< Ezra 2 >
1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
Dies sind die Kinder aus den Landen, die heraufzogen aus dem Gefängnis, die Nebukadnezar, der König zu Babel, hatte gen Babel geführet, und wieder gen Jerusalem und nach Juda kamen, ein jeglicher in seine Stadt.
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
Und kamen mit Serubabel, Jesua, Nehemia, Seraja, Reelja, Mardochai, Bilsan, Mispar, Bigevai, Rehum und Baena. Dies ist nun die Zahl der Männer des Volks Israel:
der Kinder Pareos zweitausend hundert und zweiundsiebenzig;
der Kinder Sephatja dreihundert und zweiundsiebenzig;
der Kinder Arah, siebenhundert und fünfundsiebenzig;
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
der Kinder Pahath-Moab, unter der Kindern Jesua, Joab, zweitausend achthundert und zwölf;
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
der Kinder Elam tausend zweihundert und vierundfünfzig;
der Kinder Sathu neunhundert und fünfundvierzig;
der Kinder Sakai siebenhundert und sechzig;
der Kinder Bani sechshundert und zweiundvierzig;
der Kinder Bebai sechshundert und dreiundzwanzig;
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
der Kinder Asgad tausend zweihundert und zweiundzwanzig;
13 Wana wa Adonikamu: 666.
der Kinder Adonikam sechshundert und sechsundsechzig;
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
der Kinder Bigevai zweitausend und sechsundfünfzig;
der Kinder Adin vierhundert und vierundfünfzig;
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
der Kinder Ater von Hiskia achtundneunzig;
der Kinder Bezai dreihundert und dreiundzwanzig;
der Kinder Jorah hundert und zwölf
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
der Kinder Hasum zweihundert und dreiundzwanzig;
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
der Kinder Gibbar fünfundneunzig;
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
der Kinder Beth-Lehem hundert und dreiundzwanzig;
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
der Männer Netopha sechsundfünfzig;
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
der Männer von Anathoth hundert und achtundzwanzig;
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
der Kinder Asmaveth zweiundvierzig;
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
der Kinder von Kiriath-Arim, Kaphira und Beeroth siebenhundert und dreiundvierzig;
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
der Kinder von Rama und Gaba sechshundert und einundzwanzig;
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
der Männer von Michmas hundert und zweiundzwanzig;
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
der Männer von Bethel und Ai zweihundert und dreiundzwanzig;
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
der Kinder Nebo zweiundfünfzig;
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
der Männer von Magbis hundert und sechsundfünfzig;
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
der Kinder des andern Elam tausend zweihundert und vierundfünfzig;
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
der Kinder Harim dreihundert und zwanzig;
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
der Kinder Lod, Hadid und Ono siebenhundert und fünfundzwanzig;
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
der Kinder Jereho dreihundert und fünfundvierzig;
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
der Kinder Senaa dreitausend sechshundert und dreißig;
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
der Priester: der Kinder Jedaja vom Hause Jesua neunhundert und dreiundsiebenzig;
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
der Kinder Immer tausend und zweiundfünfzig;
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
der Kinder Pashur tausend zweihundert und siebenundvierzig;
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
der Kinder Harim tausend und siebenzehn;
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
der Leviten: der Kinder Jesua und Kadmiel von den Kindern Hodavja vierundsiebenzig;
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
der Sänger: der Kinder Assaph hundert und achtundzwanzig;
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
der Kinder der Torhüter: die Kinder Sallum, die Kinder Ater, die Kinder Talmon, die Kinder Akub, die Kinder Hatita und die Kinder Sobai, allesamt hundert und neununddreißig;
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
der Nethinim: die Kinder Ziha, die Kinder Hasupha, die Kinder Tabaoth,
die Kinder Keros, die Kinder Sieha, die Kinder Padon,
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
die Kinder Lebana, die Kinder Hagaba, die Kinder Akub,
46 Hagabu, Salmai, Hanani
die Kinder Hagab, die Kinder Samlai, die Kinder Hanan,
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
die Kinder Giddel, die Kinder Gahar, die Kinder Reaja,
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
die Kinder Rezin, die Kinder Nekoda, die Kinder Gasam,
die Kinder Usa, die Kinder Paseah, die Kinder Besai,
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
die Kinder Asna, die Kinder Meunim, die Kinder Nephusim,
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
die Kinder Bakbuk, die Kinder Hakupha, die Kinder Harhur,
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
die Kinder Bazeluth, die Kinder Mehida, die Kinder Harsa,
53 Barkosi, Sisera, Tema:
die Kinder Barkom, die Kinder Sissera, die Kinder Thamah,
die Kinder Neziah, die Kinder Hatipha;
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
die Kinder der Knechte Salomos: die Kinder Sotai, die Kinder Sophereth, die Kinder Pruda,
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
die Kinder Jaela, die Kinder Darkon, die Kinder Giddel,
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
die Kinder Sephatja, die Kinder Hattil, die Kinder Pochereth von Zebaim, die Kinder Ami.
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
Aller Nethinim und Kinder der Knechte Salomos waren zusammen dreihundert und zweiundneunzig.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
Und diese zogen auch mit herauf: Mithel, Melah, Thel-Harsa, Cherub-Addon und Immer; aber sie konnten nicht anzeigen ihrer Väter Haus, noch ihren Samen, ob sie aus Israel wären.
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
Die Kinder Delaja, die Kinder Tobia, die Kinder Nekoda: sechshundert und zweiundfünfzig.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
Und von den Kindern der Priester: die Kinder Habaja, die Kinder Hakoz, die Kinder Barsillai, der aus den Töchtern Barsillais, des Gileaditers, ein Weib nahm und ward unter derselben Namen genannt.
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
Dieselben suchten ihre Geburtsregister und fanden keine; darum wurden sie vom Priestertum los.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
Und Hathirsatha sprach zu ihnen, sie sollten nicht essen vom Allerheiligsten, bis ein Priester stünde mit dem Licht und Recht.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
Der ganzen Gemeine, wie ein Mann, war zweiundvierzigtausend dreihundert und sechzig,
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
ausgenommen ihre Knechte und Mägde, der waren siebentausend dreihundert, und siebenunddreißig. Und hatten zweihundert Sänger und Sängerinnen,
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
siebenhundert und sechsunddreißig Rosse, zweihundert und fünfundvierzig Mäuler,
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
vierhundert und fünfunddreißig Kamele und sechstausend siebenhundert und zwanzig Esel.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
Und etliche der obersten Väter, da sie kamen zum Hause des HERRN zu Jerusalem, wurden sie freiwillig zum Hause Gottes, daß man es setzte auf seine Stätte.
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
Und gaben nach ihrem Vermögen zum Schatz ans Werk einundsechzigtausend Gülden und fünftausend Pfund Silbers und hundert Priesterröcke.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
Also setzten sich die Priester und die Leviten und etliche des Volks und die Sänger und die Torhüter und die Nethinim in ihre Städte und alles Israel in seine Städte.