< Ezra 8 >

1 Hawa ni viongozi wa watangulizi familia ambazo zilitoka babeli pamoja nami kipindi cha utawala wa mfalme Artashasta.
He rhoek kah a napa boeilu neh a khuui he Babylon lamloh manghai Artaxerxes ram tue vaengah kamah neh aka mael rhoek ni.
2 Mwana wa Finehasi, Gershoni. Mwana wa Ithamari, Daniel. Mwana wa Daudi, Hatushi ambaye ni mwana Shekania,
Phinekha koca lamkah Gershom, Ithamar koca lamkah Daniel, David koca lamkah Hattush.
3 ambaye pia ni mwana wa Paroshi na Zekaria na pamoja na yeye kulikuwa na wanaume mia moja na hamsini walitajwa kwenye idadi ya ukoo wake.
Shekaniah koca lamkah, Parosh koca lamkah Zekhariah neh a taengkah a khuui la tongpa ya sawmnga lo.
4 Wana wa Pahath- Moabu, Eliehoenai mwana wa Zerahia na pamoja naye wanaume mia mbili. Wana wa
Pahathmoab koca lamkah Zerahiah capa Elioenai neh a taengkah tongpa yahnih.
5 Shekaniah, Yahazieli na pamoja naye wanaume mia tatu. Wana wa
Jahaziel capa Shekaniah koca neh a taengkah tongpa ya thum.
6 adini, Ebedi mwana wa Yonathani na pamoja naye waliorodheshwa wanaume hamsini.
Adin koca lamloh Jonathan capa Ebed neh a taengkah tongpa sawmnga.
7 Wana wa Elamu, Yeshaya mwana wa Athalia na pamoja naye waliorodheshwa wanaume sabini.
Elam koca lamloh Athaliah capa Isaiah neh a taengkah tongpa sawmrhih.
8 Wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli na pamoja naye waliorodheshwa wanaume themanini.
Shephatiah koca lamloh Michael capa Zebadiah neh a taengkah tongpa sawmrhet.
9 Wana wa Yoabu, Obadia mwana wa Yehieli pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia mbili kumi na wanane. Wana wa Binui,
Joab koca lamloh Jehiel capa Obadiah neh a taengkah tongpa yahnih hlai rhet.
10 Sheromithi, mwana wa Yosifia na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na sitini.
Shelomith koca lamloh Josiphiah capa neh a taengkah tongpa ya sawmrhuk.
11 Wana wa Bebai, zekaria mwana wa Bebai na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume ishirini na wanane.
Bebai koca lamloh Bebai capa Zekhariah neh a taengkah tongpa pakul parhet.
12 Wana wa Azgadi, Yohana mwana wa Hakatani na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na kumi.
Azgad koca lamloh Hakkatan capa Johanan neh a taengkah tongpa ya parha.
13 Wale wana wa Adonikamu wakaja baadaye. Na haya ndio majina yao: Elifereti, Yeueli na Shemaya na pamoja na wao wakaja wanaume sitini.
Lamhnuk kah Adonikam koca lamkah khaw a ming la Eliphelet, Jeuel, Shemaiah neh amih taengkah tongpa sawmrhuk.
14 Wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa zabudi na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume sabini
Bigvai koca lamloh Uthai, Zabud, Zakkuur neh a taengkah tongpa sawmrhih.
15 Nikawakusanya wasafiri bandari iliyokuwa inaelekea Ahava. Tukaweka kambi muda wa siku tatu, nikawachunguza watu na makuhani, lakini sikuwaona wana wa Levi miongoni.
Amih te Ahava la aka pawk tuiva ah ka tingtun sak tih hnin thum pahoi ka rhaeh uh. Te vaengah pilnam khui neh khosoih khuikah te ka yakming dae Levi koca rhoek lamkah ka hmu pawh.
16 Hivyo nikatuma kwa Eliezeri, arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu na Elnathani na Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na kwa Yoyaribu na Elnathani ambao walikuwa ni walimu.
Te phoeiah boeilu rhoek Eliezer ham, Ariel ham, Shemaiah ham neh, Elnathan ham neh Jarib ham khaw, Elnathan ham neh Nathan ham khaw, Zekhariah ham neh Meshullam ham khaw, aka yakming thai Joiarib neh Elnathan ham khaw ka tueih.
17 Tena nikawatuma kwa Ido, kiongozi wa Kasifia. Nikawaaambia kile watachomweleza Ido. na jamaa zake, watumishi wa Hekalu waliishi Kasifia, kwa hiyo, kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu.
Te te ka khuen sak tih Kasiphia hmuen kah boeilu Iddo taengah ka uen. A manuca Iddo taengah thui ham ol te amih ka dongah ka khueh pah coeng. Kaimih kah Pathen im ah aka thohtat te kaimih taengla hang khuen ham te Kasiphia hmuen kah tamtaeng rhoek a khueh.
18 Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu aliyeitwa Ishekeli. Alikuwa mwana wa mali Mwana wa Levi mwana wa Israel. Akaja na wana kumi na wanane na ndugu,
Kaimih kah Pathen kah kut he kaimih soah a then dongah ni kaimih taengla lungming hlang ha pawk. Israel ca Mahli koca lamloh Levi capa khaw, Sherebiah neh anih koca rhoek khaw a boeinaphung hlai rhet lo.
19 pamoja naye Hashabia, pamoja na Yeshaya wa wana wa Merari na ndugu zake na wana wake jumla watu ishirini wote. Miongoni
Hashabiah neh a taengkah a manuca Merari koca Isaiah. Te dongah amih koca te pakul lo.
20 mwao walichaguliwa kutumika katika Hekalu, ambapo Daudi na wakuu waliwapa kuwahudumia walawi: mia mbili ishirini kila mmoja wao aliagizwa kwa majina.
Tamtaeng rhoek te khaw David neh mangpa rhoek loh Levi kah thothuengnah dongkah ham a paek. Tamtaeng boeih a ming neh yahnih pakul la mingpha ngawn.
21 Tena nikatangaza kufunga mto Ahava ili kujinyenyekeza mbele za Mungu, kutafuta njia iliyoonyoka kutoka kwake kwa ajili yetu, watoto wetu na mali zetu,
Kaimih kah Pathen mikhmuh ah yalh sak ham neh amah te toem hamla, kaimih ham neh ka ca rhoek ham khaw, kaimih kah khuehtawn boeih ham longpuei thuem sak ham khaw, Ahava tuiva ah yaehnah pahoi ka doek.
22 Niliona aibu kumwomba mfalme kwa ajili ya jeshi au mpandafarasi kwa ajili ya kutulinda tunapokuwa njiani, tangu tumemwambia mfalme “mkono wa Mungu uko pamoja na wote wanaomtafuta kwa mazuri. lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye.
Manghai taengah tah, “Kaimih kah Pathen kut he amah aka tlap boeih soah then dae amah aka hnawt boeih soah a sarhi neh a thintoek om,” ka ti nah tih ka thui coeng dongah longpueng kah thunkha taeng lamloh kaimih aka bom la manghai taengah tatthai neh marhang caem bih ham ka yak.
23 Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hilo.
He ham he ka yaeh uh tangloeng tih ka Pathen taengah aka toem uh daengah kaimih he n'rhoi.
24 Tena nikachagua watu kumi na wawili kutoka kwa kuhani: Sherebia na Hashabia na ndugu zao wengine kumi.
Te vaengah khosoih mangpa rhoek lamkah te Sherebiah, Hashabiah neh hlai nit la ka hoep. Amih te a boeinaphung ah parha lo.
25 Nikapima kwa ajili yao fedha, dhahabu na vyombo na sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu kwa wafalme, washauri, na wakuu na Israel wote walitoa kwa hiari.
Amih ham te cak neh sui khaw mah Pathen im kah khosaa hnopai te ka khiing khaw ka khiing pah coeng. Te te manghai neh a olrhoep rhoek loh, a mangpa rhoek neh Israel aka pumphoe boeih loh a tloeng uh.
26 Hivyo nikawapimia kwenye mikono yao talanta za fedha mia sita na hamsini, talanta mia moja ya vyombo vya fedha, talanta mia moja za dhahabu.
Amih kut ah cak talent rhui ya rhuk sawmnga, cakben hnopai talent yakhat, sui talent yakhat ka khiing pah.
27 vifaa ishirini vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na thamani ya elfu moja darkoni na vitu viwili vya sanamu vivyonakshiwa kama dhahabu ya kupendeza.
Sui bael pakul, suitangka la thawngkhat lo. Rhohum hnopai cim khaw a rhaep la then tih sui bangla a naikap.
28 Kisha nikawaambia, mmewekwa wakfu kwa Bwana, na hivi vyombo pia na fedha na dhahabu, vimetolewa kwa hiari kwa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu.
Te vaengah amih te, “Nangmih tah BOEIPA taengah hlangcim neh hmuencim hnopai ni. Cak neh sui khaw na pa rhoek kah Pathen BOEIPA taengkah kothoh paek coeng ni.
29 mviangalie na kuvitunza hadi mtakapovipima mbele ya makuhani, walawi, na viongozi wa wataangulizi wa jamii ya Israel katika Yerusalem katika nyumba ya Mungu.
Jerusalem BOEIPA im, imkhan kah khosoih mangpa rhoek, Levi rhoek, Israel napa rhoek kah mangpa mikhmuh ah n'khiing hil hak uh lamtah ngaithuen uh,” ka ti nah.
30 Makuhani na walawi walikubali vipimo vya fedha na dhahabu na vyombo kwa ajili ya kuvichukua na kuvipeleka Yerusalem, kwenye nyumba ya Mungu wetu.
Te phoeiah tah khosoih rhoek neh Levi rhoek loh cak neh sui neh hnopai a khiing te Jerusalem ah kaimih kah Pathen BOEIPA im la thak ham a doe uh.
31 Tukatoka kwenda mto Ahava siku ya kumi na mbili katika mwezi wa kwanza kwenda Yerusalem, Mkono wa Mungu ulikuwa pamoja nasi, ulitulinda na mikono ya adui na wale waliotaka kutufanyia fujo njiani.
Jerusalem la caeh ham te hla khat hnin hlai nit vaengah Ahava tuiva lamloh hlah uh. Te vaengah kaimih kah Pathen kut tah kaimih soah om tih kaimih he longpueng kah thunkha neh rhongngol kut lamloh n'huul.
32 Hivyo tukaingia Yerusalem na kukaa humo kwa siku tatu.
Jerusalem ka pha uh van neh hnin thum pahoi ka duem uh.
33 Tena siku ya nne fedha na dhahabu na vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa mikono ya Meremothi mwana wa Uria kuhani, na pamoja nao alikuwepo Eleazari mwana wa Finehasi, Yozabadi mwana wa Yeshua, na Noadia mwana wa Binui, Walawi.
A hnin li dongah tah ka Pathen im ah cak, sui neh hnopai te khosoih Uriah capa Meremoth kut dongla ka khiing pa uh. Anih taengah Phinekha capa Eleazar, Jeshua capa Jozabad, Levi Binnui capa Noadiah khaw om.
34 Idadi na uzito wa kila kitu uliweza kujulikana. Uzito wote uliweza kuandikwa katika kipindi hicho
A khiing boeih kah a tarhing neh te vaeng tue kah a khiing te boeih a thum sak.
35 Na wale waliokuja kutoka matekani, watu wa uhamisho, wakatoa sadaka ya kutekezwa kwa Mungu wa Israel, kondoo tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi wa kiume kumi na wawili kama sadaka ya dhambi. Zote zilikuwa sadaka za kutekezwa kwa ajili ya Yahwe.
Tamna lamkah aka mael vangsawn koca rhoek loh Israel Pathen taengah hmueihhlutnah a nawn uh. BOEIPA taengkah hmueihhlutnah boeih he Israel pum ham vaito hlai nit, tutal sawmko parhuk, tuca sawmrhih parhih, boirhaem maae tal hlai nit lo.
36 Tena wakawapa amri za mfalme kwa wakuu wa wafalme na wakuu katika mji ngambo ya mto, na wakawasaidia watu na nyumba ya Mungu.
Manghai kah olkhan rhoek te manghai kah khoboei rhoek taeng neh tuiva rhalvangan kah rhalboei taengla a paek uh. Te dongah pilnam neh Pathen im te khaw a talong uh.

< Ezra 8 >