< Ezra 1 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Yahwe akatimiza neno lake ambalo Yeremia alisema, na kuinua roho ya Koreshi. Sauti ya Koreshi ikasambaa na kusikika katika ufalme wake. Hiki ndicho kilichoandikwa na kusemwa:
Ode bisili amoga Sailase da Besia soge ouligisu, Hina Gode Ea balofede (Gode Sia: Alofesu dunu) Yelemaiama musa: sia: i liligi da amo defele doaga: i dagoi ba: i. E da Sailase ea asigi dawa: su olelebeba: le, Sailase da ea fidisu dunuma ilia da sia: amo dedene, ea soge amo ganodini dunu huluane nabima: ne idili ima: ne sia: i. Ea sia: da agoane dedei,
2 “Koreshi, mfalme wa Uajemi, anasema: Yahwe, Mungu wa mbinguni, amenipa mimi ufalme wote wa dunia, na ameniteua mimi kumjengea yeye nyumba katika Yerusalem ya Yuda.
“Na, Sailase, Besia hina bagade da dilima sia: sa. Hina Gode, Hebene amoga Hina esala, amo da na osobo bagade fifi asi gala huluane ilima hina esaloma: ne hamoi dagoi. Amola E da na Yelusaleme moilai bai bagadega Ea Debolo diasu gaguma: ne sia: i.
3 Yeyote katika watu wake (Mungu awe pamoja naye) anaweza kwenda Yerusalem na kujenga nyumba kwa ajili ya Yahwe, Mungu wa Israel, Mungu ambaye yuko Yerusalem.
Gode da dilia Ea hou lalegagui dunu huluane noga: le fidimu da defea. Dilia Yelusaleme moilai bai bagade amoga asili, Hina Gode Ea Debolo diasu mugului amo bu gaguma. Hina Gode da Isala: ili dunu ilia Gode amola ilia da Yelusaleme amo ganodini, Ema nodone sia: ne gadolala.
4 Watu wa kila sehemu katika ufalme waliosalia katika nchi na kuishi wanapaswa kuwapa wao fedha na dhahabu, mali na wanyama, pamoja na kutoa kwa hiari kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem.”
Gode Ea fi dunu ilia gadenene fi na: iyado dunu da mugululi asi dunu ilia masa: ne logo fidimu da defea. Ilia da silifa, gouli amola ohe fi ilia liligi gaguli masa: ne amola ilima imunu da defea. Amola Gode Ea Debolo diasu amo ganodini, Godema ima: ne liligi ilima imunu da defea.”
5 Ndipo wakuu wa jamii ya Yuda na Benjamini, makuhani na walawi, na kila mmoja ambaye Roho wa Mungu alimwinua kuondoka na kujenga nyumba yake alisimama.
Amalalu, Yuda fi bisilua dunu, Bediamini fi bisilua dunu, gobele salasu dunu, Lifai fi dunu amola dunu eno huluane amo Gode da ilia dogoga sia: i dunu, ilia da Yelusalemega Hina Gode Ea Debolo diasu gagumusa: masa: ne, liligi momagei dagoi.
6 Wale waliowazunguka karibu waliwasaidia kwa kuwapa fedha na vitu vya dhahabu, mali, wanyama, vitu vya thamani, na kutoa kwa hiari.
Ilia na: iyado dunu da ili fidi. Ilia da ilima liligi bagohame iasu. Ilia da silifa yaeya, gouli, ha: i manu, ohe fi ilia liligi gaguli masa: ne amola noga: i liligi eno Debolo ganodini Godema ima: ne liligi, ilima iasu.
7 Mfalme Koreshi akarusu vitu ambavyo vilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambavyo Nebukadreza alitoa kutoka Yerusalem na kuviweka katika nyumba ya miungu yake.
Musa: , hina bagade Nebiuga: denese da amo gouli, silifa amola ofodo amo lale, hina: ogogosu ‘gode’ ilia debolo diasu ganodini salasu. Sailase da amo liligi lale, Yu dunuma bu i.
8 Koreshi akavikabidhi kwenye mikono ya Mithredathi mtunza fedha, ambaye akavitoa na kuhesabu kwa Sheshbaza, kiongozi wa Yuda
Sailase da liligi huluane gaguli misini, Besia muni ouligisu dunu Midilida: de ema i. Midilida: de da amo liligi dedenanu, Yuda ouligisu dunu amo Sesebaisa ema i.
9 Hii ilikuwa idadi yake: beseni thelathini za dhahabu, beseni elfu moja za fedha, beseni zingine ishirini na tisa,
Liligi idi da agoane gala, Gouliga hamoi ofodo (Godema iabe salasu) ...30 Silifaga hamoi ofodo (Godema iabe salasu) ...1,000 Ofodo eno...29 Gouli ofodo fonobahadi...30 Silifa ofodo fonobahadi...410 Eno sasali liligi...1,000
10 mabakuli thelathini ya dhahabu, mabakuli madogo ya fedha 410, na vitu elfu moja vya kuongezea.
11 Kulikuwa na vitu 5, 400 vya fedha na dhahabu. Sheshbaza akavileta vyote wakati wa uhamisho kutoka Babeli kwenda Yerusalem.
Amo liligi huluane gilisili da gouli amola silifa ofodo, amola sasali liligi eno 5400 agoane. Sesebaisa amola mugululi asi dunu eno da Ba: bilone fisili, Yelusalemega asili, ilia da amo liligi gaguli asi.

< Ezra 1 >