< Wagalatia 1 >
1 Mimi ni Paulo mtume. Mimi sio mtume kutoka kwa wanadamu wala kupitia kwa mwanadamu, lakini kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu.
Paulo, apóstolo - não dos homens, nem pelo homem, mas por Jesus Cristo, e Deus Pai, que o ressuscitou dos mortos -
2 Pamoja na ndugu wote na mimi, ninayaandikia makanisa ya Galatia.
e todos os irmãos que estão comigo, para as assembléias da Galatia:
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo,
Graça a vós e paz de Deus Pai e de nosso Senhor Jesus Cristo,
4 aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn )
que se deu a si mesmo por nossos pecados, para que nos livrasse desta era maligna atual, segundo a vontade de nosso Deus e Pai - (aiōn )
5 Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn )
a quem seja a glória para todo o sempre. Amém. (aiōn )
6 Ninashangaa kwamba mnageukia haraka kwenye injili nyingine. Ninashangaa kwamba mnageukia mbali kutoka kwake yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo.
Admira-me que você esteja tão rapidamente abandonando aquele que o chamou na graça de Cristo para uma “boa notícia” diferente,
7 Hakuna injili nyingine, lakini kuna baadhi ya watu wanao wasababishieni nyinyi matatizo na kutaka kubadilisha injili ya Kristo.
mas não há outra “boa notícia”. Só há alguns que o incomodam e querem perverter a Boa Nova de Cristo.
8 Lakini hata kama ni sisi au malaika kutoka mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
Mas mesmo que nós, ou um anjo do céu, devemos pregar-lhe qualquer “boa nova” que não seja a que lhe pregamos, deixe-o ser amaldiçoado.
9 Kama tulivyo sema mwanzoni, na sasa nasema tena, “Kama kuna mtu atawatangazia kwenu injili tofauti na mliyoipokea, na alaaniwe.”
Como já dissemos antes, por isso agora digo novamente: se algum homem lhe pregar alguma “boa nova” que não seja aquela que você recebeu, que ele seja amaldiçoado.
10 Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo.
Pois agora estou procurando o favor dos homens, ou de Deus? Ou será que estou me esforçando para agradar aos homens? Pois se eu ainda fosse agradar aos homens, eu não seria um servo de Cristo.
11 Ndugu, ninataka ninyi mjue kwamba injili niliyoitangaza haitokani na wanadamu.
Mas eu lhes faço saber, irmãos, a respeito da Boa Nova que foi pregada por mim, que ela não está de acordo com o homem.
12 Sikuipokea kutoka kwa mtu, wala sikufundishwa. Badala yake, ilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu.
Pois eu não a recebi do homem, nem fui ensinada, mas ela veio a mim através da revelação de Jesus Cristo.
13 Mmekwisha sikia juu ya maisha yangu ya nyuma katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyokuwa nikilitesa kwa ukali kanisa la Mungu zaidi ya kipimo na kuliteketeza.
Pois vocês ouviram falar de minha maneira de viver no passado na religião judaica, de como essa maneira além da medida persegui a assembléia de Deus e a destruí.
14 Nilikuwa nimeendelea katika Dini ya Kiyahudi zaidi ya ndugu zangu wengi Wayahudi. Nilikuwa na bidii sana katika tamaduni za baba zangu.
Eu avancei na religião dos judeus além de muitos de minha idade entre meus compatriotas, sendo mais excessivamente zeloso pelas tradições de meus pais.
15 Lakini Mungu alipendezwa kunichagua mimi kutoka tumboni mwa mama. Aliniita mimi kupitia neema yake
Mas quando foi o bom prazer de Deus, que me separou do ventre de minha mãe e me chamou através de sua graça,
16 kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili kwamba nimtangaze yeye miongoni mwa watu wa mataifa. Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
para revelar seu Filho em mim, para que eu pudesse pregá-lo entre os gentios, eu não conferi imediatamente com carne e sangue,
17 na sikupanda kwenda Yerusalem kwa wale waliokuwa mitume kabla yangu. Badala yake nilienda Uarabuni na baadae kurudi Damesiki.
nem subi a Jerusalém para aqueles que foram apóstolos antes de mim, mas fui para a Arábia. Depois voltei para Damasco.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kumtembelea Kefa, nikakaa naye kwa siku kumi na tano.
Depois de três anos, fui a Jerusalém para visitar Pedro, e fiquei com ele quinze dias.
19 Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndungu yake na Bwana.
Mas dos outros apóstolos não vi ninguém, exceto Tiago, o irmão do Senhor.
20 Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu.
Agora sobre as coisas que vos escrevo, eis que, diante de Deus, não estou mentindo.
21 Kisha nilikwenda mikoa ya Shamu na Kilikia.
Depois vim para as regiões da Síria e da Cilícia.
22 Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,
Eu ainda era desconhecido diante das assembléias da Judéia que estavam em Cristo,
23 lakini walikuwa wakisikia tu, “Yeye aliyekuwa akitutesa sasa anatangaza imani aliyokuwa akiiharibu.”
mas eles só ouviram: “Aquele que um dia nos perseguiu agora prega a fé que um dia tentou destruir”.
24 Walikuwa wakimtukuza Mungu kwa ajili yangu.
Assim eles glorificaram a Deus em mim.