< Ezra 3 >

1 Ilikuwa miezi saba baaada ya watu wa Israeli kurudi kwenye miji yao, ndipo walipojikusanya pamoja kama mtu mmoja katika Yerusalem.
Oubi fesu da udui galu, Isala: ili dunu huluane da ilia moilaidafa amo ganodini fi dagoi ba: i. Amalalu, dunu amola uda huluane da Yelusalemega gilisi.
2 Yeshua mwana wa Yosadaki na kaka yake kuhani, na Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kaka yake wakainuka na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli na kutoa sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoagizwa katika sheria ya Musa, Mtu wa Mungu.
Amola Yosiua (Yihosada: ge egefe), eno gobele salasu dunu amola Selubabele (Sia: diele egefe) amola ea sosogo fi da Isala: ili Hina Gode amo Ea oloda bu gagui. Bai ilia da Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese, amo ea Sema amola hamoma: ne sia: i dedei defele, amo oloda da: iya Godema gobele salasu hamomusa: dawa: i.
3 Ndipo wakaanzisha madhabahu juu ya msingi, kwa hofu waliokuwa nayo kwa sababu ya watu wa nchi/ Wakatoa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe asubuhi na jioni.
Musa: mugululi asi dunu buhagi da dunu amo ilia musa: soge ganodini esala amoga beda: i. Be ilia da oloda amo ea musa: sogebi amoga bu gagui. Amalalu, ilia da bu hahabe huluane amola daeya huluane amoga gobele salasu hamosu.
4 Pia vilevile wakaichunguza sikukuu ya vibanda kama ilivyoandikwa na wakatoa sadaka ya kuteketezwa siku kwa siku kama ilivyoagizwa, kila siku kwa siku yake.
Ilia da Sogega Fasela Diasu Lolo Nabe amo sema defele hamosu. Eso huluane ilia da amo eso ea gobele salasu sema ganodini dedei amo gobei.
5 Kulikuwa na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa na mwezi mara moja na sadaka za siku ya Yahwe za kudumu, pamoja na sadaka zote za hiari.
Amola ilia eno gobele salasu amo ohe gogo gobesu, Oubi gaheabolo doaga: loba gobele salasu, Godema nodone sia: ne gadosu gilisisu amola Hina Godema hahawane udigili iasu amo huluane ilia da hamosu.
6 Walianza kutoa sadaka za kuteketezwa za Yahwe siku ya kwanza ya mwezi wa saba, ingawa hekalu lilikuwa halijaanza kujengwa.
Ilia da Debolo amo bu gagumusa: hame hemoi. Be oubi fesuale gala bisili esoga, ilia da Hina Godema gobele salasu hemosu.
7 Hivyo wakatoa fedha kwa wahunzi na fundi wa mkono, na wakawapa chakula, vinywaji na mafuta kwa watu wa Sidoni na Tiro, ili kwamba walete miti ya mierezi kupitia baharini kutoka Lebanoni mpaka Yafa, na kama walivyo ruhusiwa na mfalme Koreshi wa Uajemi.
Isala: ili dunu da Debolo diasu gagusu dunu (amo da igi hedofasu dunu amola ifa hahamosu dunu) ilima ha: i manu, hano amola olife fage amoea maga: me i. Amo liligi ilia da Daia moilai bai bagade amola Saidone moilai bai bagadega, Lebanone soge dolo ifa bidi lama: ne iasi. Amo ifa da hano wayabo amoga misini, Yoba moilaiga doaga: su. Amo hou da Besia hina bagade Sailase amo ea sia: ga hamoi.
8 Ndipo mwezi wa pili katika mwaka wa pili baadae wakaja kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem, Zerubabeli, Yoshua mwana wa Yosadaki, na baadhi ya makuhani na walawi na wale walikuja kutoka uhamishoni kurudi Yerusalem wakaanza kazi. Wakawachagua walawi walikuwa na miaka ishirini na zaidi kusimamia kazi ya nyumba ya Yahwe,
Amalalu, oubi ageyadu amo odega fa: no ilia da Debolo ea sogebi Yelusalemega doaga: le, ilia da bisili hawa: hamoi. Selubabele, Yosiua, eno Isala: ili dunu huluane, gobele salasu dunu amola musa: mugululi asi buhagi dunu huluane da gilisili hawa: hamosu. Ilia da Lifai dunu amo ilia esalebe ode 20 gidigi amola amo baligi, amo ilia da Debolo diasu bu gagusu amo ouligima: ne sia: i.
9 Yoshua akamsimamisha kijana wake na kaka yake, Kadmiel na watoto wake, na kizazi cha yuda kusimamia kufanya kazi katika nyumba ya Mungu. Pamoja na wao kulikuwa na wana wa Henadadi, na uzao wao, na pia jamaa zao walawi.
Lifai dunu afae amo Yesua, ea dunu mano, ea sosogo fi amola Ga: damiele amola egefe (ilia da Houdafia fi dunu) ilia da gilisili Debolo bu gaguma: ne ouligisu. (Henada: de fi Lifai dunu da ili fidisu.)
10 Wajenzi wakasimamisha msingi wa Hekalu la Yahwe, Na hii ikawawezesha makuhani kusimama na mavazi yao wakiwa na tarumbeta, na walawi wana wa Asafu, kumtukuza Yahwe kwa matoazi, kama mkono wa mfalme Daudi wa Israel alivyoagiza.
Hawa: hamosu dunu ilia Debolo diasu bisili gagubiba: le, gobele salasu dunu ilia abula salawane, dalabede dusu agoai amo ilia loboga gagui, amola A: sa: fe da dadabisu gaguli, dusa lelu. Amola ilia da gilisili Hina Godema nodone gesami hea: su amo da musa: Da: ibidi ea esoga hamoi defele hamosu.
11 Waliimba kwa kumsifu na kumshukuru Yahwe. “Yeye ni mwema! Agano lake ni kweli kwa Israel ladumu milele.”Watu wote wakapiga kelele kwa sauti kuu za shangwe wakimsifu Yahwe kwa sababu misingi ya Hekalu ilikuwa imekamilika.
Ilia da Hina Godema nodone gesami hea: su, ha: giwane hea: i amane, “Hina Gode da defeadafa. Ea Isala: ili dunuma asigidafa hou da Fifi Ahoanusudafa.” Debolo diasu ea bai amo gagusu da wali hemobe ba: i. Amaiba: le ilia da ha: giwane gesami hea: su
12 Lakini wengi wa Makuhani, walawi, wakuu wa kale, na wazeee wa zamani walioiona nyumba ya kwanza, wakati misingi ilipowekwa wakaishuhudia kwa macho yao, walilia kwa sauti. Lakiniwengi walipiga kelele kwa sauti za shangwe na furaha na sauti za kushangaza.
Musa: gobele salasu dunu, musa: Lifai dunu amola fi ouligisu hina dunu, mogili ilia da musa: Debolo diasu ba: i. Ilia da Debolo diasu gaheabolo ea bai gagubi ba: loba, fofagiba: le dinanu. Be eno dunu esalebe da bagadewane nodone halasu.
13 Na matokeo yake, watu hawakuweza kutofautisha sauti za furaha na sauti za shangwe na sauti za watu waliokuwa wanalia, kwa kuwa watu walikuwa wanalia kwa sauti kuu ya shangwe na sauti ilisikika kutoka mbali.
Ilia Debolo diasu gagusu amo nodoi ba: beba: le, dunu huluane da nodone bagadewane halale wele sia: nanu, badilia fi dunu huluane nabima: ne. Amola, disu amola nodone halasu da afafane afae nabimu hamedeiwane ba: i.

< Ezra 3 >