< Wagalatia 2 >
1 Baada ya miaka kumi na nne nilienda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba. Pia nilimchukua Tito pamoja nami.
Imiakha kumi na nne nalutile khavili khu Yelusalemu paninie nu Barnaba. Nitolile uTito paninye nune.
2 Nilienda kwa sababu Mungu alijidhihirisha kwangu kwamba nilipaswa kwenda. Niliweka mbele yao Injili ambayo niliitangaza kwa watu wa mataifa. (Lakini niliongea kwa siri kwa waliosemekana kuwa viongozi muhimu). Nilifanya hivi ili kuhakikisha kwamba nilikuwa sikimbii, au nilikimbia bure.
Nikhalutile pakhuva uNguluve aevonisie khuliune ukhuta ni khanogiwa ukhuluta. Navikhile khuvulongolo ilimenyu avapanji nachoviwaga avalongochi navombile ewo ukhuhakekesia ukhuta saninyila au nikhanyilile vuvule.
3 Lakini hata Tito, aliyekuwa pamoja nami, aliyekuwa Myunani, alilazimishwa kutahiriwa.
Vope u Tito, uviakhale paninie nune, uviakhale Myunani, andasimiswa ukhutahiliwa.
4 Jambo hili lilitokea kwa sababu ya ndugu wa uongo waliokuja kwa siri kupeleleza uhuru tuliokuwa nao katika Kristo Yesu. Walitamani kutufanya sisi kuwa watumwa wa sheria.
Ilijambo ili ukhahumile mkhekolo ikia vudesi vainchile khusile khupelelesia uvu huru uvutwale nao mgati mwa Yesu Klisite. Vanogilwe ukhutuveka pasi pa ndagelo.
5 Hatukujitoa kuwatii hata kwa saa moja, ili kwamba injili ya kweli ibaki bila kubadilika kwenu.
Satukhihumia ukhuva pulikha khusekhi gumo ukhuta ilimenyu lya lueli lisigale lijige vulevule lisite ukhubadelekha khuliumwe.
6 Lakini wale waliosemwa kuwa walikuwa viongozi hawakuchangia chochote kwangu. Chochote walichokuwa wakikifanya hakikuwa na maana kwangu. Mungu hakubali upendeleo wa wanadamu.
Vala ava choviwe ukhuta vakhale valongonchi savanchagele khikhioni khuliune. Nkhinkhoni ekheva likhuvomba sakhi khale ne mana khuliane. UNguluve sinkhuikha uvupelelo wa vanu.
7 Badala yake, waliniona kwamba nimeaminiwa kuitangaza injili kwa wale ambao hawakutahiriwa. Ilikuwa kama Petro atangaze injili kwa waliotahiriwa.
Vakha mbona ukhuta niaminiwe ukhulumbelela ilimenyu khuvala awa savalanchiwe. Ekhava ndu uPetro alumbilile ilimenyu khuvala avavalanchiwe.
8 Kwa maana Mungu, aliyefanya kazi ndani ya Petro kwa ajili ya utume kwa wale waliotahiriwa, pia alifanya kazi ndani yangu kwa watu wa mataifa.
Ulwakhuva uNguluve, avombile embombo mgati mwa Petro savuli ya vuvanda nkhuvala avavalanche, nkhange avombile imbombo mugati mundiune khuvanu avapanchi.
9 Wakati Yakobo, Kefa, na Yohana, waliotambulika kuwa waliojenga Kanisa, walifahamu neema niliyopewa mimi, walitupokea katika ushirika mimi na Barnaba. Walifanya hivi ili kwamba twende kwa watu wa mataifa, na ili kwamba waweze kwenda kwa wale waliotahiriwa.
Usinkhi uYakobo, u Kefa, nu Yohana, vamanyikhikhi ukhuta vancheengile itembile, valumanyile ulukhungu une, vatupokhile mugati mululundamano une nu Barnaba. Vagakhile ewo ukhuta putulutage khuvanu avapanchi avava chiwe.
10 Pia walitutaka sisi kuwakumbuka masikini. Mimi pia nilikuwa natamani kufanya jambo hili.
Vatunogilwe ufue ukhuvakumbukha avatolwe. Une na yune nilikhunogwa ukhuvomba embombo iye.
11 Wakati Kefa alipokuja Antiokia, nilimpinga waziwazi kwa sababu alikuwa amekosea.
Usikhi Kefa avilenchile Antiokia, nakiline inave pavuvalafu ulwakhuva ale intula nongwa.
12 Kabla ya watu kadhaa kuja kutoka kwa Yakobo, Kefa alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa. Lakini hawa watu walipokuja, aliacha na kuondoka kutoka kwa watu wa mataifa. Alikuwa anaogopa watu ambao walihitaji tohara.
Badala ya vanu avadebe ukhuitsa ukhuhuma kua Yakobo, Kefa alikuva ilya paninie na vapanchi. Ingave avanu avavile vinchile alekhine ukhukhega ukhuma khu vanu avapanji. Akhava idwada avanu avano guaga indagelo.
13 Vilevile Wayahudi wengine waliungana na unafiki huu pamoja na Kefa. Matokeo yake yalikuwa kwamba hata Barnaba alichukuliwa na unafiki wao.
Vulevule Avayuta avange valungine nuvusongerenie uvu paninie nu Kefa. Pulikha humela leno Barnaba atoliwe nuvusongerehani wa vene.
14 Lakini nilipoona kwamba walikuwa hawafuati injili ya kweli, nilimwambia Kefa mbele yao wote, “Kama ninyi ni Wayahudi lakini mnaishi tabia za watu wa mataifa badala ya tabia za Kiyahudi, kwa nini mnawalazimisha watu wa mataifa kuishi kama Wayahudi?”
Uluava nelolile ukhuta valekhuva savikonga elivangeliilwa lweli, niambulile uKefa pamiho ga vene voni, “Ingave umwe mule Vayahudi mbona imitamilo gevile gya lugevaanu avapanchi ukutama nda vanu avayuta?”
15 Sisi ambao ni Wayahudi kwa kuzaliwa na siyo “Watu wa mataifa wenye dhambi “
Ufwe yufwe tuli Vayahudi tuhaliwe satuli “Vanu va panzi avale mbivi”
16 fahamu kwamba hakuna anayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria. Badala yake, wanahesabiwa haki kwa imani ndani ya Yesu Kristo. Tulikuja kwa imani ndani ya Kristo Yesu ili kwamba tunahesabiwa haki kwa imani ndani ya Kristo na siyo kwa matendo ya sheria. Kwa matendo ya sheria hakuna mwili utakao hesabiwa haki.
ulumanye ukhuta asikhuli uviivalilwa ale pavuye lweli pa mbombo ncha ndagelo. Pulino vivaliwa uwayelweli mulwidekho igati mwa Yesu Klisite. Tukhinchile khu luedekho mgati mwa Klisite Yesu ukhuta tuvaleliwa uvuyelweli mugati mwa Klisite pasita khuvaliwa ni mbombo khu mivombelo gusikhuli umbili, ugukhi guvaliwa uwa yelweli.
17 Lakini kama tunapomtafuta Mungu kwa kutuhesabia haki ndani ya Kristo, tunajikuta wenyewe pia kuwa wenye dhambi, je Kristo alifanywa mtumwa wa dhambi? Siyo hivyo!
Pulino tungave tukhundanda uNguluve khwa khutu valela inonu mugati mwa Klisite, tukhevona yufwe ukhuta tulini mbivi Klisite awekhiwe isuhiwa wa mbivi? Ate!
18 Maana kama nikijenga tegemeo langu juu ya kutunza sheria, tegemeo ambalo nilikwisha liondoa, najionesha mwenyewe kuwa mvunja sheria.
Ningave nivikha uluhuvelo luango ukhutuncha indagelo, ikhinu ikhi namalile ukhukhencha, nikhivonesya yune ukhuta nivomba imbivi.
19 Kupitia sheria nilikufa kwa sheria, kwa hiyo napaswa kuishi kwa ajili ya Mungu.
Ukhukhuma khululagelo nikhafua khululagelo, lino ninogiwa ukhutama nu Nguluve.
20 Nimesulubiwa pamoja na Kristo. Si mimi tena ninayeishi, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha ninayoishi katika mwili ninaishi kwa imani ndani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda na akajitoa kwa ajili yangu.
Nitasiwa paninye nu Yesu sio une leno, yune nitama uKlisite. Viitama mnumbula yango. Amaisha ugunitama mu mbili nitama nulwidikho munumbula ya umwana va uNguluve, uvanganile akhihumia khu njela yango une.
21 Siikani neema ya Mungu, maana kama haki ilikuwepo kupitia sheria, basi Kristo angekuwa amekufa bure.
Sanibela ulukhungu lwa uNguluve, ulugano lwa lenkho, ukhuhumila ingave ilweli yekhale puile ukhumila Klisite vuapule.