< Ezra 8 >
1 Hawa ni viongozi wa watangulizi familia ambazo zilitoka babeli pamoja nami kipindi cha utawala wa mfalme Artashasta.
在阿塔薛西斯在位期間,與我從巴比倫一同起程的族長,笸他們的祖譜,記載如下:
2 Mwana wa Finehasi, Gershoni. Mwana wa Ithamari, Daniel. Mwana wa Daudi, Hatushi ambaye ni mwana Shekania,
丕乃哈斯的子孫,有革爾雄;依塔瑪爾的子孫,有達尼爾;達味的子孫,有舍加尼雅的兒子哈突士,
3 ambaye pia ni mwana wa Paroshi na Zekaria na pamoja na yeye kulikuwa na wanaume mia moja na hamsini walitajwa kwenye idadi ya ukoo wake.
帕洛士的子孫,有則加黎雅,同他登記的,有男子一百五十名;
4 Wana wa Pahath- Moabu, Eliehoenai mwana wa Zerahia na pamoja naye wanaume mia mbili. Wana wa
哈特摩阿布的子孫,有則辣希雅的兒子厄里約乃,同他一起的,有男子二百名;
5 Shekaniah, Yahazieli na pamoja naye wanaume mia tatu. Wana wa
匝突的子孫,有雅哈齊耳的兒子舍加尼雅,同他一起的,有男子三百名;
6 adini, Ebedi mwana wa Yonathani na pamoja naye waliorodheshwa wanaume hamsini.
阿丁的子孫,有約納堂的兒子厄貝得,同他一起的,有男子五十名;
7 Wana wa Elamu, Yeshaya mwana wa Athalia na pamoja naye waliorodheshwa wanaume sabini.
厄藍的子孫,有阿塔里雅的所以耶沙雅,同他一起的,有男子七十名;
8 Wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli na pamoja naye waliorodheshwa wanaume themanini.
舍法提雅的子孫,有米加耳的兒子則把狄雅,同他一起的,有男子八十名;
9 Wana wa Yoabu, Obadia mwana wa Yehieli pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia mbili kumi na wanane. Wana wa Binui,
約阿布的子孫,有耶希耳的兒子敖巴狄雅,同他一起的,有男子二百一十八名;
10 Sheromithi, mwana wa Yosifia na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na sitini.
巴尼的子孫,有約息非雅的兒子舍羅米特,同他一起的,有男子一百六十名;
11 Wana wa Bebai, zekaria mwana wa Bebai na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume ishirini na wanane.
貝拜的子孫,有貝拜的兒子則加黎雅,同他一起的,有男子二十八名;
12 Wana wa Azgadi, Yohana mwana wa Hakatani na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na kumi.
阿次加得的子孫,有哈卡堂的兒子約哈南,同他一起的,有男子一百一十名;
13 Wale wana wa Adonikamu wakaja baadaye. Na haya ndio majina yao: Elifereti, Yeueli na Shemaya na pamoja na wao wakaja wanaume sitini.
阿多尼干的子孫,是最後來的,他們的名字是厄里培肋特、耶依耳和舍雅,同他們一起的,有男子六十名。
14 Wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa zabudi na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume sabini
彼革外的子孫,鍵盤匝雇爾的兒子烏泰,同他一起的,有男子七十名。
15 Nikawakusanya wasafiri bandari iliyokuwa inaelekea Ahava. Tukaweka kambi muda wa siku tatu, nikawachunguza watu na makuhani, lakini sikuwaona wana wa Levi miongoni.
我將眾人召集在流往阿哈瓦的河邊,在那裏住了三天;當我視察眾人和司祭時,其中沒有發現一個肋未人。
16 Hivyo nikatuma kwa Eliezeri, arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu na Elnathani na Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na kwa Yoyaribu na Elnathani ambao walikuwa ni walimu.
我遂派首領厄里厄則爾、阿黎爾、舍瑪雅、厄耳納堂、雅黎布、厄耳納堂、納堂、則加黎雅和默叔藍通士約雅黎布和厄耳納堂,
17 Tena nikawatuma kwa Ido, kiongozi wa Kasifia. Nikawaaambia kile watachomweleza Ido. na jamaa zake, watumishi wa Hekalu waliishi Kasifia, kwa hiyo, kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu.
命他們到加息非雅地方的首領依多那裏去,我並把他們應向那定居在加息非雅的依多和兄弟們,要說的話告訴了他們,好為我們天主的殿,給我們帶來侍役。
18 Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu aliyeitwa Ishekeli. Alikuwa mwana wa mali Mwana wa Levi mwana wa Israel. Akaja na wana kumi na wanane na ndugu,
賴我們天主慈悲的手對我們的扶助,他們由以色列的兒子肋未的後裔瑪赫里的子孫中,給我們帶來了一位明智人,就是舍勒彼雅,和兒子及兄弟,一共十八人;
19 pamoja naye Hashabia, pamoja na Yeshaya wa wana wa Merari na ndugu zake na wana wake jumla watu ishirini wote. Miongoni
還有哈沙彼雅,同他一起的,有默辣黎的子孫耶沙和雅及兒子,一共二 十人;
20 mwao walichaguliwa kutumika katika Hekalu, ambapo Daudi na wakuu waliwapa kuwahudumia walawi: mia mbili ishirini kila mmoja wao aliagizwa kwa majina.
還有達味和諸首長服事肋未人所立 獻身者,一共二百二十人;這些人全部都是登記了的。
21 Tena nikatangaza kufunga mto Ahava ili kujinyenyekeza mbele za Mungu, kutafuta njia iliyoonyoka kutoka kwake kwa ajili yetu, watoto wetu na mali zetu,
我遂在阿哈瓦河那裏禁食,在我們的天主前自謙自卑,祈求衪使我們和我們的子孫,並我們的一切財物,一路平安;
22 Niliona aibu kumwomba mfalme kwa ajili ya jeshi au mpandafarasi kwa ajili ya kutulinda tunapokuwa njiani, tangu tumemwambia mfalme “mkono wa Mungu uko pamoja na wote wanaomtafuta kwa mazuri. lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye.
因為我羞於請求君王派遺步隊和騎兵,協助我們防禦路上的仇敵,因為我們曾向君王說萵:「凡尋求天主的人,衪的手常加助佑;凡離棄衪的人,衪便施行強力和義怒」。
23 Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hilo.
我們為此禁食,祈求我們的天主,衪便俯聽了我們。
24 Tena nikachagua watu kumi na wawili kutoka kwa kuhani: Sherebia na Hashabia na ndugu zao wengine kumi.
我由司祭的首領選了十二人,又選了舍勒彼雅和哈沙彼雅,以及同他們在一起的十個兄弟,
25 Nikapima kwa ajili yao fedha, dhahabu na vyombo na sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu kwa wafalme, washauri, na wakuu na Israel wote walitoa kwa hiari.
把金銀和器皿,即君王和他的謀、首長,以及在那裏所有的以色列人,奉獻給我們天主殿的禮品,一一衡量了交給了他們。
26 Hivyo nikawapimia kwenye mikono yao talanta za fedha mia sita na hamsini, talanta mia moja ya vyombo vya fedha, talanta mia moja za dhahabu.
我衡量了交在他們手中的,有銀子六百五十「塔冷通」,銀器一百「塔冷通」,金子一百「塔冷通」;
27 vifaa ishirini vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na thamani ya elfu moja darkoni na vitu viwili vya sanamu vivyonakshiwa kama dhahabu ya kupendeza.
還有金碗二十個,值一千「達理克」;發亮的銅器二個,貴如黃金。
28 Kisha nikawaambia, mmewekwa wakfu kwa Bwana, na hivi vyombo pia na fedha na dhahabu, vimetolewa kwa hiari kwa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu.
我向他們說:「你們在上主前是聖的,器皿也是聖的,金銀是自願獻於上主你們祖先的天主,作禮品的。
29 mviangalie na kuvitunza hadi mtakapovipima mbele ya makuhani, walawi, na viongozi wa wataangulizi wa jamii ya Israel katika Yerusalem katika nyumba ya Mungu.
你們要謹慎護守,直到在耶路撒冷,在上主殿宇的庫房內,當著司祭和肋未人的首領,以及以色列眾族長的面,衡量交清為止」。
30 Makuhani na walawi walikubali vipimo vya fedha na dhahabu na vyombo kwa ajili ya kuvichukua na kuvipeleka Yerusalem, kwenye nyumba ya Mungu wetu.
司祭自己和肋未人,就把數點過的金銀和器皿收下,帶到耶路撒冷我們天主的殿內。
31 Tukatoka kwenda mto Ahava siku ya kumi na mbili katika mwezi wa kwanza kwenda Yerusalem, Mkono wa Mungu ulikuwa pamoja nasi, ulitulinda na mikono ya adui na wale waliotaka kutufanyia fujo njiani.
一月十二日,我們從阿哈瓦河起程赴耶路撒冷,賴我們天主的手扶助,我們一路脫免了仇人和暗害者的手,
32 Hivyo tukaingia Yerusalem na kukaa humo kwa siku tatu.
平安到了耶路撒冷,在那裏休息了三天o
33 Tena siku ya nne fedha na dhahabu na vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa mikono ya Meremothi mwana wa Uria kuhani, na pamoja nao alikuwepo Eleazari mwana wa Finehasi, Yozabadi mwana wa Yeshua, na Noadia mwana wa Binui, Walawi.
第四日,在我們天主是殿內,衡量了金銀和器皿,交給了烏利雅的兒子默勒摩特司祭,同他在一起的,還有丕乃哈斯的兒子厄肋阿匝爾,以及肋未人耶叔亞的兒子約匝巴得,和彼奴依的兒子諾阿狄雅,
34 Idadi na uzito wa kila kitu uliweza kujulikana. Uzito wote uliweza kuandikwa katika kipindi hicho
每件點過稱過,即將總數記錄下來。
35 Na wale waliokuja kutoka matekani, watu wa uhamisho, wakatoa sadaka ya kutekezwa kwa Mungu wa Israel, kondoo tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi wa kiume kumi na wawili kama sadaka ya dhambi. Zote zilikuwa sadaka za kutekezwa kwa ajili ya Yahwe.
當時被擄充軍回來的子民,向以色列的天主奉獻了全燔祭,為全以色列奉獻了牛犢十二頭,公綿羊九十六隻,羔羊七十二隻,作贖罪祭的公山羊十二隻:這一切都獻給上主作全燔祭。
36 Tena wakawapa amri za mfalme kwa wakuu wa wafalme na wakuu katika mji ngambo ya mto, na wakawasaidia watu na nyumba ya Mungu.
以後,他們向君王的州長和河西諸省長,呈上君王的諭令;他們便協助民眾,資助天主的殿宇。