mundu yeyoha mweavambiwi pamkongo ana likoto.”
14 Lengo lilikuwa kwamba, baraka ambazo zilikuwa kwa Ibrahimu zingekuja kwa watu wa mataifa katika Kristo Yesu, ili kwamba tuweze kupokea ahadi ya Roho kupitia imani.
Lijambu lenili lahengiki muni mota yeapewili Ibulahimu yivahikila vandu vangali Vayawudi mu njila ya Kilisitu Yesu, muni musadika timpokela Mpungu Msopi mweatilagazili Chapanga.
15 Ndugu, ninazungumza kwa namna ya kibinadamu. Hata wakati ambapo agano la kibinadamu limekwisha kuwekwa imara, hakuna awezaye kupuuza au kuongezea.
Valongo vangu, yati nikuvapela luhumu lwa wumi witu wa magono goha, vandu vavili vakakita lilaganu kwa kulapa, kawaka mundu kudenya amala kuyonjokesa chindu mu lilaganu lenilo.
16 Sasa ahadi zilisemwa kwa Ibrahim na kwa kizazi chake. Haisemi, “kwa vizazi,” kumaanisha wengi, bali badala yake kwa mmoja pekee, “kwa kizazi chako,” ambaye ni Kristo.
Hinu, Ibulahimu alagaziwi na Chapanga, mwene pamonga na “Vachiveleku vaki mayandiku gijova lepi, na chiveleku chaki,” Yani ndi mmonga ndi Kilisitu.
17 Sasa nasema hivi, sheria ambayo ilikuja miaka 430 baadaye, haiondoi agano la nyuma lililowekwa na Mungu.
Chenichi ndi chenijova, Chapanga avikili lilaganu laki na Ibulahimu. Payapitili malagizu miyaka miya mcheche na selasini ndi malagizu peyaletiwi. Malagizu genago nakuhotola kulidenya amala kuhungula lilagizu la Chapanga.
18 Kwa kuwa kama urithi ungelikuja kwa njia ya sheria, usingekuwa tena umekuja kwa njia ya ahadi. Lakini Mungu aliutoa bure kwa Ibrahimu kwa njia ya ahadi.
Ngati njombi yeniyi ya Chapanga ngayihuvalili uyidakila wa Malagizu, hinu njombi yeniyo ngayihuvalili lepi lilaganu la Chapanga. Nambu Chapanga kwa ubwina waki ampelili Ibulahimu njombi yeniyi ndava ya lilaganu leampeli Ibulahimu.
19 Kwa nini sasa sheria ilitolewa? Iliongezwa kwa sababu ya makosa, mpaka mzao wa Ibrahimu aje kwa wale ambao kwao alikuwa ameahidiwa. Sheria iliwekwa katika shinikizo kupitia malaika kwa mkono wa mpatanishi.
Hinu malagizu gana lihengu loki? Yayonjokiswi muni kulangisa kubuda, mbaka peibwela chiveleku cha Ibulahimu yula mweapewili lilaganu lila. Malagizu gegaletiwi na mtumu wa kunani kwa Chapanga muchiwoko cha mtepulanisi Musa.
20 Sasa mpatanishi humaanisha zaidi ya mtu mmoja, bali Mungu ni mmoja peke yake.
Nambu mtepulanisi iganikiwa lepi ngati lijambu lene likumvala mundu mmonga, na Chapanga ndi mmonga.
21 Kwa hiyo je sheria iko kinyume na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa kuwa kama sheria iliyokuwa imetolewa ilikuwa na uwezo wa kuleta uzima, haki ingepatikana kwa sheria.
Wu, malagizu gibelana na lilaganu la Chapanga? Lepi hati padebe! Muni kuvya uhumili mu malagizu gegakuvapela vandu wumi, ndi ngatiwonikini vabwina palongolo ya Chapanga kwa kuyidakila malagizu.
22 Lakini badala yake, andiko limefunga mambo yote chini ya dhambi. Mungu alifanya hivi ili kwamba ahadi yake ya kutuokoa sisi kwa imani katika Yesu Kristo iweze kupatikana kwa wale wanao amini.
Nambu lepi, Mayandiku Gamsopi gamali kujova kuvya mulima woha uvi uvanda wa kumbudila Chapanga. Muni vevisadika vapewayi njombi yila yeavalagazili Chapanga, mukumsadika Yesu Kilisitu.
23 Lakini kabla ya imani katika Kristo haijaja, tulikuwa tumefungwa na kuwa chini ya sheria hadi uje ufunuo wa imani.
Nambu kwakona kubwela sadika yila, nambu takungiwi na mhilu ngati vafungwa mbaka payabweli sadika yigubukuliwayi.
24 Kwa hiyo sheria ilifanyika kiongozi wetu hadi Kristo alipokuja, ili kwamba tuhesabiwe haki kwa imani.
Hinu malagizu gavi na makakala panani yitu mbaka pahaikili Kilisitu, muni tilolekana vabwina palongolo ya Chapanga.
25 Sasa kwa kuwa imani imekuja, hatuko tena chini ya mwangalizi.
Nambu ndava sadika yimali kubwela, tete nakuvya kavili pahi ya uhotola panani yitu.
26 Kwa kuwa ninyi nyote ni watoto wa Mungu kupitia imani katika Kristo Yesu.
Mu njila ya sadika nyenye mwavoha ndi vana va Chapanga mukuwungana na Kilisitu Yesu.
27 Wote ambao mlibatizwa katika Kristo mmejivika Kristo.
Muni mwavoha nyenye mwemubatiziwi na kujiwunga na Kilisitu, mutama ngati Kilisitu cheigana mutama.
28 Hakuna Myahudi wala Myunani, mtumwa wala huru, mwanaume wala mwanamke, kwa kuwa ninyi nyote ni mmoja katika Kristo Yesu.
Kawaka kavili mbagulanu pagati ya Vayawudi amala Vandu vangali Vayawudi, vavanda amala vandu mwemlekekiwi, kawaka mgosi amala mdala, muni mwavoha ndi mwavamonga mukuwungana na Kilisitu Yesu.
29 Kama ninyi ni wa Kristo, basi ni uzao wa Ibrahimu, warithi kwa mujibu wa ahadi.
Ngati nyenye ndi vandu va Kilisitu ndi chiveleku cha Ibulahimu ndi yati mwipewa lilaganu lila leajovili Chapanga.