< Ezra 7 >

1 Sasa baada ya hili, kipindi cha kutawala Artashasta mfalme wa Uajemi, Ezra akaja kutoka Babeli. Watangulizi wa Ezra walikuwa: Seraya, Azaria, Hilkia,
Forsothe aftir these wordis Esdras, the sone of Saraie, sone of Azarie, sone of Helchie,
2 Shalumu, Sadoki, Ahitubu,
sone of Sellum, sone of Sadoch, sone of Achitob,
3 Amaria, Azaria, Merayothi,
sone of Amarie, sone of Azarie,
4 Zerahia, Uzi, Buki,
sone of Maraioth, sone of Saraie, sone of Ozi,
5 Abishaua, Fineasi, Eliazari ambaye ni mtoto wa Haruni kuhani mkuu.
sone of Bocci, sone of Abisue, sone of Phynees, sone of Eleazar, sone of Aaron, preest at the bigynnyng, was in the rewme of Artaxerses, king of Persis; thilke Esdras stiede fro Babiloyne,
6 Ezra akaja kutoka Babeli na alikuwa mtalaam mwandishi wa sheria ya Musa, ambayo Yahwe, Mungu wa Israel aliwapa. Mfalme akampatia kila kitu alichooomba kwa kuwa mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye.
and he was a swift writere in the lawe of Moises, which the Lord God of Israel yaf; and the kyng yaf to hym al his axyng, by the goode hoond of his Lord God on hym.
7 Baadhi ya wazao wa Israel, na makuhani, walawi, waimbaji, walinzi, na wale waliochaguliwa kuhudumu katika Hekalu pia wakaenda Yerusalem katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta.
And there stieden of the sones of Israel, and of the sones of preestis, and of the sones of dekenes, and of the syngeris, and of the porteris, and of Nathyneis, `in to Jerusalem in the seuenthe yeer of Artaxerses, kyng.
8 Naye akafika Yerusalem mwezi wa tano kama mwaka huo.
And thei camen in to Jerusalem in the fyuethe monethe; thilke is the seuenthe of the kyng.
9 Naye akaondoka Babeli siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza. Ilikuwa siku ya kwanza ya mwezi wa tano ambapo alifika Yerusalem, kwa kuwa mkono mzuri wa Mungu ulikuwa pamoja naye.
For in the firste dai of the firste monethe he bigan to stie fro Babiloyne, and in the firste dai of the fyuethe monethe he cam in to Jerusalem, bi the good hond of his God on hym. Forsothe
10 Ezra alikuwa ametoa moyo wake kusoma, kutenda, na kufundisha maagizo na sheria za Yahwe.
Esdras made redi his herte to enquere the lawe of the Lord, and to do, and teche in Israel the comaundement and doom.
11 Hii ndio amri ambayo mfalme Artashasta alimpa Ezra kuhani na mwandishi wa sheria za Yahwe na maagizo kwa Israeli.
Sotheli this is the saumpler of the pistle of the comaundement, which the kyng Artaxerses yaf to Esdras, preest, writere lerud in the wordis and comaundementis of the Lord, and in hise cerymonyes in Israel.
12 Mfalme wa wafalme Artashasta, kwa kuhani Ezra, mwandishi wa sheria za Mungu wa mbinguni.
Artaxerses, kyng of kyngis, desirith helthe to Esdras, the preest, moost wijs writere of the lawe of God of heuene.
13 Ninatoa amri kwamba mtu yeyote Israel katika ufalme wangu pamoja na makuhani na walawi ambao wanatamani kwenda Yerusalem, wanaweza kwenda pamoja na wewe.
It is demyd of me, that whom euer it plesith in my rewme of the puple of Israel, and of hise preestis, and dekenes, to go in to Jerusalem, go he with thee.
14 Mimi mfalme na washauri wangu saba, tunawatuma wote kwenda kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu, ambayo iko mkononi mwako.
For thou art sent fro the face of the kyng and of hise seuene counseleris, that thou visite Judee and Jerusalem in the lawe of thi God, which is in thin hond;
15 Itakupasa kuleta Dhahabu na fedha ambazo walitoa kwa ajili ya Mungu wa Israel, ambaye makazi yake ni Yerusalem.
and that thou bere siluer and gold, which the kyng and hise counseleris han offrid bi fre wille to God of Israel, whos tabernacle is in Jerusalem.
16 Fedha iliyotolewa kwa hiari na Dhahabu yote iliyotolewa Babeli pamoja na matoleo ya hiari waliotoa watu na makuhani kwa ajili ya nyumba ya Mungu katika Yerusalem.
And take thou freli al siluer and gold, which euer thou fyndist in al the prouynce of Babiloyne, and the puple wole offre, and of preestis that offriden bi fre wille to the hows of her God, which is in Jerusalem;
17 Basi ununue vyote sadaka ya kondoo, beberu, kondoo, unga na kinywaji, uvitoe kwenye madhabahu ambayo ni nyumba ya Mungu wako katika Yerusalem.
and bie thou bisili of this monei calues, rammes, lambren, and sacrifices, and moiste sacrifices of tho; and offre thou tho on the auter of the temple of youre God, which temple is in Jerusalem.
18 Fanya hivyo pamoja na sehemu ya fedha na dhahabu, vyovyote utakavyoona inakupendeza wewe na ndugu zako, kumpendeza Mungu.
But also if ony thing plesith to thee, and to thi britheren, for to do of the residue siluer and gold, do ye bi the wille of youre God;
19 Viweke vitu vilivyotolewa kwa hiari mbele yako kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu Yerusalem.
also bitake thou in the siyt of God in Jerusalem the vessels, that ben youun in to the seruyce of the hows of thi God.
20 Kitu chochote kingine ambacho kinahitajika kwenye nyumba ya Mungu wako ambacho unahitaji, Gharama yake itatoka kwenye hazina yangu.
But also thou schalt yyue of the tresouris of the kyng, and of the comyn arke, `ethir purse, and of me `othere thingis, that ben nedeful in the hows of thi God, as myche euere as is nedeful, that thou spende.
21 Mimi mfalme Artashasta, natoa amri kwa wotunza hazina wote mjini ngambo ya mto, chochote Ezra atakachoomba kwenu anapaswa kupewa chote,
Y Artaxerses, kyng, haue ordeyned, and demyd to alle the keperis of the comyn arke, that ben biyende the flood, that what euer thing Esdras, the preest, writere of the lawe of God of heuene, axith of you, ye yyue with out tariyng,
22 hata zaidi ya talanta mia moja za fedha, vipimo mia vya ngano, bathi mia za divai na bathi mia za mafuta, pia na chumvi isiyo na kikomo.
`til to an hundrid talentis of siluer, and to an hundrid `mesuris clepid chorus of wheete, and til an hundrid mesuris clepid bathus of wyn, and `til to an hundrid `mesuris clepid bathus of oile, salt forsothe without mesure.
23 Chochote ambacho kimeamriwa kutoka kwa Mungu wa mbinguni, kifanye hicho kwa utukufu wa nyumba yake. Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?
Al thing that perteyneth to the custom, `ethir religioun, of God of heuene, be youun diligentli in the hows of God of heuene, lest perauenture he be wrooth ayens the rewme of the kyng and of hise sones.
24 Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru wowote au kodi kwa kuhani, mlawi, mwimbaji, mlinzi au kwa mtu aliyechaguliwa kwenye huduma ya Hekalu na mtumishi katika nyumba ya Mungu.
Also we make knowun to you of alle the preestis, and dekenes, syngeris, and porteris, and Nathyneis, and mynystris of the hows of this God, `that ye han not power to put on hem tol, and tribute, and costis for keperis of the lond.
25 Ezra, kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa kuwahudumia watu katika mji ngambo ya mto na kusaidia yeyote anayejua sheria za Mungu wako. Pia inakubidi ufundishe wale ambao hawajui sheria.
Forsothe thou, Esdras, bi the wisdom of thi God, which is in thin hond, ordeyne iugis and gouernouris, that thei deme to the puple, which is biyende the flood, that is, to hem that kunnen the lawe of thi God, and the lawe of the kyng; but also teche ye freli vnkunnynge men.
26 Toa adhabu kwa yeyote asiyetii sheria ya Mungu au sheria ya mfalme, ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
And ech man, that doth not the lawe of thi God, and the lawe of the kyng diligentli, doom schal be of hym, ethir in to the deeth, ethir in to exilyng, ethir in to condempnyng of his catel, ethir certis in to prisoun. And Esdras, the writere, seide, Blissid be the Lord God of oure fadris,
27 Atukuzwe, Yahwe, Mungu wa watangulizi wetu, ambaye aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kutuza Nyumba ya Yahwe Yerusalem,
that yaf this thing in the herte of the kyng, that he schulde glorifie the hows of the Lord,
28 ambaye akaendeleza agano kwangu kwa uaminifu mbele ya mfalme, na washauri wake na wakuu wake wenye mamlaka, nilitiwa nguvu na mikono ya Yahwe, Mungu wangu, nami nikawakusanya viongozi kutoka Israel kwenda pamoja nami.
which is in Jerusalem, and bowide his mercy in to me bifor the kyng, and hise counseleris, and bifore alle the myyti princes of the kyng. And Y was coumfortid bi the hond of `my Lord God, that was in me, and Y gederide of the sones of Israel princes, that stieden with me.

< Ezra 7 >