< Ezra 6 >
1 Na mfalme dario akaamuru uchunguzi ufanyike katika nyumba ya kumbukumbu Babeli.
Alors le roi Darius donna un ordre, et l'on fouilla la maison des archives, où les trésors étaient déposés à Babylone.
2 Na katika mji wa Akmetha huko media chuo kilionekana: Kumbukumbu yake ilisema:
On trouva un rouleau à Achmetha, dans le palais qui est dans la province de Médie, et voici ce qui y était écrit pour mémoire:
3 “Katika mwaka wa kwanza mfalme Koresh, Koreshi alitoa amri kuhusu nyumba ya Mungu Yerusalem:'Na nyumba ijengwe iwe sehemu ya kutoa dhabihu, misingi yake iwekwe, urefu wake uwe sitini,
La première année du roi Cyrus, le roi Cyrus donna un ordre: En ce qui concerne la maison de Dieu à Jérusalem, que la maison soit construite, le lieu où l'on offre des sacrifices, et que ses fondations soient solidement posées, avec sa hauteur de soixante coudées et sa largeur de soixante coudées;
4 na upana wake uwe sitini, sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu moja ya mbao mpya, na gharama hizo zitalipwa kutoka nyumba ya mfalme.
avec trois rangées de grandes pierres et une rangée de bois neuf. Les dépenses seront payées sur la maison du roi.
5 Sasa vilirudishwe tena vitu vya dhahabu na fedha vilivyokuwa kwenye nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadineza alivichukua kuvipeleka Babeli kutoka kwenye Hekalu Yerusalem. Na avirudishe tena Yerusalem Hekaluni. Na utaviweka tena kwenye nyumba ya Mungu.
Que les objets d'or et d'argent de la maison de Dieu, que Nabuchodonosor a enlevés du temple de Jérusalem et transportés à Babylone, soient restaurés et ramenés dans le temple de Jérusalem, à leur place. Tu les mettras dans la maison de Dieu.
6 Sasa Tetanai, mkuu wa jimbo ngambo ya mto, Shethar - Bozenai na wenzao walio katika mji ngambo ya mto, wakajitenga,
Maintenant, Tattenaï, gouverneur de l'autre côté du fleuve, Shetharbozenaï, et tes compagnons, les Apharsacites, qui sont de l'autre côté du fleuve, vous devez rester loin de là.
7 wakaacha kazi ya nyumba ya Mungu pekee. Viongozi na wazee wa kiyahudi watajenga nyumba ya Mungu mahali pake.
Laissez l'ouvrage de cette maison de Dieu; laissez le gouverneur des Juifs et les anciens des Juifs construire cette maison de Dieu à sa place.
8 Ninatoa agizo kwamba lazima lifanyike kwa wazee wa kiyahudi wanaojenga nyumba ya Mungu: Mchango kutoka kwa mfalme ushuru ngambo ya mto, utatumika katika kuwalipa watu hawa ili kwamba kazi yao isiweze kusimama.
J'établis un décret sur ce que vous devez faire pour ces anciens des Juifs, pour la construction de cette maison de Dieu: sur les biens du roi, sur le tribut de l'autre côté du fleuve, des dépenses doivent être faites en toute diligence pour ces hommes, afin qu'ils ne soient pas gênés.
9 Chochote kitakachohitajika, ngombe wachanga, kondoo au kondoo wa sadaka ya kutekezwa kwa ajili ya Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kadri ya maagizo ya makuhani wa Yerusalem - wapatie vitu hivi kila siku bila kikomo.
Ce dont ils ont besoin, jeunes taureaux, béliers et agneaux, pour les holocaustes au Dieu des cieux, ainsi que du blé, du sel, du vin et de l'huile, selon la parole des prêtres qui sont à Jérusalem, on le leur donnera chaque jour sans faute,
10 fanya hivyo ili kwamba wataleta sadaka kwa Mungu wa mbinguni na wataomba kwa ajili yangu mfalme na watoto wangu.
afin qu'ils puissent offrir des sacrifices d'une agréable odeur au Dieu des cieux, et prier pour la vie du roi et de ses fils.
11 Mimi nina agiza kwamba yeyote atakayevunja amri hii, Chuma kitolewe katika nyumba yake. Na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa takataka kwa sababu hii.
J'ai aussi décrété que celui qui altérera ce message, qu'on arrache une poutre de sa maison, qu'on le soulève et qu'on l'attache dessus, et que sa maison devienne un tas de fumier à cause de cela.
12 Mungu huyu aliyesababisha jina lake kuwepo atamwondoa mfalme au mtu atakayebadili agizo hili au kuondosha nyumba ya Mungu katika Yerusalem. Mimi Dario nimeagiza hili, lifanyike kwa makini.
Que le Dieu qui y a fait résider son nom renverse tous les rois et les peuples qui tendent la main pour altérer ceci, pour détruire cette maison de Dieu qui est à Jérusalem. Moi, Darius, j'ai pris un décret. Que cela soit fait avec toute la diligence voulue.
13 Na kwa sababu ya amri iliyotumwa na mfalme Dario, Tatenai kiongozi mji ngambo ya mto na Sheshthar -Bozenai na wenzao. wakafanya kila kitu kama Mfalme Dario alivyoagiza.
Alors Tattenai, gouverneur de l'autre côté du fleuve, Shetharbozenai et leurs compagnons firent tout cela avec diligence, car le roi Darius avait envoyé un décret.
14 Hivyo wazee wa kiyahudi wakajenga kama Hagai na Zakaria walivyoelekeza kwa kutabiri. Wakajenga kama amri ilivyotolewa na Mungu wa Israel na Koreshi, Dario na Artashasta mfalme wa Uajemi.
Les anciens des Juifs bâtirent et prospérèrent, grâce à la prophétie d'Aggée, le prophète, et de Zacharie, fils d'Iddo. Ils la bâtirent et l'achevèrent, selon le commandement du Dieu d'Israël et selon le décret de Cyrus, de Darius et d'Artaxerxès, roi de Perse.
15 Nyumba ikakamilika siku ya tatu ya mwezi wa adari, katika mwaka wa sita wa kutawala mfalme Dario.
Cette maison fut achevée le troisième jour du mois d'Adar, la sixième année du règne du roi Darius.
16 watu wa Israel, makuhani, walawi na watu waliobaki wa uhamisho wakasheherekea kuweka wakfu nyumba ya Mungu kwa furaha.
Les enfants d'Israël, les sacrificateurs, les Lévites et le reste des enfants de la captivité, célébrèrent avec joie la dédicace de cette maison de Dieu.
17 Wakatoa ngombe mia moja, kondoo mia moja na kondoo wengine mia nne kwa ajili ya kuweka wakfu nyumba ya Mungu. Mbuzi wa kiume kumi na wawili walitolewa kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya waisrael wote kila kabila katika Israel.
Ils offrirent à la dédicace de cette maison de Dieu cent taureaux, deux cents béliers, quatre cents agneaux, et en sacrifice pour le péché pour tout Israël, douze boucs, selon le nombre des tribus d'Israël.
18 Pia wakawapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo wa kazi ya Mungu katika Yerusalem. Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa.
Ils établirent les sacrificateurs selon leurs divisions et les Lévites selon leurs classes, pour le service de Dieu qui est à Jérusalem, comme il est écrit dans le livre de Moïse.
19 Hivyo wale waliokuwa utumwani wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
Les enfants de la captivité célébrèrent la Pâque le quatorzième jour du premier mois.
20 Makuhani na walawi wakajitakasa wenyewe na wakachinja pasaka ya sadaka kwa ajili ya waliokuwa mateka wakiwemo na wao wenyewe.
Comme les prêtres et les lévites s'étaient purifiés ensemble, ils étaient tous purs. Ils immolèrent la Pâque pour tous les enfants de la captivité, pour leurs frères les prêtres et pour eux-mêmes.
21 watu wa Israel ambao walikula nyama ya Pasaka ni wale waliorudi kutoka uhamishoni na walikuwa wamejitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi ile na kumchagua Yahwe, Mungu wa Israel.
Les enfants d'Israël revenus de la captivité et tous ceux qui s'étaient séparés de la souillure des nations du pays pour chercher Yahvé, le Dieu d'Israël, mangèrent,
22 Walifurahi na kushangilia siku kuu ya mikate isiyochacha kwa siku saba, kwa sababu Yahwe amewarejeshea furaha na ameugeuza moyo wa mfalme wa Ashuru, na kuwatia nguvu kwa kazi ya nyumba, nyumba ya Mungu wa Israel.
et célébrèrent avec joie la fête des pains sans levain pendant sept jours, car Yahvé les avait rendus joyeux et avait tourné vers eux le cœur du roi d'Assyrie, pour fortifier leurs mains dans l'œuvre de Dieu, la maison d'Israël.