< Ezra 2 >
1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
Hi sunt autem provinciae filii, qui ascenderunt de captivitate, quam transtulerat Nabuchodonosor rex Babylonis in Babylonem, et reversi sunt in Ierusalem et Iuda, unusquisque in civitatem suam.
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
Qui venerunt cum Zorobabel, Iosue, Nehemia, Saraia, Rahelaia, Mardochai, Belsan, Mesphar, Beguai, Rehum, Baana. Numerus virorum populi Israel:
Filii Pharos duo millia centum septuagintaduo.
Filii Sephatia, trecenti septuagintaduo.
Filii Area, septingenti septuagintaquinque.
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
Filii Phahath Moab, filiorum Iosue: Ioab duo millia octingenti duodecim.
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
Filii Aelam mille ducenti quinquagintaquattuor.
Filii Zethua, nongenti quadragintaquinque.
Filii Zachai, septingenti sexaginta.
Filii Bani, sexcenti quadragintaduo.
Filii Bebai, sexcenti vigintitres.
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
Filii Azgad, mille ducenti viginti duo.
13 Wana wa Adonikamu: 666.
Filii Adonicam, sexcenti sexagintasex.
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
Filii Beguai, duo millia quinquagintasex.
Filii Adin, quadringenti quinquagintaquattuor.
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
Filii Ather, qui erant ex Ezechia, nonagintaocto.
Filii Besai, trecenti vigintitres.
Filii Iora, centum duodecim.
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
Filii Hasum, ducenti vigintitres.
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
Filii Gebbar, nonagintaquinque.
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
Filii Bethlehem, centum vigintitres.
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
Viri Netupha, quinquagintasex.
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
Viri Anathoth, centum vigintiocto.
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
Filii Azmaveth, quadraginta duo.
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
Filii Cariathiarim, Cephira, et Beroth, septingenti quadragintatres.
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
Filii Rama et Gabaa, sexcenti vigintiunus.
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
Viri Machmas, centum viginti duo.
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
Viri Bethel et Hai, ducenti vigintitres.
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
Filii Nebo, quinquagintaduo.
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
Filii Megbis, centum quinquagintasex.
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
Filii Aelam alterius, mille ducenti quinquagintaquattuor.
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
Filii Harim, trecenti viginti.
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
Filii Lod Hadid, et Ono, septingenti vigintiquinque.
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
Filii Iericho, trecenti quadragintaquinque.
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
Filii Senaa, tria millia sexcenti triginta.
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
Sacerdotes: Filii Iadaia in domo Iosue nongenti septuaginta tres.
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
Filii Emmer, mille quinquagintaduo.
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
Filii Pheshur, mille ducenti quadraginta septem.
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
Filii Harim, mille decem et septem.
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
Levitae: Filii Iosue et Cedmihel filiorum Odoviae septuagintaquattuor.
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
Cantores: Filii Asaph, centum vigintiocto.
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
Filii Ianitorum: filii Sellum, filii Ater, filii Telmon, filii Accub, filii Hatita, filii Sobai: universi centum trigintanovem.
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
Nathinaei: filii Siha, filii Hasupha, filii Tabbaoth,
filii Ceros, filii Siaa, filii Phadon,
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
filii Lebana, filii Hagaba, filii Accub,
46 Hagabu, Salmai, Hanani
filii Hagab, filii Semlai, filii Hanan,
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
filii Gaddel, filii Gaher, filii Raaia,
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
filii Rasin, filii Necoda, filii Gazam,
filii Aza, filii Phasea, filii Besee,
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
filii Asena, filii Munim, filii Nephusim,
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
filii Bacbuc, filii Hacupha, filii Harhur,
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
filii Besluth, filii Mahida, filii Harsa,
53 Barkosi, Sisera, Tema:
filii Bercos, filii Sisara, filii Thema,
filii Nasia, filii Hatipha,
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
filii servorum Salomonis, filii Sotai, filii Sophereth, filii Pharuda,
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
filii Iala, filii Dercon, filii Geddel,
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
filii Saphatia, filii Hatil, filii Phochereth, qui erant de Asebaim, filii Ami.
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
omnes Nathinaei, et filii servorum Salomonis, trecenti nonagintaduo.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
Et hi qui ascenderunt de Thelmala, Thelharsa, Cherub, et Adon, et Emer: et non potuerunt indicare domum patrum suorum et semen suum, utrum ex Israel essent.
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
Filii Dalaia, filii Tobia, filii Necoda, sexcenti quinquagintaduo.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
Et de filiis Sacerdotum: Filii Hobia, filii Accos, filii Berzellai, qui accepit de filiabus Berzellai Galaaditis, uxorem, et vocatus est nomine eorum:
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
hi quaesierunt scripturam genealogiae suae, et non invenerunt, et eiecti sunt de sacerdotio.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
Et dixit Athersatha eis ut non comederent de Sancto sanctorum, donec surgeret sacerdos doctus atque perfectus.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
Omnis multitudo quasi unus, quadraginta duo millia trecenti sexaginta:
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
exceptis servis eorum, et ancillis, qui erant septem millia trecenti trigintaseptem: et in ipsis cantores, atque cantatrices ducenti.
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
Equi eorum sexcenti triginta sex, muli eorum, ducenti quadragintaquinque,
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
cameli eorum, quadringenti trigintaquinque, asini eorum, sex millia septingenti viginti.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
Et de principibus patrum, cum ingrederentur templum Domini, quod est in Ierusalem, sponte obtulerunt in domum Dei ad extruendam eam in loco suo.
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
Secundum vires suas dederunt impensas operis, auri solidos quadraginta millia et mille, argenti mnas quinque millia, et vestes sacerdotales centum.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
Habitaverunt ergo Sacerdotes, et Levitae, et de populo, et cantores, et ianitores, et Nathinaei in urbibus suis, universusque Israel in civitatibus suis.