< Ezra 2 >
1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
Hi sunt autem provinciæ filii, qui ascenderunt de captivitate, quam transtulerat Nabuchodonosor rex Babylonis in Babylonem, et reversi sunt in Jerusalem et Judam, unusquisque in civitatem suam.
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
Qui venerunt cum Zorobabel, Josue, Nehemia, Saraia, Rahelaia, Mardochai, Belsan, Mesphar, Beguai, Rehum, Baana. Numerus virorum populi Israël:
filii Pharos duo millia centum septuaginta duo.
Filii Sephatia, trecenti septuaginta duo.
Filii Area, septingenti septuaginta quinque.
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
Filii Phahath Moab, filiorum Josue: Joab, duo millia octingenti duodecim.
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
Filii Ælam, mille ducenti quinquaginta quatuor.
Filii Zethua, nongenti quadraginta quinque.
Filii Zachai, septingenti sexaginta.
Filii Bani, sexcenti quadraginta duo.
Filii Bebai, sexcenti viginti tres.
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
Filii Azgad, mille ducenti viginti duo.
13 Wana wa Adonikamu: 666.
Filii Adonicam, sexcenti sexaginta sex.
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
Filii Beguai, duo millia quinquaginta sex.
Filii Adin, quadringenti quinquaginta quatuor.
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
Filii Ather, qui erant ex Ezechia, nonaginta octo.
Filii Besai, trecenti viginti tres.
Filii Jora, centum duodecim.
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
Filii Hasum, ducenti viginti tres.
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
Filii Gebbar, nonaginta quinque.
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
Filii Bethlehem, centum viginti tres.
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
Viri Netupha, quinquaginta sex.
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
Viri Anathoth, centum viginti octo.
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
Filii Azmaveth, quadraginta duo.
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
Filii Cariathiarim, Cephira et Beroth, septingenti quadraginta tres.
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
Filii Rama et Gabaa, sexcenti viginti unus.
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
Viri Machmas, centum viginti duo.
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
Viri Bethel et Hai, ducenti viginti tres.
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
Filii Nebo, quinquaginta duo.
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
Filii Megbis, centum quinquaginta sex.
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
Filii Ælam alterius, mille ducenti quinquaginta quatuor.
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
Filii Harim, trecenti viginti.
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
Filii Lod Hadid, et Ono, septingenti viginti quinque.
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
Filii Jericho, trecenti quadraginta quinque.
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
Filii Senaa, tria millia sexcenti triginta.
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
Sacerdotes: filii Jadaia in domo Josue, nongenti septuaginta tres.
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
Filii Emmer, mille quinquaginta duo.
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
Filii Pheshur, mille ducenti quadraginta septem.
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
Filii Harim, mille decem et septem.
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
Levitæ: filii Josue et Cedmihel filiorum Odoviæ, septuaginta quatuor.
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
Cantores: filii Asaph, centum viginti octo.
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
Filii janitorum: filii Sellum, filii Ater, filii Telmon, filii Accub, filii Hatitha, filii Sobai: universi centum triginta novem.
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
Nathinæi: filii Siha, filii Hasupha, filii Tabbaoth,
filii Ceros, filii Siaa, filii Phadon,
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
filii Lebana, filii Hagaba, filii Accub,
46 Hagabu, Salmai, Hanani
filii Hagab, filii Semlai, filii Hanan,
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
filii Gaddel, filii Gaher, filii Raaia,
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
filii Rasin, filii Necoda, filii Gazam,
filii Aza, filii Phasea, filii Besee,
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
filii Asena, filii Munim, filii Nephusim,
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
filii Bacbuc, filii Hacupha, filii Harhur,
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
filii Besluth, filii Mahida, filii Harsa,
53 Barkosi, Sisera, Tema:
filii Bercos, filii Sisara, filii Thema,
filii Nasia, filii Hatipha,
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
filii servorum Salomonis, filii Sotai, filii Sophereth, filii Pharuda,
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
filii Jala, filii Dercon, filii Geddel,
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
filii Saphatia, filii Hatil, filii Phochereth, qui erant de Asebaim, filii Ami:
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
omnes Nathinæi, et filii servorum Salomonis, trecenti nonaginta duo.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
Et hi qui ascenderunt de Thelmala, Thelharsa, Cherub, et Adon, et Emer: et non potuerunt indicare domum patrum suorum et semen suum, utrum ex Israël essent.
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
Filii Dalaia, filii Tobia, filii Necoda, sexcenti quinquaginta duo.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
Et de filiis sacerdotum: filii Hobia, filii Accos, filii Berzellai, qui accepit de filiabus Berzellai Galaaditis, uxorem, et vocatus est nomine eorum:
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
hi quæsierunt scripturam genealogiæ suæ, et non invenerunt, et ejecti sunt de sacerdotio.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
Et dixit Athersatha eis ut non comederent de Sancto sanctorum, donec surgeret sacerdos doctus atque perfectus.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
Omnis multitudo quasi unus, quadraginta duo millia trecenti sexaginta:
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
exceptis servis eorum, et ancillis, qui erant septem millia trecenti triginta septem: et in ipsis cantores atque cantatrices ducenti.
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
Equi eorum septingenti triginta sex, muli eorum, ducenti quadraginta quinque,
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
cameli eorum, quadringenti triginta quinque, asini eorum, sex millia septingenti viginti.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
Et de principibus patrum, cum ingrederentur templum Domini, quod est in Jerusalem, sponte obtulerunt in domum Dei ad exstruendam eam in loco suo.
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
Secundum vires suas dederunt impensas operis, auri solidos sexaginta millia et mille, argenti mnas quinque millia, et vestes sacerdotales centum.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
Habitaverunt ergo sacerdotes, et Levitæ, et de populo, et cantores, et janitores, et Nathinæi, in urbibus suis, universusque Israël in civitatibus suis.