< Wagalatia 1 >

1 Mimi ni Paulo mtume. Mimi sio mtume kutoka kwa wanadamu wala kupitia kwa mwanadamu, lakini kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu.
Ane ne Paulo ne mtume. Anesendi mtumwa afume whabhantu wala ashilile wabhantu, lelo ashilile wa Yesu Kristu no Ngolobhe oBaba yavyose seyafume wabhafwe.
2 Pamoja na ndugu wote na mimi, ninayaandikia makanisa ya Galatia.
Pandwemonaholo bhontinani engandishi amakanisa aga Galatia.
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo,
Owene obhenamwe nolutengano waufumile whaNgolobhe oBaba wetu no Gosi oYesu Kilisti,
4 aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
yawifumizye yayo afwatane nolugano lwangolobhe wetu no Baba. (aiōn g165)
5 Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
Whamwene hubhe otuntumu owawilawila. (aiōn g165)
6 Ninashangaa kwamba mnageukia haraka kwenye injili nyingine. Ninashangaa kwamba mnageukia mbali kutoka kwake yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo.
Eswiga aje mgaluhana nanaliwizielyenje eswiga aje mgaluhana hutaliwanomwene. Yabhakwiziizye huwewe wa Yesu.
7 Hakuna injili nyingine, lakini kuna baadhi ya watu wanao wasababishieni nyinyi matatizo na kutaka kubadilisha injili ya Kristo.
Nalimoizuilyenje lelobhaliabhantu bhabhanankanya amwe mayemba agalulanyeizulya Kristu.
8 Lakini hata kama ni sisi au malaika kutoka mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
Hata nkashele tete olweuje ohalao zelu, afumemwanya abhalombelele hulimweizu shenje nashilya tibhalombeleye hulimwe.
9 Kama tulivyo sema mwanzoni, na sasa nasema tena, “Kama kuna mtu atawatangazia kwenu injili tofauti na mliyoipokea, na alaaniwe.”
Nashisatianjile awandile neshifyanga nautele nkasheleumntu abhalombelele, hulimweizu lyalilishenje, “nashila mwaliovweze oyo na ayejewe.”
10 Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo.
Eshi ehwawa osimishizyo owabhantu olwenje wa Ngolobhe? Ehwanzaje embasongwezye abhantu? Nkashele iwendelela abhasungwezye abhantu? Anesendi mtumwa wa Kristu.
11 Ndugu, ninataka ninyi mjue kwamba injili niliyoitangaza haitokani na wanadamu.
Bhaholo ewanzaje mmanye aje izulyehabhalombeleye selyafumile nabhantu.
12 Sikuipokea kutoka kwa mtu, wala sikufundishwa. Badala yake, ilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu.
Sihapetefume whamntu wala sehafundizizye badala yakwe. Ehali langouwa Yesu Kristu wane.
13 Mmekwisha sikia juu ya maisha yangu ya nyuma katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyokuwa nikilitesa kwa ukali kanisa la Mungu zaidi ya kipimo na kuliteketeza.
Mwovwe ajeolwizyolwane olwahunyuma Olwahunyuma olwedinieya Kiyahudi, shehali panga amayemba hukhali ikanisa lya Ngolobhe sana ashileeshipimo na nyangamizye.
14 Nilikuwa nimeendelea katika Dini ya Kiyahudi zaidi ya ndugu zangu wengi Wayahudi. Nilikuwa na bidii sana katika tamaduni za baba zangu.
Ehendeleye hudini Eyekiyahudi sana aholobhane abhinji abhayahudi ehalinebidii sana notupango otwababa bhane.
15 Lakini Mungu alipendezwa kunichagua mimi kutoka tumboni mwa mama. Aliniita mimi kupitia neema yake
Lelo Ongolobhe asungwelwe ansalule ane. Afumemvwanda mwamaye. Ankwizizye ane ashilile huwene hwakwe
16 kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili kwamba nimtangaze yeye miongoni mwa watu wa mataifa. Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
ahubhonesezye omwana mhati mwaline, aje ehulombelela omwene mwabhantu bhashele sebhahuputa. Nantelesehanzile owajenshe owebele ni danda
17 na sikupanda kwenda Yerusalem kwa wale waliokuwa mitume kabla yangu. Badala yake nilienda Uarabuni na baadae kurudi Damesiki.
sehazubhile abhale huYerusalemu wabhala bhabhali watumwa kabuyaline. Saseleomwene ehabhalile Uarabuni pamande ehawhuyile hudemesiki.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kumtembelea Kefa, nikakaa naye kwa siku kumi na tano.
Pesho humahagatatu ehazubhile abhale hu Yerusalemu ahujendele oKefa, nakhalanawo nakhalananawo. Ensiku kumi natano.
19 Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndungu yake na Bwana.
Lelosehalolile otumwa abhamwabho ila O Yakobo oholo wakwe no Gosi.
20 Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu.
Enya hwitagalila elya Ngolobhe sekhopelahwalilalye hwandiha hulimwe.
21 Kisha nilikwenda mikoa ya Shamu na Kilikia.
Nantele ehabhalile humikowa aga Shamu nahu Kilikia.
22 Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,
Sehabhonehaga humaso aga hwikanisa ilya Uyahudi gala galaga Kristu,
23 lakini walikuwa wakisikia tu, “Yeye aliyekuwa akitutesa sasa anatangaza imani aliyokuwa akiiharibu.”
lelohalibhahovwa wewe aje yatiyenvaga eshi alombelea olweteho yanankanyaga.”
24 Walikuwa wakimtukuza Mungu kwa ajili yangu.
Bhahusombezya Ongolobhe awande huline

< Wagalatia 1 >