< Ezra 2 >

1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
Esta es una lista de los exiliados judíos de la provincia que regresaron del cautiverio después de que el rey Nabucodonosor se los llevara a Babilonia. Volvieron a Jerusalén y a sus propias ciudades en Judá.
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
Sus líderes eran Zorobabel, Jesúa, Nehemías, Seraías, Reelaías, Mardoqueo, Bilsán, Mispar, Bigvai, Rehum y Baana. Este es el número de los hombres del pueblo de Israel:
3 Waporoshi: 2, 172
los hijos de Paros, 2.172;
4 Wana wa Shefatia: 372
los hijos de Sefatías, 372;
5 Wana wa Ara: 775.
los hijos de Ara, 775;
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
los hijos de Pahat-moab (hijos de Jesúa y Joab), 2.812;
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
los hijos de Elam, 1.254;
8 Wana wa Zatu: 945.
los hijos de Zatu, 945;
9 Wana wa Zakai: 760.
los hijos de Zacai, 760;
10 Wana wa Binui: 642.
los hijos de Bani, 642;
11 Wana wa Bebai: 623.
los hijos de Bebai, 623
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
los hijos de Azgad, 1.222;
13 Wana wa Adonikamu: 666.
los hijos de Adonicam, 666;
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
los hijos de Bigvai, 2.056;
15 Wana wa Adini: 454.
los hijos de Adin, 454;
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
los hijos de Ater, (hijos de Ezequías), 98;
17 Wana wa Besai: 323.
los hijos de Bezai, 323;
18 Wana wa Harifu: 112.
los hijos de Jora, 112;
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
los hijos de Hasum, 223;
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
los hijos de Gibar, 95;
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
el pueblo de Belén, 123;
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
el pueblo de Netofa, 56;
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
el pueblo de Anatot, 128;
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
el pueblo de Bet-azmavet, 42;
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
el pueblo de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
el pueblo de Ramá y Geba, 621;
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
el pueblo de Micmas, 122
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
el pueblo de Betel y de Hai, 223;
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
los hijos de Nebo, 52;
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
los hijos de Magbis, 156;
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
los hijos de Elam, 1.254;
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
los hijos de Harim, 320;
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
los hijos de Lod, Hadid y Ono, 725;
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
los hijos de Jericó, 345;
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
los hijos de Senaa, 3.630.
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
Este es el número de los sacerdotes: los hijos de Jedaías (por la familia de Jesúa), 973;
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
los hijos de Imer, 1.052;
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
los hijos de Pasur, 1.247;
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
los hijos de Harim, 1.017.
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
Este es el número de los levitas: los hijos de Jesúa y Cadmiel (hijos de Hodavías), 74;
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
los cantores de los hijos de Asaf, 128;
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
los porteros de las familias de Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai, 139.
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
Los descendientes de estos servidores del Templo: Ziha, Hasufa, Tabaot,
44 Keros, Siaha, Padoni.
Queros, Siaha, Padón,
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
Lebana, Hagaba, Acub,
46 Hagabu, Salmai, Hanani
Hagab, Salmai, Hanán,
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
Gidel, Gahar, Reaía,
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
Rezín, Necoda, Gazam,
49 Uza, Pasea, Besai,
Uza, Paseah, Besai,
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
Asena, Mehunim, Nefusim,
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
Bacbuc, Hacufa, Harhur,
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
Bazlut, Mehída, Harsa,
53 Barkosi, Sisera, Tema:
Barcos, Sísara, Tema,
54 Nesia, Tefa
Nezía, y Hatifa.
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
Los descendientes de los siervos del rey Salomón: Sotai, Hasoferet, Peruda,
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
Jaala, Darcón, Gidel,
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim, y Ami.
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
El total de los siervos del Templo y de los descendientes de los siervos de Salomón era de 392.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
Los que procedían de las ciudades de Tel-mela, Tel-Harsa, Querub, Addán e Imer no podían demostrar su genealogía familiar, ni siquiera que eran descendientes de Israel.
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
Entre ellos estaban las familias de Delaía, Tobías y Necoda, 652 en total.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
Además había tres familias sacerdotales, hijos de Habaía, Cos y Barzilai. (Barzilai se había casado con una mujer que descendía de Barzilai de Galaad, y se llamaba así).
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
Se buscó un registro de ellos en las genealogías, pero no se encontraron sus nombres, por lo que se les prohibió servir como sacerdotes.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
El gobernador les ordenó que no comieran nada de los sacrificios del santuario hasta que un sacerdote pudiera consular con el Señor sobre el asunto a través del Urim y el Tumim.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
El total de personas que regresaron fue de 42.360.
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
Además había 7.337 sirvientes y 200 cantores y cantoras.
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
Tenían 736 caballos, 245 mulas,
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
435 camellos y 6.720 asnos.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
Cuando llegaron al Templo del Señor en Jerusalén, algunos de los jefes de familia hicieron contribuciones voluntarias para reconstruir el Templo de Dios en el lugar donde antes estaba.
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
Dieron según lo que tenían, poniendo su donativo en el tesoro. El total ascendió a 61.000 dáricos de oro, 5.000 minas de plata y 100 túnicas para los sacerdotes.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
Los sacerdotes, los levitas, los cantores, los porteros y los servidores del Templo, así como parte del pueblo, volvieron a vivir en sus pueblos específicos. Los demás regresaron a sus propias ciudades en todo Israel.

< Ezra 2 >