< Ezra 5 >
1 Ndipo Hagai nabii na Zakaria mtoto wa Ido nabii wakatabiri kwa jina la Mungu wa Israel kwa wayahudi wa Yuda na Yerusalem.
Les prophètes, Aggée le prophète et Zacharie le fils d'Iddo, prophétisèrent aux Juifs qui étaient en Judée et à Jérusalem. Ils leur prophétisèrent au nom du Dieu d'Israël.
2 Zerubabeli mtoto wa Shealtieli na Yoshua mtoto wa Yosadaki wakainuka na kuanza kujenga nyumba ya Mungu Yerusalem pamoja na manabii ambao waliwahamasisha wao.
Alors Zorobabel, fils de Shealtiel, et Josué, fils de Jozadak, se levèrent et commencèrent à bâtir la maison de Dieu qui est à Jérusalem; et avec eux les prophètes de Dieu, qui les aidaient.
3 Ndipo Tatenai Mkuu wa mji ngambo ya mto, Shethar - Bozenai, na mshirika wao, wakaja na kusema kwao, “Nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha ukuta?”
Au même moment, Tattenaï, gouverneur de l'autre côté du fleuve, vint vers eux, avec Shetharbozenaï et leurs compagnons, et leur demanda: « Qui vous a donné l'ordre de construire cette maison et d'achever ce mur? »
4 Vilevile walisema, “Ni majina ya watu gani wanaoshughulika na ujenzi huu?”
Ils demandèrent aussi les noms des hommes qui construisaient cette maison.
5 Lakini jicho la Mungu lilikuwa pamoja na viongozi wa Wayahudi na maadui wao hawakuweza kuwazuia. Walikuwa wakisubiri barua kutumwa kwa mfalme na amri kurudi kwao kwa ajili ya suala hili.
Mais l'œil de leur Dieu était sur les anciens des Juifs, et ils ne les firent pas cesser jusqu'à ce que l'affaire parvienne à Darius, et qu'une réponse leur soit donnée par lettre à ce sujet.
6 Hii ni nakala ya barua kwa Tatenai, mkuu wa mji ngambo ya mto, na Shethar - Bozenai na wenzao katika mji ngambo ya Mto, ambao waliwatuma kwa mfalme Dario.
Voici la copie de la lettre que Tattenaï, gouverneur de l'autre côté du fleuve, Schetharbozenaï et ses compagnons, les Apharsachites qui étaient de l'autre côté du fleuve, envoyèrent au roi Darius.
7 Wakatuma ujumbe, wakiandika kwa mfalme Dario, “Amani tele iwe kwako”
Ils lui envoyèrent une lettre, dans laquelle était écrit: Au roi Darius, toute la paix.
8 Mfalme atambue kwamba tulikwenda Yuda kwenye nyumba ya Mungu Mkuu. Imeshajengwa kwa mawe makubwa na mbao zimewekwa katika kuta. Hii kazi inafanyika kwa utaratibu na inaendelea vizuri kwa mikono yao.
Sachez au roi que nous sommes allés dans la province de Juda, à la maison du grand Dieu, qui se construit avec de grosses pierres et dont les murs sont couverts de bois. Cet ouvrage se poursuit avec diligence et prospère entre leurs mains.
9 Tukawauliza wazee, ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba na ukuta?'
Alors nous avons interrogé ces anciens, et nous leur avons dit ainsi: « Qui vous a donné l'ordre de construire cette maison et d'achever cette muraille? »
10 Pia tuliwauliza majina yao ili kwamba ujue majina ya kila mtu ambaye aliwaongoza.
Nous leur demandâmes aussi leurs noms, afin que nous puissions écrire les noms des hommes qui étaient à leur tête.
11 Nao wakatujibu na kusema, “Sisi tu watumishi wa Mungu wa mbingu na nchi na sisi tunaijenga nyumba hii ambayo ilijengwa miaka mingi iliyopita wakati mfalme mkuu wa Israel alijenga na kuikamisha.
Ils nous répondirent en disant: « Nous sommes les serviteurs du Dieu du ciel et de la terre et nous bâtissons la maison qui a été construite il y a tant d'années, qu'un grand roi d'Israël a bâtie et achevée.
12 Ingawa, watangulizi wetu walipomchukiza Mungu wa mbinguni, Mungu akawatia katika mikono ya mfalme wa Babeli Nebukadineza, ambaye alivunja nyumba na kuwachukua watu mateka Babeli.
Mais après que nos pères eurent provoqué le Dieu du ciel à la colère, il les livra entre les mains de Nabuchodonosor, roi de Babylone, le Chaldéen, qui détruisit cette maison et emmena le peuple à Babylone.
13 Pia, katika mwaka wa kwanza wa kutawala Koreshi mfalme wa Babeli, Koreshi aliamuru nyumba ya Mungu kujengwa.
Mais la première année de Cyrus, roi de Babylone, le roi Cyrus donna l'ordre de construire cette maison de Dieu.
14 Mfalme Koreshi pia alirudisha vitu vya dhahabu na fedha vya nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadineza alivichukua kwenye hekalu Yerusalem na kuvipeleka kwenye hekalu Babeli. Naye akavitunza kwa Sheshbaza, ambaye alimchagua kuwa kiongozi.
Les objets d'or et d'argent de la maison de Dieu, que Nabuchodonosor avait enlevés du temple de Jérusalem et transportés dans le temple de Babylone, le roi Cyrus les enleva aussi du temple de Babylone et les remit à un certain Sheshbazzar, qu'il avait nommé gouverneur.
15 Naye akamwambia, “Chukua hivi vitu. Uondoke na kuviweka kwenye Hekalu Yerusalem. Na nyumba ya Mungu ijengwe kule.”
Il lui dit: « Prends ces ustensiles, va les mettre dans le temple de Jérusalem, et que la maison de Dieu soit bâtie à sa place ».
16 Ndipo huyu Sheshbaza akaja na kuweka msingi kwa nyumba ya Mungu katika Yerusalem: na ikaendelea kujengwa, lakini bado haijakamilika
Alors le même Sheshbazzar vint et posa les fondations de la maison de Dieu qui est à Jérusalem. Depuis ce temps-là, jusqu'à maintenant, elle a été construite, et pourtant elle n'est pas achevée.
17 Sasa ikiwa itampendeza mfalme, na uchunguzi ufanyike kwenye nyumba ya ukumbusho Babeli Ikiwapo hukumu ya mfalme wa Koreshi ya kujenga nyumba ya Mungu Yerusalem. Na mfalme anaweza kutuma uamuzi wake kwetu.
Maintenant, si le roi le trouve bon, que l'on cherche dans la maison du trésor du roi, qui est là à Babylone, s'il est vrai qu'un décret a été pris par le roi Cyrus pour construire cette maison de Dieu à Jérusalem; et que le roi nous envoie son bon plaisir à ce sujet. »