< Wagalatia 2 >

1 Baada ya miaka kumi na nne nilienda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba. Pia nilimchukua Tito pamoja nami.
Acunüng, kum xaleikphyü angvei käna Tihtuh pi cehpüi lü, Banabah am Jerusalem khawa kani hang cit beki.
2 Nilienda kwa sababu Mungu alijidhihirisha kwangu kwamba nilipaswa kwenda. Niliweka mbele yao Injili ambayo niliitangaza kwa watu wa mataifa. (Lakini niliongea kwa siri kwa waliosemekana kuwa viongozi muhimu). Nilifanya hivi ili kuhakikisha kwamba nilikuwa sikimbii, au nilikimbia bure.
Pamhnam naw ka ceh vaia mdanak na mhmuh se ka citkia kyaki. Khyangmjükce he veia ka sang khawia thangkdaw cun angvai he veia pi ngbämnaka ka jah mtheh khaiki. Ajana kcün üng ka bilawh pänga pi kyase atuh ka bilawha pi kyase amdanga akya vai am ka ngaiki.
3 Lakini hata Tito, aliyekuwa pamoja nami, aliyekuwa Myunani, alilazimishwa kutahiriwa.
Ka hlawnga awmki, Tihtuh cun Krik khyanga kyase pi amthuia a vun am mawihsak u.
4 Jambo hili lilitokea kwa sababu ya ndugu wa uongo waliokuja kwa siri kupeleleza uhuru tuliokuwa nao katika Kristo Yesu. Walitamani kutufanya sisi kuwa watumwa wa sheria.
Avang naw ta a vun mawih vai ami täng. Khritaw Jesuh üng kami taka lätnaka mawng hmu khai hea jumeiki hlawk hlawka ahina khyang he kami ksunga anghmüa lutki he. Tamna ami jah pawh hlü.
5 Hatukujitoa kuwatii hata kwa saa moja, ili kwamba injili ya kweli ibaki bila kubadilika kwenu.
Cunsepi thangkdaw, ngthungtak cun sungkham akyanak vaia phäha asängca hman pi ami ngthua keha am awm u nawng.
6 Lakini wale waliosemwa kuwa walikuwa viongozi hawakuchangia chochote kwangu. Chochote walichokuwa wakikifanya hakikuwa na maana kwangu. Mungu hakubali upendeleo wa wanadamu.
Mkhawnga kya kyaw u sepi keia phäha ta ami hngalangnak am ve. Pamhnam naw akpung da teng lü ä mtaiki. Khyang ngvai hea veia ka pyen hlü ta, “Akthai mcäinak keia phäha am hlü.”
7 Badala yake, waliniona kwamba nimeaminiwa kuitangaza injili kwa wale ambao hawakutahiriwa. Ilikuwa kama Petro atangaze injili kwa waliotahiriwa.
Mhnam naw Pita Judah he veia thangkdaw sang khaia khutbi a peta kba, kei pi ani naw khyangmjükce he veia thangkdaw sangnak khut a na petia hmuki he.
8 Kwa maana Mungu, aliyefanya kazi ndani ya Petro kwa ajili ya utume kwa wale waliotahiriwa, pia alifanya kazi ndani yangu kwa watu wa mataifa.
Judah he phäha Pita ngsäa mcawna kba, kei pi Pamhnama johit am khyangmjükce he phäha ngsäa mcawna ka kyaki.
9 Wakati Yakobo, Kefa, na Yohana, waliotambulika kuwa waliojenga Kanisa, walifahamu neema niliyopewa mimi, walitupokea katika ushirika mimi na Barnaba. Walifanya hivi ili kwamba twende kwa watu wa mataifa, na ili kwamba waweze kwenda kwa wale waliotahiriwa.
Mkhawnga ami jah ngaih Jakuk, Pita la Johan naw, Pamhnam naw ahina khutbi kei üng pi na peki ti ngsingsaki he. Acunakyase kami van kami khüi hmaihki ti msingnak vaia Banabah la kei jah hnuksetki he. Banabah la kei khyangmjükce he ksunga khutbi pawh ning se amimi cun Judah he ksunga khutbi pawh khai hea kami mkhyäpki.
10 Pia walitutaka sisi kuwakumbuka masikini. Mimi pia nilikuwa natamani kufanya jambo hili.
Ami ksunga khuikha m'yenkseki he jah süm nglät vaia avan naw ami jah mcäi, acuna khutbi cun ka pawh vaia kamät naw pi akcüka ka bü kunga kyaki.
11 Wakati Kefa alipokuja Antiokia, nilimpinga waziwazi kwa sababu alikuwa amekosea.
Acunüng, Pita Antioka law se khyang he maa ka ksenak. Hma kungkia kyase ni.
12 Kabla ya watu kadhaa kuja kutoka kwa Yakobo, Kefa alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa. Lakini hawa watu walipokuja, aliacha na kuondoka kutoka kwa watu wa mataifa. Alikuwa anaogopa watu ambao walihitaji tohara.
Jakuka jah tüih lawa khyang hea am ami pha law ham üng Pita cun jumeiki khyangmjükce am atänga ei hmaihki. Acunsepi khyang hea pha law käna, vun mawih vai ktungnaki he jah kyüh lü khyangmjükce he hlawnga am ei lü pyaiki.
13 Vilevile Wayahudi wengine waliungana na unafiki huu pamoja na Kefa. Matokeo yake yalikuwa kwamba hata Barnaba alichukuliwa na unafiki wao.
Jumeikia Judah khyang he pi Pita am atänga yailei hnga u lü awmki he naw Banabah pi yaileina u se ami hlawnga ngkhawki.
14 Lakini nilipoona kwamba walikuwa hawafuati injili ya kweli, nilimwambia Kefa mbele yao wote, “Kama ninyi ni Wayahudi lakini mnaishi tabia za watu wa mataifa badala ya tabia za Kiyahudi, kwa nini mnawalazimisha watu wa mataifa kuishi kama Wayahudi?”
Thangkdaw üng am ami cehcawn ka jah ksing law üng Pitaa veia, “Nang Judah khyanga na kyaki cunsepi Judah khyanga mäiha am xüngsei lü khyangmjükce hea mäiha na xüngseiki. Acunüng ihawkba khyangmjükce he Judah khyang hea kba xüngsei khai hea amthuia na jah ngtünsaki ni?” ti lü avana ma ka pyen.
15 Sisi ambao ni Wayahudi kwa kuzaliwa na siyo “Watu wa mataifa wenye dhambi “
Khyang he naw “Khyangka khyangmjükcea” ami jah suia kba am kya u lü, akcanga Judah khyanga kami hmi lawki.
16 fahamu kwamba hakuna anayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria. Badala yake, wanahesabiwa haki kwa imani ndani ya Yesu Kristo. Tulikuja kwa imani ndani ya Kristo Yesu ili kwamba tunahesabiwa haki kwa imani ndani ya Kristo na siyo kwa matendo ya sheria. Kwa matendo ya sheria hakuna mwili utakao hesabiwa haki.
Cunsepi khyang cun Thuma pyen a pawhnak am ngdüngdaikia am kya lü, Jesuh Khritaw a jumeinak däng am ni ngdüngdaikia akya ve. Keimi pi Khritaw kami jumnak am Pamhnam üng kami ngsungpyun khaia Khritaw Jesuh kami jumeiki. Thum kami läka phäha am kya. U pi Thuma ti pawh lü am mi ngsungpyun thei.
17 Lakini kama tunapomtafuta Mungu kwa kutuhesabia haki ndani ya Kristo, tunajikuta wenyewe pia kuwa wenye dhambi, je Kristo alifanywa mtumwa wa dhambi? Siyo hivyo!
Acunüng Khritaw üng Pamhnama veia ngsungpyun vai kami kthanaka phäha Khyangmjükce he mäiha khyangka kami kya hngaki aw? Khritaw cun mkhyekat jah pawh sakia kyaki aw? Am kya.
18 Maana kama nikijenga tegemeo langu juu ya kutunza sheria, tegemeo ambalo nilikwisha liondoa, najionesha mwenyewe kuwa mvunja sheria.
Ka kpyeh pänga Thuma ninge läk vaia ka tünei be üngta, kamät cun khyang hea veia Thum kpyehkia ka ngdan saki ni.
19 Kupitia sheria nilikufa kwa sheria, kwa hiyo napaswa kuishi kwa ajili ya Mungu.
Thuma awma küt üng kei cun ka thiki. Isetiakyaküng Thum naw a na hnima kyaki. Acun cun Pamhnama phäha ka xünseinak vaia phäha kyaki ni. Kei cun Khritaw am atänga ania kutlamktunga khana ka thiki.
20 Nimesulubiwa pamoja na Kristo. Si mimi tena ninayeishi, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha ninayoishi katika mwili ninaishi kwa imani ndani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda na akajitoa kwa ajili yangu.
Acunakyase kamät am xüng ti veng. Khritaw kei üng xüngki. Atuh ka xünak cun na mhläkphya na lü amäta xünak na pekia Pamhnama Capa ka jumnak am ni ka xün ve.
21 Siikani neema ya Mungu, maana kama haki ilikuwepo kupitia sheria, basi Kristo angekuwa amekufa bure.
Pamhnama bäkhäknak am ma veng. Thuma phäha ngdüngdainak yah theia akya üng Khritaw amdanga thikia kya khai.

< Wagalatia 2 >