< Ezra 6 >

1 Na mfalme dario akaamuru uchunguzi ufanyike katika nyumba ya kumbukumbu Babeli.
Amaiba: le, hina bagade Da: liase da ea fidisu dunu ilia eagene meloa dedei Ba: bilone moilai bai bagade amo ganodini dialu, amo hogoma: ne sia: i.
2 Na katika mji wa Akmetha huko media chuo kilionekana: Kumbukumbu yake ilisema:
Be ilia da Ba: bilone moilai bai bagade amo ganodini amo meloa dedei hame ba: i. Ilia da Egeba: da: na moilai bai bagade (Midia soge amo ganodini dialu) amoga bioi meloa dialebe ba: i. Amo ganodini, sia: amane dedei dialebe ba: i.
3 “Katika mwaka wa kwanza mfalme Koresh, Koreshi alitoa amri kuhusu nyumba ya Mungu Yerusalem:'Na nyumba ijengwe iwe sehemu ya kutoa dhabihu, misingi yake iwekwe, urefu wake uwe sitini,
“Hina bagade Sailase da ea ode bisili ouligisu hou amoga, ilia da Yelusalemega Debolo diasu gobele salasu hamomusa: bu gaguma: ne sia: i. Amo Debolo gagusia, ea defei da 27 mida sedade defei amola 27 mida ba: de defei gaguma: ne sia: i.
4 na upana wake uwe sitini, sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu moja ya mbao mpya, na gharama hizo zitalipwa kutoka nyumba ya mfalme.
E da Debolo dobea agoane gaguma: ne sia: i. Igi dada: lesu udiana hagudu legele bu ifa dada: lesu afae legema. Hawa: hamosu liligi amo bidi lasu muni huluane Besia eagene ilia fawane da imunu.
5 Sasa vilirudishwe tena vitu vya dhahabu na fedha vilivyokuwa kwenye nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadineza alivichukua kuvipeleka Babeli kutoka kwenye Hekalu Yerusalem. Na avirudishe tena Yerusalem Hekaluni. Na utaviweka tena kwenye nyumba ya Mungu.
Amola gouli amola silifa ofodo, amo musa: Nebiuga: denese da Yelusaleme Debolo diasuga lale, Ba: bilone moilai bai bagadega gaguli asi, amo huluane ilia da amo liligi ea sogebidafa Yelusaleme Debolo amoga bu gaguli masa!” ilia da Sailase ea sia: agoane dedei dialebe ba: i.
6 Sasa Tetanai, mkuu wa jimbo ngambo ya mto, Shethar - Bozenai na wenzao walio katika mji ngambo ya mto, wakajitenga,
Amalalu, Da: liase da Yu dunuma sia: adole iasi, “Na da dili, Da: denai (Iufala: idisi Hano Guma: dini soge eagene ouligisu dunu), Sisabosinai amola dilia na: iyado ouligisu dunu Guma: dini Iufala: idisi soge ganodini esala, dilima meloa dedesa. ‘Debolo diasu gadenene maedafa masa.
7 wakaacha kazi ya nyumba ya Mungu pekee. Viongozi na wazee wa kiyahudi watajenga nyumba ya Mungu mahali pake.
Amola, Debolo gagusu hou mae migelema. Yuda eagene ouligisu dunu amola Yu fi ouligisu dunu da Gode Ea Debolo diasu amo ea musa: sogebi amoga bu gagumu da defea.
8 Ninatoa agizo kwamba lazima lifanyike kwa wazee wa kiyahudi wanaojenga nyumba ya Mungu: Mchango kutoka kwa mfalme ushuru ngambo ya mto, utatumika katika kuwalipa watu hawa ili kwamba kazi yao isiweze kusimama.
Dilia amo dunu Debolo bu gaguma: ne fidima. Amo hawa: hamosu da mae yolele hedolo hehenane hawa: hamoma: ne, ilima muni amo ninia eagene muni Guma: dini Iufala: idisi sogega laha amo ilima hedolo ima.
9 Chochote kitakachohitajika, ngombe wachanga, kondoo au kondoo wa sadaka ya kutekezwa kwa ajili ya Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kadri ya maagizo ya makuhani wa Yerusalem - wapatie vitu hivi kila siku bila kikomo.
Eso huluane, mae fisili, dilia Yelusaleme gobele salasu dunu, ilia hanai dilima adolalu, amo defele ilima ima. Amo da bulamagau mano gawali o sibi o sibi mano Hebene Godema gobele salimusa: o widi o deme o waini o olife susuligi.
10 fanya hivyo ili kwamba wataleta sadaka kwa Mungu wa mbinguni na wataomba kwa ajili yangu mfalme na watoto wangu.
Yu dunu da Hebene Gode Ema gobele salasu Ea hanai defele Ema hamomusa: amola Gode da na amola na dunu mano hahawane dogolegele fidima: ne, ilia da Ema nodone sia: ne gadoma: ne, agoane hamoma.
11 Mimi nina agiza kwamba yeyote atakayevunja amri hii, Chuma kitolewe katika nyumba yake. Na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa takataka kwa sababu hii.
Na da sia: eno sia: sa. Nowa dunu da amo sia: hame nabasea, dilia ifa ea diasuga dialu fadegale fasili, amalu agesone, amalu amo dunu ea da: i hagomoa soma. Amola ea diasu go da isu salasu hamoma.
12 Mungu huyu aliyesababisha jina lake kuwepo atamwondoa mfalme au mtu atakayebadili agizo hili au kuondosha nyumba ya Mungu katika Yerusalem. Mimi Dario nimeagiza hili, lifanyike kwa makini.
Gode da osobo bagade dunu ilia Ema nodone sia: ne gadoma: ne, Yelusaleme moilai bai bagade amo ilegei dagoi. Amaiba: le, nowa dunu da na sia: dedei amo hame nabasea, o Debolo diasu wadela: musa: dawa: sea, Gode da amo dunu wadela: mu da defea. Na, Da: liase da amo sia: sia: iba: le, dilia amo sia: amoma noga: le fa: no bobogema.’”
13 Na kwa sababu ya amri iliyotumwa na mfalme Dario, Tatenai kiongozi mji ngambo ya mto na Sheshthar -Bozenai na wenzao. wakafanya kila kitu kama Mfalme Dario alivyoagiza.
Amalalu, Da: denai (eagene hina dunu), Sidabosinai amola ela na: iyado ouligisu dunu, ilia da Da: liase ea sia: defele hamoi.
14 Hivyo wazee wa kiyahudi wakajenga kama Hagai na Zakaria walivyoelekeza kwa kutabiri. Wakajenga kama amri ilivyotolewa na Mungu wa Israel na Koreshi, Dario na Artashasta mfalme wa Uajemi.
Yu ouligisu dunu da Debolo diasu gagusu hehenane hawa: hamonanu. Balofede dunu Ha: ga: iai amola Segalia da ilia dogo denesima: ne fidisu. Amalalu, Isala: ili Gode amola Besia hina bagade dunu udiana amo Sailase, Da: liase amola Adasegesisi, ilia hamoma: ne sia: i defele, Debolo diasu da gagui dagoi ba: i.
15 Nyumba ikakamilika siku ya tatu ya mwezi wa adari, katika mwaka wa sita wa kutawala mfalme Dario.
Eso udiana amo oubi ea dio amo Ada, amoga, ilia Debolo diasu gaguli dagoi. Amo ode da Da: liase ea Ba: bilone soge ouligisu ode gafeyale gidigi.
16 watu wa Israel, makuhani, walawi na watu waliobaki wa uhamisho wakasheherekea kuweka wakfu nyumba ya Mungu kwa furaha.
Amalalu, Isala: ili dunu huluane, amo gobele salasu dunu, Lifai dunu amola mugululi asi buhagi dunu huluane da hahawane bagade Debolo diasu Godema sia: ne gadosu hamomusa: , modale ligiagale doasi.
17 Wakatoa ngombe mia moja, kondoo mia moja na kondoo wengine mia nne kwa ajili ya kuweka wakfu nyumba ya Mungu. Mbuzi wa kiume kumi na wawili walitolewa kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya waisrael wote kila kabila katika Israel.
Amo hou hamoma: ne, ilia da bulamagau 100 agoane, sibi 200 agoane amola sibi mano 400 agoane, gobele salasu hamoma: ne iasu. Amola, Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu da goudi fagoyale gala. Amo da goudi afae da Isala: ili fi afae hi gagaia gaguli iasu.
18 Pia wakawapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo wa kazi ya Mungu katika Yerusalem. Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa.
Amola Mousese ea sema buga ganodini dedei defele, ilia gobele salasu dunu amola Lifai dunu ilima Debolo ouligisu hou Yelusaleme amo ganodini olelei.
19 Hivyo wale waliokuwa utumwani wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
Mugululi asi buhagi dunu da eso14 oubi age amoga, amola ode ageyadu amoga ilia da buhagi - amo esoga ilia da Baligisu Lolo mai.
20 Makuhani na walawi wakajitakasa wenyewe na wakachinja pasaka ya sadaka kwa ajili ya waliokuwa mateka wakiwemo na wao wenyewe.
Gobele salasu dunu amola Lifai dunu da ilia ledo huluane dodofei amola ilia sema defele ledo hame agoai ba: i. Amola Lifai dunu da ilisu, gobele salasu dunu amola dunu huluane da mugululi asili buhagi, amo huluane ilia gobele salasu hamoma: ne, ohe fi medole legei.
21 watu wa Israel ambao walikula nyama ya Pasaka ni wale waliorudi kutoka uhamishoni na walikuwa wamejitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi ile na kumchagua Yahwe, Mungu wa Israel.
Isala: ili dunu mugululi asi buhagi dunu amola musa: Gode Ea hou hame lalegagui ilia da dunu Isala: ili soge amo ganodini esalu amo ilia musa: hou fisili, Isala: ili Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: sinidigi, amo dunu huluane da gobele salasu ha: i manu nasu.
22 Walifurahi na kushangilia siku kuu ya mikate isiyochacha kwa siku saba, kwa sababu Yahwe amewarejeshea furaha na ameugeuza moyo wa mfalme wa Ashuru, na kuwatia nguvu kwa kazi ya nyumba, nyumba ya Mungu wa Israel.
Eso fesuale amoga, ilia da Agi Yisidi Hame Sali Lolo Nabe hahawane hamosu. Hina Gode da fidibiba: le, Asilia hina bagade da ilima asigiba: le, e da ilia Isala: ili Gode Ea Debolo amo bu buga: le gagusu hou fidisu. Amaiba: le, Isala: ili dunu da hahawane bagade ba: i.

< Ezra 6 >