< Ezra 8 >

1 Hawa ni viongozi wa watangulizi familia ambazo zilitoka babeli pamoja nami kipindi cha utawala wa mfalme Artashasta.
A oto naczelnicy rodów i rodowody tych, którzy wyruszyli ze mną z Babilonu za panowania króla Artakserksesa:
2 Mwana wa Finehasi, Gershoni. Mwana wa Ithamari, Daniel. Mwana wa Daudi, Hatushi ambaye ni mwana Shekania,
Z synów Pinchasa – Gerszom; z synów Itamara – Daniel; z synów Dawida – Chattusz;
3 ambaye pia ni mwana wa Paroshi na Zekaria na pamoja na yeye kulikuwa na wanaume mia moja na hamsini walitajwa kwenye idadi ya ukoo wake.
Z synów Szekaniasza, z synów Parosza – Zachariasz, a z nim spisanych według rodowodów było stu pięćdziesięciu mężczyzn;
4 Wana wa Pahath- Moabu, Eliehoenai mwana wa Zerahia na pamoja naye wanaume mia mbili. Wana wa
Z synów Pachat-Moaba – Elioenaj, syn Zerachiasza, a z nim dwustu mężczyzn;
5 Shekaniah, Yahazieli na pamoja naye wanaume mia tatu. Wana wa
Z synów Szekaniasza – syn Jahaziela, a z nim trzystu mężczyzn;
6 adini, Ebedi mwana wa Yonathani na pamoja naye waliorodheshwa wanaume hamsini.
Z synów Adina – Ebed, syn Jonatana, a z nim pięćdziesięciu mężczyzn;
7 Wana wa Elamu, Yeshaya mwana wa Athalia na pamoja naye waliorodheshwa wanaume sabini.
Z synów Elama – Jeszajasz, syn Ataliasza, a z nim siedemdziesięciu mężczyzn;
8 Wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli na pamoja naye waliorodheshwa wanaume themanini.
Z synów Szefatiasza – Zebadiasz, syn Mikaela, a z nim osiemdziesięciu mężczyzn;
9 Wana wa Yoabu, Obadia mwana wa Yehieli pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia mbili kumi na wanane. Wana wa Binui,
Z synów Joaba – Obadiasz, syn Jechiela, a z nim dwustu osiemnastu mężczyzn;
10 Sheromithi, mwana wa Yosifia na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na sitini.
Z synów Szelomita – syn Josifiasza, a z nim stu sześćdziesięciu mężczyzn;
11 Wana wa Bebai, zekaria mwana wa Bebai na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume ishirini na wanane.
Z synów Bebaja – Zachariasz, syn Bebaja, a z nim dwudziestu ośmiu mężczyzn;
12 Wana wa Azgadi, Yohana mwana wa Hakatani na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na kumi.
Z synów Azgada – Johanan, syn Hakkatana, a z nim stu dziesięciu mężczyzn;
13 Wale wana wa Adonikamu wakaja baadaye. Na haya ndio majina yao: Elifereti, Yeueli na Shemaya na pamoja na wao wakaja wanaume sitini.
Z synów Adonikama [wyruszyli] ostatni, a oto ich imiona: Elifelet, Jejel i Szemajasz, a z nimi sześćdziesięciu mężczyzn;
14 Wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa zabudi na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume sabini
Z synów Bigwaja – Utaj i Zabbud, a z nimi siedemdziesięciu mężczyzn.
15 Nikawakusanya wasafiri bandari iliyokuwa inaelekea Ahava. Tukaweka kambi muda wa siku tatu, nikawachunguza watu na makuhani, lakini sikuwaona wana wa Levi miongoni.
I zgromadziłem ich nad rzeką, która płynie do Achawy, i obozowaliśmy tam przez trzy dni. Potem dokonałem przeglądu ludu i kapłanów, a z synów Lewiego nie znalazłem tam [żadnego].
16 Hivyo nikatuma kwa Eliezeri, arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu na Elnathani na Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na kwa Yoyaribu na Elnathani ambao walikuwa ni walimu.
Posłałem więc Eliezera, Ariela, Szemajasza, Elnatana, Jariba, Elnatana, Natana, Zachariasza i Meszullama, naczelników, a także Jojariba i Elnatana, [ludzi] rozumnych;
17 Tena nikawatuma kwa Ido, kiongozi wa Kasifia. Nikawaaambia kile watachomweleza Ido. na jamaa zake, watumishi wa Hekalu waliishi Kasifia, kwa hiyo, kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu.
I dałem przez nich polecenie Iddo, przełożonemu w miejscowości Kasifia, i przekazałem im słowa, które mieli powiedzieć do niego i jego braci Netinitów w miejscowości Kasifia; poleciłem, aby nam przyprowadzili sługi dla domu naszego Boga.
18 Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu aliyeitwa Ishekeli. Alikuwa mwana wa mali Mwana wa Levi mwana wa Israel. Akaja na wana kumi na wanane na ndugu,
I ponieważ łaskawa ręka naszego Boga była nad nami, przyprowadzili do nas, człowieka rozumnego spośród synów Machliego, syna Lewiego, syna Izraela, oraz Szerebiasza wraz z jego synami i braćmi – razem osiemnaście [osób];
19 pamoja naye Hashabia, pamoja na Yeshaya wa wana wa Merari na ndugu zake na wana wake jumla watu ishirini wote. Miongoni
I Chaszabiasza, a z nim Jeszajasz spośród synów Merariego wraz z jego braćmi i ich synów – razem dwadzieścia [osób];
20 mwao walichaguliwa kutumika katika Hekalu, ambapo Daudi na wakuu waliwapa kuwahudumia walawi: mia mbili ishirini kila mmoja wao aliagizwa kwa majina.
Ponadto spośród Netinitów, których Dawid i naczelnicy ustanowili do posługiwania Lewitom – dwieście dwadzieścia Netinitów. Ci wszyscy zostali imiennie wyznaczeni.
21 Tena nikatangaza kufunga mto Ahava ili kujinyenyekeza mbele za Mungu, kutafuta njia iliyoonyoka kutoka kwake kwa ajili yetu, watoto wetu na mali zetu,
Wtedy tam, nad rzeką Achawa, ogłosiłem post, abyśmy ukorzyli się przed naszym Bogiem i abyśmy uprosili u niego szczęśliwą drogę dla nas, naszych dzieci i całego naszego dobytku.
22 Niliona aibu kumwomba mfalme kwa ajili ya jeshi au mpandafarasi kwa ajili ya kutulinda tunapokuwa njiani, tangu tumemwambia mfalme “mkono wa Mungu uko pamoja na wote wanaomtafuta kwa mazuri. lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye.
Wstydziłem się bowiem prosić króla o żołnierzy i jeźdźców, aby nas w drodze ratowali przed wrogami, ponieważ powiedzieliśmy królowi: Ręka naszego Boga [jest] nad wszystkimi, którzy go szukają, dla ich dobra, ale jego moc i gniew przeciwko wszystkim, którzy go opuszczają.
23 Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hilo.
Pościliśmy więc i prosiliśmy o to naszego Boga. A on nas wysłuchał.
24 Tena nikachagua watu kumi na wawili kutoka kwa kuhani: Sherebia na Hashabia na ndugu zao wengine kumi.
Wtedy spośród przedniejszych kapłanów wydzieliłem dwunastu: Szerebiasza, Chaszabiasza, a z nimi dziesięciu ich braci;
25 Nikapima kwa ajili yao fedha, dhahabu na vyombo na sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu kwa wafalme, washauri, na wakuu na Israel wote walitoa kwa hiari.
I odważyłem im srebro, złoto i naczynia, czyli ofiarę dla domu naszego Boga, którą złożyli: król, jego doradcy, jego dostojnicy oraz cały Izrael tam obecny.
26 Hivyo nikawapimia kwenye mikono yao talanta za fedha mia sita na hamsini, talanta mia moja ya vyombo vya fedha, talanta mia moja za dhahabu.
Odważyłem im więc do rąk sześćset pięćdziesiąt talentów srebra, sto talentów naczyń srebrnych, sto talentów złota;
27 vifaa ishirini vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na thamani ya elfu moja darkoni na vitu viwili vya sanamu vivyonakshiwa kama dhahabu ya kupendeza.
Dwadzieścia złotych pucharów, [ważących] po tysiąc darejków, i dwa naczynia z wybornego mosiądzu, tak piękne jak złoto.
28 Kisha nikawaambia, mmewekwa wakfu kwa Bwana, na hivi vyombo pia na fedha na dhahabu, vimetolewa kwa hiari kwa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu.
Potem powiedziałem do nich: Wy jesteście poświęceni PANU, naczynia [także] są poświęcone, a to srebro i złoto [są] dobrowolnym darem dla PANA, Boga waszych ojców.
29 mviangalie na kuvitunza hadi mtakapovipima mbele ya makuhani, walawi, na viongozi wa wataangulizi wa jamii ya Israel katika Yerusalem katika nyumba ya Mungu.
Pilnujcie i strzeżcie [ich], dopóki nie odważycie [ich] przed przedniejszymi kapłanami, Lewitami i naczelnikami rodów Izraela w Jerozolimie, w komnatach domu PANA.
30 Makuhani na walawi walikubali vipimo vya fedha na dhahabu na vyombo kwa ajili ya kuvichukua na kuvipeleka Yerusalem, kwenye nyumba ya Mungu wetu.
Wzięli więc kapłani i Lewici odważone srebro, złoto i naczynia, aby [je] zanieść do Jerozolimy, do domu naszego Boga.
31 Tukatoka kwenda mto Ahava siku ya kumi na mbili katika mwezi wa kwanza kwenda Yerusalem, Mkono wa Mungu ulikuwa pamoja nasi, ulitulinda na mikono ya adui na wale waliotaka kutufanyia fujo njiani.
Potem wyruszyliśmy znad rzeki Achawa dwunastego [dnia] pierwszego miesiąca, aby udać się do Jerozolimy. A ręka naszego Boga była nad nami i wyrwała nas z ręki wrogów i czyhających [na nas] w drodze.
32 Hivyo tukaingia Yerusalem na kukaa humo kwa siku tatu.
I przybyliśmy do Jerozolimy, i zamieszkaliśmy tam przez trzy dni.
33 Tena siku ya nne fedha na dhahabu na vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa mikono ya Meremothi mwana wa Uria kuhani, na pamoja nao alikuwepo Eleazari mwana wa Finehasi, Yozabadi mwana wa Yeshua, na Noadia mwana wa Binui, Walawi.
A czwartego dnia odważono srebro, złoto i naczynia w domu naszego Boga – do ręki Meremota, syna kapłana Uriasza, z którym był Eleazar, syn Pinchasa; z nimi też [byli] Jozabad, syn Jeszuy, i Noadiasz, syn Binnuja, Lewici;
34 Idadi na uzito wa kila kitu uliweza kujulikana. Uzito wote uliweza kuandikwa katika kipindi hicho
Wszystko według liczby i wagi; i zapisano wagę tego wszystkiego w tym czasie.
35 Na wale waliokuja kutoka matekani, watu wa uhamisho, wakatoa sadaka ya kutekezwa kwa Mungu wa Israel, kondoo tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi wa kiume kumi na wawili kama sadaka ya dhambi. Zote zilikuwa sadaka za kutekezwa kwa ajili ya Yahwe.
Następnie ci, którzy zostali pojmani, a powrócili z niewoli, złożyli Bogu Izraela ofiarę całopalną: dwanaście cielców za całego Izraela, dziewięćdziesiąt sześć baranów, siedemdziesiąt siedem jagniąt i dwanaście kozłów na ofiarę za grzech, wszystko jako całopalenie PANU.
36 Tena wakawapa amri za mfalme kwa wakuu wa wafalme na wakuu katika mji ngambo ya mto, na wakawasaidia watu na nyumba ya Mungu.
I przekazano rozporządzenie króla jego satrapom i namiestnikom zarzecza, a ci wspomagali lud i dom Boży.

< Ezra 8 >