< Ezra 4 >

1 Ndipo maadui wa Yuda na Benjamini waliposikia kwamba watu waliokuwa uhamishoni walikuwa wanajenga Hekalu la Yahwe, Mungu wa Israel.
Yuda fi dunu amola Bediamini fi dunu ilia ha lai dunu da mugululi asi dunu da buhagili, Isala: ili Hina Gode Ea Debolo diasu gagubi nabi.
2 Hivyo wakamkaribia Zerubabeli na wakuu wa jamii yao. Wakawaambia: Mturuhusu tujenge pamoja nanyi, kama ninyi, tunamtafuta mungu wenu, na tumejitoa kwake tangu siku ambapo, Esar-hadoni, mfalme wa Ashuru alipotuleta mahali hapa.”
Amaiba: le, ilia da Selubabele amola Isala: ili fi ouligisu dunu ilima asili, amane adole ba: i, “Ninia amola da Debolo diasu gagumusa: fidimu da defeala: ? Ninia Godema sia: ne gadosu da dilia Godema sia: ne gadosu amo defele sia: ne gadosa. Amola Asilia hina bagade Isaha: done da sia: beba: le ninia guiguda: misi, amo fa: no ninia da Godema gobele salasu hou huluane hamonana.”
3 Lakini Zerubabeli, Yoshua na wakuu wa kale wa jamii wakasema, “sio wewe, lakini sisi ndio tunaowajibika kujenga nyumba ya Mungu wetu, Sisi ndio tutakaomjengea Yawe, Mungu wa Israel, kama vile mfalme koreshi mfalme wa Ashuru alivyoagiza.”
Selubabele, Yosiua amola Isala: ili fi ouligisu dunu da ilima amane adole i, “Ninia da Hina Gode Ea Debolo diasu gagusia, eno fidisu dunu hame lamu. Ninisu amo Besia hina bagade Sailase amo ea sia: i defele, gagumu.”
4 Hivyo watu wa nchi wakadhoofisha mikono ya wayahudi, wakawafanya wayahudi waogope kujenga nyumba.
Amalalu, dunu da musa: Isala: ili sogega esalu da Yu dunu beda: ma: ne gasa fi hamosu. Ilia da Yu dunu ilia Debolo gagumu hawa: hamosu hedofamusa: dawa: i galu.
5 Pia wakawahonga washauri ili kuwachanganya katika mipango yao. Walitenda haya kipindi chote cha Koreshi na kipindi cha utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
Ilia da Besia eagene dunu amo Yu dunu ilia Debolo gagusu hawa: hamosu hedofama: ne, hano suligili muni ilima i. Amo hou ilia da Sailase ea Besia soge ouligisia amola fa: no Da: liase da Besia soge ouligisia, amo esoha ilia da mae fisili hamosu.
6 Tena katika kuanza kutawala kwake Ahasuero wakaandika mashitaka dhidi ya wenyeji wa Yuda na Yerusalem
Hina bagade amo Segesisi da Besia ouligisu hou lai dagoi. Ea ouligisu degabo laloba, dunu amo Yuda soge amola Yelusaleme ganodini esalu, ilima ha lai dunu da ilima fofada: musa: meloa dedene i.
7 Ilikuwa siku za Ahasuero ambazo Artashasta, Mithredathi, na Tabeeli na wenzake wakamwandikia Ahasuero. Barua iliandikwa Kiaramu na kutafsiliwa.
Fa: no, hina bagade eno amo Adasegesisi da Besia soge ouligisia, ha lai dunu amo Bisila: me, Mililida: de amola Da: ibia: le ilia da Adasegesisima meloa dedene i. Amo meloa ilia da A: lama: ia: ge sia: ga dedei. Idisia, ilia da bu Besia sia: amoga afadenema: ne sia: i.
8 Rehumu jemedari na Shimshai mwandishi wakaandika hivi kwa Artashasta kuhusu Yerusalem.
Amola eagene hina dunu amo Lihame amola soge dedesu dunu amo Simisai, ela da Adasegesisi ema Yelusaleme ea hou olelemusa: meloa dedene i, amane,
9 Tena Rehumu, Shimshai na wenzao ambao ni waamuzi na maofisa wengine wa Serikali, kutoka Waarkewi, Wababeli na washushami katika Waelami,
“Lihame (eagene hina dunu), Simisai (soge dedesu dunu), ela fidisu dunu, fofada: su dunu amola ouligisu dunu eno huluane (amo huluane da musa: Ila: me soge moilai bai bagade amo Ilege, Ba: bilone amola Susa amoga misi) amola
10 nao wakaandika barua na waliungana na watu wakuu na mheshimiwa Asur - bani - pali aliwalazimisha kukaa Samalia pamoja na waliobaki katika mji ngambo ya mto.
dunu eno amo gasa bagade hina Asoba: niba: le da ilia moilaia mugululi, ilia da Samelia moilai bai bagade amola eno sogebi Guma: dini Iufala: idisi Soge amo ganodini fima: ne oule asi, da amo meloa dedene iaha.”
11 Hii ni nakala waliotuma kwa Artashasta: “Watumishi wako, watu wa mji ngambo ya mto, waandika hivi:
Ilia da meloa agoane dedene i, “Ninia da di, hina bagade Adasegesisi, ninia da dia hawa: hamosu dunu Guma: dini Iufala: idisi soge amo ganodini esala, dima meloa dedene iaha.
12 Mfalme atambue kwamba Wayahudi waliotoka kwako wamefanya kinyume chetu hapa Yerusalem wamejenga mji wa uasi. Wamekamilisha ukuta na marekebisho ya misingi.
Hina bagade! Di da Yelusaleme amoma doaga: i hou dawa: mu da defea. Yu dunu da dia soge eno amoga misini, Yelusaleme amo ganodini fili, ilia amo wadela: i amola hame nabasu moilai bai bagade amo bu gagulala. Ilia amo moilai bai bagade gagoi gagulala amola ea gagui da gadenenewane dagomu ba: sa.
13 Sasa mfalme atambue kwamba endapo mji utajengwa na kuta zake kukamilika, hawatatoa ushuru na kodi, lakini watawadhuru wafalme.
Hina bagade! Amo moilai bu gagusia amola amoea gagoi dagosea, Yu fi dunu da dima su muni iasu hou fisimu, amola dia su labe da ebelemu agoai ba: mu.
14 Hakika kwa kuwa tumekula chumvi ya Ikulu, haitopendeza sisi kuona heshima ya mfalme inavunjwa, kwa sababu hiyo tunamtaarifu mfalme
Di da nini huluane ouligisa. Amaiba: le, agoai hou doaga: mu ninia higa: i ba: mu. Ninia agoane dawa: ,
15 kufanya uchunguzi wa kumbukumbu ya baba yake, na kujiridhisha kuwa mji huu ulikuwa wa uharibifu ambao utawadhuru wafalme na miji. Ulisababisha matatizo mengi kwa wafalme na miji. Ilikuwa ni kitovu cha uhalibifu tokea siku nyingi. Ni kwa sababu hiyo mji uliteketezwa.
di da dia fidisu dunu ilima ilia meloa dedei dia aowalali ilia dedei, amo ganodini hogoma: ne sia: ma. Di agoane hamosea, Yelusaleme soge dunu da eso huluane mae fisili, hame nabasu hou hamosu di da ba: mu. Ilia gasa fi hou hamobeba: le, hina bagade amola soge ouligisu dunu da se bagade nabi amola ili ouligimu gasa bagade ba: i. Amaiba: le, amo moilai bai bagade da wadela: lesi dagoi ba: i.
16 Tunamtaarifu mfalme kuwa endapo mji na ukuta ukijengwa, Hakuna kitakachobakia kwa ajili yako katika mji ngambo ya mto.”
Amaiba: le ninia da agoane dawa: Ilia da amo moilai bai bagade amola ea gagoi bu gagusia, di hina bagade, da Guma: dini Iufala: idisi soge ouligimu hamedeiwane ba: mu.” Ilia da amo meloa Adasegesisi ema dedene i.
17 Ndipo mfalme akarudisha majibu kwa Rehumu na Shimshai na wenzao katika Samalia na waliobaki katika mji ngambo ya mto. “Amani iwe pamoja nanyi.
Adasegesisi da ilima dabe meloa amane dedene i, “Dilia! Lihame (eagene hina dunu), Simisai (soge dedesu dunu) amola ela fidisu dunu Samelia soge amola Guma: dini Iufala: idisi soge amo ganodini esala. Asigi sia: sia: sa!
18 Barua mliyonitumia imetafsiliwa na kusomwa kwangu.
Dilia nama meloa dedene iasi amo na sia: alofele iasu dunu da afadenene, nama idili i.
19 Hivyo niliagiza uchunguzi ufanywe na ikabainika kwamba zamani uliasi na kuwafitinisha wafalme.
Na sia: beba: le, na fidisu dunu da aowalali ilia meloa dedei amo hogolala ba: i. Dafawane! Musa: amola amo fa: no, Yelusaleme fi dunu da hina bagade ilia sia: hame nabasu, amola amo ganodini hame nabasu dunu amola nimi bagade dunu bagohame ba: su.
20 Wafalme wakuu walitawala Yerusalem yote na kuongoza kila sehemu ya mji ngambo ya mto. Ada na kodi walilipwa.
Gasa bagade Ba: bilone hina dunu da Yelusaleme amola Guma: dini Iufala: idisi soge huluane ouligisu. Ilia da su (da: gisi) muni amo dunuma lasu.
21 Sasa, wekeni agizo kwa watu hawa wasiendelee na kujenga mji mpaka nitakapotoa amri.
Amaiba: le, amo dunuma ilia Yelusaleme bu gagusu go fisima: ne sia: ma. Na da bu gaguma: ne sia: sea fawane, ilima bu gaguma: ne sia: ma.
22 Muwe waangalifu msipuuze hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuongezeka na kusababisha hasara kwa matakwa ya ufalme?
Ilia da na hou bu wadela: sa: besa: le, amo sia: hedolo adoma!” Adasegesisi da amo meloa dedene iasi.
23 Baada ya amri ya mfalme Artashasta kusomwa mbele ya Rehumu, Shimshai na wenzao, wakaondoka haraka kwenda Yerusalem, na wakawalazimisha Wayahudi kuacha kujenga.
Sia: alofele iasu dunu da amo meloa Lihame amola Simisai amola ela fidisu dunu ilima idili i. Ilia da Yelusalemega hedolo asili, Yu dunu ilia moilai bai bagade gagusu logo hedofai dagoi.
24 Hivyo kazi ya nyumba ya Mungu Yerusalem ikasitishwa mpaka kutawala mara ya pili kwa mfalme Dario wa Uajemi.
Debolo diasu bu gagusu logo da hedofaiba: le, ilia da hame hawa: hamosu. Amalalu, hina bagade eno ea dio amo Da: liase da Besia soge ouligisu hou lai. E da ode aduna ouligilalu,

< Ezra 4 >